Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w79 4/1 uku. 22
  • Mithali Yenye Hekima

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mithali Yenye Hekima
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1979
  • Habari Zinazolingana
  • Dhabihu za Sifa Zinazompendeza Yehova
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2000
  • Jifunze Kutokana na ‘Ile Picha ya Kweli’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • “Hema la Wanyoofu Litasitawi”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2004
  • Je! Wewe Unayatumiaje Maisha Yako?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1974
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1979
w79 4/1 uku. 22

Mithali Yenye Hekima

“Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa [Yehova], bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.”​—Mit. 15:8.

Maneno haya yaliandikwa wakati ule ibada ya Yehova ilipokuwa ikifanyiwa hekaluni katika Yerusalemu, ambapo dhabihu za wanyama zilitolewa. Mwisraeli angeweza kutumia fedha nyingi kununua fahali (ng’ombe dume) au mwana-kondoo wa dhabihu. Hata hivyo, mithali hii inafunua kwamba, Mungu alipendelea sala ya unyofu wa moyo ambayo haina bei yo yote kutoka kwa mtu mnyofu, kuliko dhabihu ya mnyama kutoka kwa mtenda mabaya. Kwa hiyo kanuni ya kupimia ya Mungu si hasara anayopata mtu katika kufuata dini, bali hali yake ya moyoni na namna ya maisha yake kwa ujumla. Mstari unaofuata unasema hivi: “Njia ya mtu mbaya ni chukizo kwa [Yehova], bali humpenda mtu afuatiaye wema.”​—Mit. 15:9.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki