‘Yanatoboa Waziwazi’
Katika barua yenye kuomba uandikishaji wa magazeti “Mnara wa Mlinzi” na “Amkeni!,” msomaji mmoja aliandika hivi:
“Nilitaka kuwaambia kwamba ninafikiri magazeti yenu yanafurahisha sana na ni yenye manufaa katika kuonyesha mtu kanuni za Biblia. . . . Mimi ni Mkatoliki na sidhani nimewahi kusikia wala kuona Biblia na ujumbe wake mtukufu ukitangazwa kama unavyotangazwa na Mashahidi. Ingawa watu wana maoni mabaya juu yenu na nyakati zetu zina magumu, mimi natumaini mtaweza kuendelea na kazi yenu. Nimewahi kwenda kwenye makanisa mbalimbali nami najisikia vizuri kwa kujua kwamba kuna watu fulani wanaotoboa waziwazi mambo ya Biblia na maana yake. Hili ni badiliko lenye kuniburudisha.”
Hata wewe unaweza kuyapata majarida haya yenye habari za Biblia. Yanaweza kufika kwenye sanduku la posta lako ukijaza na kutuma hati yenye anwani iliyo hapa chini.
Tafadhali mnipelekee magazeti “Mnara wa Mlinzi” na “Amkeni!” kwa mwaka mmoja; mimi ninawapelekea Kshs. 40/- (Tshs. 55/-, RWF 550). Kwa sababu ya kutuma hati hii nitapokea vijitabu sita bila malipo.