Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w81 5/1 uku. 7
  • Mithali ya Hekima

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mithali ya Hekima
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1981
  • Habari Zinazolingana
  • Heshimu Wanadamu Wa Namna Zote
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1991
  • Heshimu Yehova, Kwa Nini Na Kwa Jinsi Gani?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1991
  • Mpe Heshima Yule Anayestahili
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2017
  • Heshimu Yule Mwana, Wakili Mkuu Wa Yehova
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1991
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1981
w81 5/1 uku. 7

Mithali ya Hekima

“Wenye hekima wataurithi utukufu, bali kukuzwa kwa wapumbavu ni fedheha.”​—Mit. 3:35.

Mara nyingi mtu anayeonyesha hekima ya kweli anapata utukufu ambao hakuwa anatafuta. Utukufu huo ambao hakuwa anatafuta anaupata kwa sababu watu wengine wanaweza kuona kwamba matendo yake yanalingana na maarifa na ufahamu, kwamba yeye ni mtu aliye mfano bora. (Mit. 12:8; 22:29) Hiyo ni kwa sababu anatafuta kushikamana na hekima ya kimungu. (Yak. 3:13, 17) “Wapumbavu” ni tofauti sana! Wanaweka maanani zaidi vitu visivyoleta utukufu wa kweli wenye kuendelea bali ambavyo baadaye vitawatokezea kukosa utukufu. Kwa sababu ya upumbavu, hawatangulii kuona matokeo yatakuwa nini. Tofauti ni kubwa kama nini kati ya ‘mwenye hekima’ na ‘mpumbavu’!

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki