Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1979
BIBLIA
“Agano la Kale”—Ni la Maana Leo? 2/15
“Kikapu cha Matunda ya Wakati wa Hari” 5/15
Kuitetea Kweli ya Biblia 7/1
Mahubiri ya Mlimani, 4/15; 5/1; 6/1; 8/1; 8/15; 9/15; 12/1; 12/15
Mithali Yenye Hekima 4/1
Mwenye Hekima Alikuwa na Maana Gani? 1/1; 1/15; 2/1; 3/1; 5/1; 8/15; 12/1; 12/15
Mwujiza Unaolingana na Ufufuo 6/15
Namna Historia Ilivyoandikwa Karne Nyingi Mbele 6/15
Neno la Mungu Launganisha Jamaa 9/15
Thamani ya Nasaba ya Biblia 2/1
Ufanisi Wategemea Uaminifu 12/1
Ufunguo wa Furaha ya Jamaa 3/1
‘Wamewanda na Kung’aa’ 5/1
MAFUNZO YA KITABU
Aitwa “Mwana wa Mungu,” Kwa Jinsi ya Roho 11/15
Alitiwa Mafuta na Nani na kwa Kitu Gani? 11/1
Chanzo cha Kimungu cha Roho Takatifu 3/1
Kufika kwa “Msaidizi,” Roho Takatifu 12/15
Kundi Latiwa Mafuta Kutangaza Ufalme 12/1
Matendo Hodari ya Kale Kupitia kwa Roho Takatifu 8/15
Mtu wa Kwanza Kutiwa Mafuta kwa Roho Takatifu na Nguvu 10/15
‘Mwana wa Pekee’ 5/1
Roho Inayoendesha Taratibu ya Zamani Iliyopo 6/1
Roho Takatifu Yatenda Kazi Juu ya Watu wa Zamani 7/15
Roho Takatifu Yatenda Kazi Katika Makao ya Mbinguni Yasiyoonekana 3/15
“Uzao” wa Kidunia wa Nyoka 6/15
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Faraja Wakati wa Huzuni 4/1
Kuishi Pamoja na Ugonjwa 4/1
Kuwa Mwenye Busara Kunafaidi 10/15
Ni Nani Asiyetaka Faraja? 4/1
Wakati Wengine Wanapojali 11/1
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
Endeleeni Kuenenda Kama Watoto wa Nuru 12/1
Endeleeni ‘Kusimama Imara katika Imani’ 6/15
Enyi Vijana—Ipingeni Mikazo ya Kilimwengu! 10/1
Hazina Yako Iko Wapi? 5/1
Je! Uhusiano Pamoja na Mungu Unatufaidi Sasa? 10/15
Je! Wewe Unajifurahisha Anasa Nyingi Mno—Ama Unajinyima? 1/1
Je! Wewe Unatembea Katika Jina la Mungu? 2/1
Je! Wewe Waweza Kuwa na Uhusiano wa Karibu Sana na Mungu? 10/15
Jionyeshe Kuwa Mwaminifu 5/1
Juhudi kwa Ajili ya Nyumba ya Yehova 12/15
‘Kesheni” 3/15
Kuamini Tengenezo Lishindalo la Yehova 9/1
Kuchagua Kwetu Kufanya Kazi Pamoja na Yehova 4/15
Kudumu Katika Sala Kunathawabisha 11/15
Kuendeleza Uhusiano Unaofaa 11/15
Kuendeleza Usafi Wakati wa Kuleta Zawadi 11/1
Kufanya Kazi ya Yehova Katika Njia ya Yehova 4/15
Kuhubiri Katika Ulimwengu Wenye Uasi 12/15
Kumtolea Yehova Vilivyo Bora Zaidi 11/1
Kumwamini Mwana wa Mungu Kukuhusuje Wewe? 8/1
Kusitawisha Roho ya Kujinyima 1/1
Kustahili Kuwa Waalimu Katika Kundi 6/1
Kuvumilia Udhalimu 4/1
Kuzaa Matunda Kunakomtukuza Mungu 5/15
Kwa Kweli ni Nani Walio na Kweli? 7/1
Mahali pa Vijana Katika Jamii ya Kikristo 10/1
Mateso Yanayoweza Kukufaidi Wewe 4/1
“Mtembee Kama Anavyostahili Yehova” 2/1
Mwanamke Mwenye Akili Aonyesha si Mchoyo 9/15
Mzabibu Unaotoa Divai Inayomfurahisha Mungu na Mwanadamu 5/15
Namna Siku ya Mapambano Itakavyotuletea Faida 7/15
Namna Yehova Anavyoongoza Watu Wake 7/1
Ni Nani Atakayefanya Siku ya Mapambano Itufaidi? 7/15
Ninyi Msienende Tena Kama Waenendavyo Mataifa 12/1
“Nitamfufua Katika Siku ya Mwisho” 2/15
Nyakati Zetu ni za Haraka Kadiri Gani? 3/15
Sala Katika Hizi “Siku za Mwisho” 11/15
Tengenezo la Yehova Lenye Kusonga Mbele 1/15
Twende kwa nani Isipokuwa kwa Yesu Kristo? 9/1
Ufufuo wa Uzima na Mwingine wa Hukumu 2/15
Upendo Katika Matendo 3/1
Ushindi Mkubwa Kupitia kwa Imani 6/15
Usipinge Shauri la Yehova 1/15
Uzima wa Wakati Ujao Kupitia kwa Ufufuo 2/15
Waangalizi Wasafirio Waleta Faida Leo 8/15
Wanaume Wenye Hekima, Akili na Ujuzi wa Kuongoza Watu wa Mungu 6/1
Washindi wa Ulimwengu kwa Imani 8/1
Yehova Anataka ini Kutoka Kwako? 3/1
Yehova Hawaachi Watu Wake 9/15
Yesu Kristo—Mfalme Mshindi Atakayepambana na Mataifa 7/15
Ziara za Wanaume Wasafirio Hufaidi Watu wa Mungu 8/15
MAMBO MENGINE
China na Ukristo 12/15
Elimu Inayoridhisha 3/15
Enyi Vijana—Je! Mnaelekea Kufaulu Kweli Kweli? 10/1
Je! Inawezekana Kuisha Bila Kupungukwa Vitu? 6/1
Je! Kweli Hizi Ndizo “Siku za Mwisho”? 3/15
Je! Wakumbuka? 1/15; 6/1
Krismasi Ilianza Zamani Sana 10/15
Kuwekelea Mikono Juu ya Mnyama Anayetolewa Dhabihu 6/15
Laodikia—Mji Wenye Utajiri Mwingi 3/1
Maandiko ya Kila Siku Juni-Desemba 6/15
Mwujiza Unaolingana na Ufufuo 6/15
Ni Jambo Gani Linalofanya Serikali Iwe Halisi Kwako? 7/15
Ni nani waliokuwa wazao wa Misuraimu 11/1
“Onjeni Mwone Yakuwa [Yehova] Yu Mwema” 1/15
“Sababu Gani Mungu Anaruhusu Uovu?” 8/15
Twauhitaji Ufalme wa Mungu 9/15
Ubatizo Ni Takwa la Kikristo 11/1
Ufahamu Katika Habari 4/1
Ufalme wa Mungu Utamaanisha Nini Kwako? 9/15
Ujumbe kwa Wasomaji Wetu 7/1
Vijana Waigeukia Dini—Sababu Gani? 5/15
Wakati Ambapo Njaa Haitakuwapo Tena 2/15
Watoto Wetu—Urithi Kutoka kwa Yehova 10/1
Yale Ambayo Dini ya Kweli Yaweza Kufanyia Vijana 5/15
Yale Ambayo Vijana Wanahitaji Kutoka kwa Wazazi Wao 10/1
MASHAHIDI WA YEHOVA
Barua ya Shukrani 3/15
Je! Imani Yaweza Kushinda Katika Ulimwengu wa Leo? 8/1
Je! Inawezekana Kutengeneza Tabia za Wafungwa? 1/15
Je! Wewe Waweza Kufaidika Kutokana na Imani? 9/1
Katika Ujeremani Uliofuata Baada ya Vita—Vijana Wamtukuza Yehova 5/15
Kuhudhuria Mikutano Kunasaidia Mtu Akomae Upesi 2/1
Kukesha kwa Miaka 100 Moja 7/1
Kukusanyika Kusudi Tuendeleze Imani Ishindayo 8/1
Kurudia Mambo Makuu Kulikoamsha Fikira 8/15
Matumizi ya Kisasa ya Mfano 3/1
Ongezeko la Kiroho la Ireland—Kuvuna Kilichopandwa 1/1
Sala Yajibiwa 1/1
Shukrani 2/15‘Tunalithamini Kweli Kweli’ 7/1
Vijana Wanaomkumbuka Muumba Wao 10/1
Yehova Ndiye “Msikiaji wa Sala” 11/15
MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
Mhalifu Apokea Msamaha wa Rais 1/15
Niko Huru! Baada ya Kutumia Miaka 20 Kizuizini 12/15
Ukombozi! Kujionyesha Wenyewe Kuwa Watu wa Kushukuru 5/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Je! Ndivyo, Wengine Mbinguni Licha ya Yehova Wana Ujuzi wa Mema na Mabaya? 9/1
Je! Yehova Alisema na Adamu Moja kwa Moja? 1/15
“Kizazi Hiki” Ni Kizazi Gani, Kina urefu Gani? 2/1
Matumizi ya Kadude IUD, Yanapatana na Kanuni za Kikristo? 10/15
Mithali hii Inamaanisha Nini: “Mpige Mwenye Mzaha . . . ”?
Ni Nani hao “Watakatifu”? 11/1
Ni Vibaya Kutumia Dawa za Kupunguza Maumivu? 1/15
Patanisha Mwanzo 11:1 na 10:15 1/1
Sababu Gani Yesu “Alivitakasa Vyakula Vyote” 1/15
Samsoni Mtumishi wa Mungu Alikwenda Mahali pa Kahaba Sababu Gani? 11/1
Wenye Kufufuliwa Watakuwa na Sura Gani? 2/15
YEHOVA MUNGU
Afunua Hukumu Zake 6/1
Je! Wewe Unamtumaini Mungu au Mwanadamu? 11/15
Je! Wewe Unatembea Kama Kwamba Uko Mbele za Mungu? 3/1
YESU KRISTO
‘Amani kwa Watu Aliowakubali’ 10/15
Kukumbuka Kifo cha Kristo 2/1