Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w78 11/1 uku. 14
  • Mtumishi Mwaminifu Aiendea Zawadi Yake

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mtumishi Mwaminifu Aiendea Zawadi Yake
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1978
  • Habari Zinazolingana
  • Maisha Ambayo Sikuyajutia Kamwe
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1997
  • Ya Kwanza Miaka 100 Iliyopita
    Amkeni!—2000
  • 1923​—⁠Miaka Mia Moja Iliyopita
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2023
  • Msimamizi Mpya wa Watch Tower Achaguliwa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1977
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1978
w78 11/1 uku. 14

Mtumishi Mwaminifu Aiendea Zawadi Yake

Ndugu Franz Zürcher alizaliwa Novemba 25,1891, akabatizwa Novemba 18, 1918, akaingia utumishi wa Betheli katika Switzerland Juni 15, 1923. Kwa muda wa karibu miaka 55 alifanya kazi kwa uaminifu katika afisi ya tawi ya Watch Tower Society, akatumikia akiwa mwangalizi wa tawi kwa miaka kadha. Ndugu Zürcher alimaliza mwendo wake wa kidunia Mei 13, 1978, baada ya kuugua kwa miezi kadha. Alikuwa amejulikana na kupendwa sana na Mashahidi wa Yehova wengi katika Ulaya na mahali kwingine, nao wote wanafurahia utumishi wake wa uaminifu, na ya kwamba sasa amekwisha pokea zawadi yake.​—Ufu. 14:13.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki