Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w79 12/15 uku. 23
  • Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1979

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1979
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1979
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAFUNZO YA KITABU
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • YEHOVA MUNGU
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1979
w79 12/15 uku. 23

Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1979

BIBLIA

“Agano la Kale”​—⁠Ni la Maana Leo? 2/15

“Kikapu cha Matunda ya Wakati wa Hari” 5/15

Kuitetea Kweli ya Biblia 7/1

Mahubiri ya Mlimani, 4/15; 5/1; 6/1; 8/1; 8/15; 9/15; 12/1; 12/15

Mithali Yenye Hekima 4/1

Mwenye Hekima Alikuwa na Maana Gani? 1/1; 1/15; 2/1; 3/1; 5/1; 8/15; 12/1; 12/15

Mwujiza Unaolingana na Ufufuo 6/15

Namna Historia Ilivyoandikwa Karne Nyingi Mbele 6/15

Neno la Mungu Launganisha Jamaa 9/15

Thamani ya Nasaba ya Biblia 2/1

Ufanisi Wategemea Uaminifu 12/1

Ufunguo wa Furaha ya Jamaa 3/1

‘Wamewanda na Kung’aa’ 5/1

MAFUNZO YA KITABU

Aitwa “Mwana wa Mungu,” Kwa Jinsi ya Roho 11/15

Alitiwa Mafuta na Nani na kwa Kitu Gani? 11/1

Chanzo cha Kimungu cha Roho Takatifu 3/1

Kufika kwa “Msaidizi,” Roho Takatifu 12/15

Kundi Latiwa Mafuta Kutangaza Ufalme 12/1

Matendo Hodari ya Kale Kupitia kwa Roho Takatifu 8/15

Mtu wa Kwanza Kutiwa Mafuta kwa Roho Takatifu na Nguvu 10/15

‘Mwana wa Pekee’ 5/1

Roho Inayoendesha Taratibu ya Zamani Iliyopo 6/1

Roho Takatifu Yatenda Kazi Juu ya Watu wa Zamani 7/15

Roho Takatifu Yatenda Kazi Katika Makao ya Mbinguni Yasiyoonekana 3/15

“Uzao” wa Kidunia wa Nyoka 6/15

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Faraja Wakati wa Huzuni 4/1

Kuishi Pamoja na Ugonjwa 4/1

Kuwa Mwenye Busara Kunafaidi 10/15

Ni Nani Asiyetaka Faraja? 4/1

Wakati Wengine Wanapojali 11/1

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

Endeleeni Kuenenda Kama Watoto wa Nuru 12/1

Endeleeni ‘Kusimama Imara katika Imani’ 6/15

Enyi Vijana​​—⁠Ipingeni Mikazo ya Kilimwengu! 10/1

Hazina Yako Iko Wapi? 5/1

Je! Uhusiano Pamoja na Mungu Unatufaidi Sasa? 10/15

Je! Wewe Unajifurahisha Anasa Nyingi Mno​​—⁠Ama Unajinyima? 1/1

Je! Wewe Unatembea Katika Jina la Mungu? 2/1

Je! Wewe Waweza Kuwa na Uhusiano wa Karibu Sana na Mungu? 10/15

Jionyeshe Kuwa Mwaminifu 5/1

Juhudi kwa Ajili ya Nyumba ya Yehova 12/15

‘Kesheni” 3/15

Kuamini Tengenezo Lishindalo la Yehova 9/1

Kuchagua Kwetu Kufanya Kazi Pamoja na Yehova 4/15

Kudumu Katika Sala Kunathawabisha 11/15

Kuendeleza Uhusiano Unaofaa 11/15

Kuendeleza Usafi Wakati wa Kuleta Zawadi 11/1

Kufanya Kazi ya Yehova Katika Njia ya Yehova 4/15

Kuhubiri Katika Ulimwengu Wenye Uasi 12/15

Kumtolea Yehova Vilivyo Bora Zaidi 11/1

Kumwamini Mwana wa Mungu Kukuhusuje Wewe? 8/1

Kusitawisha Roho ya Kujinyima 1/1

Kustahili Kuwa Waalimu Katika Kundi 6/1

Kuvumilia Udhalimu 4/1

Kuzaa Matunda Kunakomtukuza Mungu 5/15

Kwa Kweli ni Nani Walio na Kweli? 7/1

Mahali pa Vijana Katika Jamii ya Kikristo 10/1

Mateso Yanayoweza Kukufaidi Wewe 4/1

“Mtembee Kama Anavyostahili Yehova” 2/1

Mwanamke Mwenye Akili Aonyesha si Mchoyo 9/15

Mzabibu Unaotoa Divai Inayomfurahisha Mungu na Mwanadamu 5/15

Namna Siku ya Mapambano Itakavyotuletea Faida 7/15

Namna Yehova Anavyoongoza Watu Wake 7/1

Ni Nani Atakayefanya Siku ya Mapambano Itufaidi? 7/15

Ninyi Msienende Tena Kama Waenendavyo Mataifa 12/1

“Nitamfufua Katika Siku ya Mwisho” 2/15

Nyakati Zetu ni za Haraka Kadiri Gani? 3/15

Sala Katika Hizi “Siku za Mwisho” 11/15

Tengenezo la Yehova Lenye Kusonga Mbele 1/15

Twende kwa nani Isipokuwa kwa Yesu Kristo? 9/1

Ufufuo wa Uzima na Mwingine wa Hukumu 2/15

Upendo Katika Matendo 3/1

Ushindi Mkubwa Kupitia kwa Imani 6/15

Usipinge Shauri la Yehova 1/15

Uzima wa Wakati Ujao Kupitia kwa Ufufuo 2/15

Waangalizi Wasafirio Waleta Faida Leo 8/15

Wanaume Wenye Hekima, Akili na Ujuzi wa Kuongoza Watu wa Mungu 6/1

Washindi wa Ulimwengu kwa Imani 8/1

Yehova Anataka ini Kutoka Kwako? 3/1

Yehova Hawaachi Watu Wake 9/15

Yesu Kristo​—⁠Mfalme Mshindi Atakayepambana na Mataifa 7/15

Ziara za Wanaume Wasafirio Hufaidi Watu wa Mungu 8/15

MAMBO MENGINE

China na Ukristo 12/15

Elimu Inayoridhisha 3/15

Enyi Vijana​​—⁠Je! Mnaelekea Kufaulu Kweli Kweli? 10/1

Je! Inawezekana Kuisha Bila Kupungukwa Vitu? 6/1

Je! Kweli Hizi Ndizo “Siku za Mwisho”? 3/15

Je! Wakumbuka? 1/15; 6/1

Krismasi Ilianza Zamani Sana 10/15

Kuwekelea Mikono Juu ya Mnyama Anayetolewa Dhabihu 6/15

Laodikia​​—⁠Mji Wenye Utajiri Mwingi 3/1

Maandiko ya Kila Siku Juni-Desemba 6/15

Mwujiza Unaolingana na Ufufuo 6/15

Ni Jambo Gani Linalofanya Serikali Iwe Halisi Kwako? 7/15

Ni nani waliokuwa wazao wa Misuraimu 11/1

“Onjeni Mwone Yakuwa [Yehova] Yu Mwema” 1/15

“Sababu Gani Mungu Anaruhusu Uovu?” 8/15

Twauhitaji Ufalme wa Mungu 9/15

Ubatizo Ni Takwa la Kikristo 11/1

Ufahamu Katika Habari 4/1

Ufalme wa Mungu Utamaanisha Nini Kwako? 9/15

Ujumbe kwa Wasomaji Wetu 7/1

Vijana Waigeukia Dini​​—⁠Sababu Gani? 5/15

Wakati Ambapo Njaa Haitakuwapo Tena 2/15

Watoto Wetu​​—⁠Urithi Kutoka kwa Yehova 10/1

Yale Ambayo Dini ya Kweli Yaweza Kufanyia Vijana 5/15

Yale Ambayo Vijana Wanahitaji Kutoka kwa Wazazi Wao 10/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

Barua ya Shukrani 3/15

Je! Imani Yaweza Kushinda Katika Ulimwengu wa Leo? 8/1

Je! Inawezekana Kutengeneza Tabia za Wafungwa? 1/15

Je! Wewe Waweza Kufaidika Kutokana na Imani? 9/1

Katika Ujeremani Uliofuata Baada ya Vita​​—⁠Vijana Wamtukuza Yehova 5/15

Kuhudhuria Mikutano Kunasaidia Mtu Akomae Upesi 2/1

Kukesha kwa Miaka 100 Moja 7/1

Kukusanyika Kusudi Tuendeleze Imani Ishindayo 8/1

Kurudia Mambo Makuu Kulikoamsha Fikira 8/15

Matumizi ya Kisasa ya Mfano 3/1

Ongezeko la Kiroho la Ireland​​—⁠Kuvuna Kilichopandwa 1/1

Sala Yajibiwa 1/1

Shukrani 2/15‘Tunalithamini Kweli Kweli’ 7/1

Vijana Wanaomkumbuka Muumba Wao 10/1

Yehova Ndiye “Msikiaji wa Sala” 11/15

MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU

Mhalifu Apokea Msamaha wa Rais 1/15

Niko Huru! Baada ya Kutumia Miaka 20 Kizuizini 12/15

Ukombozi! Kujionyesha Wenyewe Kuwa Watu wa Kushukuru 5/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Je! Ndivyo, Wengine Mbinguni Licha ya Yehova Wana Ujuzi wa Mema na Mabaya? 9/1

Je! Yehova Alisema na Adamu Moja kwa Moja? 1/15

“Kizazi Hiki” Ni Kizazi Gani, Kina urefu Gani? 2/1

Matumizi ya Kadude IUD, Yanapatana na Kanuni za Kikristo? 10/15

Mithali hii Inamaanisha Nini: “Mpige Mwenye Mzaha . . . ”?

Ni Nani hao “Watakatifu”? 11/1

Ni Vibaya Kutumia Dawa za Kupunguza Maumivu? 1/15

Patanisha Mwanzo 11:1 na 10:15 1/1

Sababu Gani Yesu “Alivitakasa Vyakula Vyote” 1/15

Samsoni Mtumishi wa Mungu Alikwenda Mahali pa Kahaba Sababu Gani? 11/1

Wenye Kufufuliwa Watakuwa na Sura Gani? 2/15

YEHOVA MUNGU

Afunua Hukumu Zake 6/1

Je! Wewe Unamtumaini Mungu au Mwanadamu? 11/15

Je! Wewe Unatembea Kama Kwamba Uko Mbele za Mungu? 3/1

YESU KRISTO

‘Amani kwa Watu Aliowakubali’ 10/15

Kukumbuka Kifo cha Kristo 2/1

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki