Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1981
Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala Inapatikana
BIBLIA
Je! Kitabu Hiki Kinaweza Kukusaidia Ufanikiwe? 10/1/81
Je! Yakupasa Uiamini Biblia? 3/15/81
Kitabu cha Mithali—Kimejaa Hekima Katika Maneno Machache 3/1/81
Kutimizwa kwa Neno la Mungu Ni Hakika 7/15/81
Msaada Hakika Kutoka kwa Neno la Mungu 1/1/81
Ubukuzi wa Mambo ya Kale Waithibitisha Biblia 3/15/81
Uwezo Wenye Kutegemeza wa Neno la Mungu 1/15/81
Zaburi (Mazungumzo ya Zaburi mbalimbali yanapatikana katika matoleo mara kwa mara.)
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Dhambi—Ina Ubaya? 4/15/81
Fanikisha Maisha Yako Sasa 10/1/81
Heshimu Mpango wa Yehova kwa Unyenyekevu kama Malaika 4/1/81
Je! Wewe Unaridhika na Kile Ulicho Nacho 6/1/81
Je! Wewe Unathamini Kuwa Pamoja na Watumishi wa Mungu? 6/1/81
Je! Wewe Unathamini “Mtumwa Mwaminifu Mwenye Akili”? 8/15/81
“Kuzaa Matunda Katika Kila Kazi Njema” 6/15/81
Kwa Nini Ufanye Yaliyo Haki? 12/15/81
Matendo Yetu Yanakuwa na Matokeo Juu ya Kundi 3/1/81
“Nuru Yenu na Iangaze” 9/15/81
Sababu Gani Usimsalimu Mtu? 2/15/81
Sababu Gani Uuzuie Ulimi Wako? 7/1/81
Tazama Mbele Kabisa Ukiwa Mkristo 9/15/81
Unaweza Kuzuia Hasira Yako 12/1/81
Wakati Usio wa Kujihurumia 11/15/81
Wakati wa Kungojea kwa Uvumilivu 10/15/81
Wewe Unafurahishwa na Mambo Anayochukia Mungu? 12/1/81
Yafaa Kuzuia Kiburi Chako 7/15/81
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
“Amani ya Mungu Inayoshinda Mawazo Yote” 4/15/81
Baada ya Hizi “Siku za Mwisho” Ufalme wa Mungu wa Kimasihi! 3/15/81
Barabara Inayoongoza Kwenye Afya Yafunguliwa na Mungu 5/15/81
Endeleeni ‘Kuwa Imara Katika Imani’ 1/15/81
“Furahini, Enyi Mataifa, Pamoja na Watu Wake” 11/15/81
Hali ya Afya Ambayo Wanadamu Wangekuwa Nayo 5/15/81
Ikiwa Mungu Ana Tengenezo, Ni Tengenezo Gani? 10/1/81
Je! Siku ya Mungu ya Kisasi Inakaribia? 7/1/81
Je! Tunakaribia Har–Magedoni? 4/1/81
Je! Wewe Ni Mtangazaji Mshikamanifu wa Ufalme wa Mungu? 6/1/81
Je! Wewe Waweza Kusaidia Wajane na Yatima ‘Katika Shida Zao”? 3/1/81
Jifanyie Jina Lako Zuri Sasa! 7/15/81
Jifanyie Jina Zuri Pamoja na Mungu 7/15/81
“Katika Siku za Mwisho” Tangu Wakati Gani? 3/15/81
Kimbilia Ufalme wa Mungu! 5/1/81
‘Kufanya Kazi kwa Bidii na Kujikaza’ 6/15/81
Kuonyesha Kupendezwa na “Kundi la Mungu” 2/15/81
Kupata Furaha ya Kweli Kunategemea Wewe 9/1/81
“Kushiriki Katika Kazi Takatifu ya Habari Njema” 6/15/81
Kutoa Onyo la Kimungu 8/1/81
Lile Tumaini la Mileani Lashinda 9/15/81
Mashahidi Mpaka Kwenye Sehemu ya Mbali Zaidi ya Dunia 8/15/81
“Mchungaji Mwema” na Lile “Kundi Dogo” 1/1/81
“Mchungaji Mwema” na “Kondoo Wengine” Wake 1/1/81
Misaada Katika Kujiendesha Wenyewe kama Watu Wadogo Zaidi 11/1/81
“Mkaribishane” 11/15/81
“Mkutano Mkubwa” Wamtolea Mungu Utumishi Mtakatifu Wapi? 2/1/81
“Msihangaikie Cho Chote” 4/15/81
Mungu wa Upendo Huchukia Kutaliki 12/1/81
Mwache Mungu Awe Katika Ndoa Yako 12/1/81
Nendeni! Mkafanye Wanafunzi 8/15/81
Ni Nani Atakayemsifu Mfalme? 6/1/81
Sababu Gani Mungu wa Upendo Atalipa Kisasi? 7/1/81
Sehemu Yenye Kuonekana ya Tengenezo la Mungu 10/1/81
Toba Inayorudisha Mtu kwa Mungu 12/15/81
Tutachagua Tengenezo Jipi—la Yehova au la Shetani? 10/1/81
Tutaokokaje? 5/1/81
Twashukuru kwa Ajili ya ‘Tumaini Letu la Furaha’ 9/1/81
Ule Ufalme—Je! Ni Jambo Halisi Kwako? 10/15/81
Utumishi Mtakatifu Katika Huu “Wakati wa Mwisho” 2/1/81
Uwe Mwenye Hekima—Jiendeshe Mwenyewe kama Mtu Mdogo Zaidi 11/1/81
Uwe na Imani Katika Ule Ufalme! 10/15/81
Wakristo na Tumaini la Mileani 9/15/81
Wampendao Mungu Waazimia 8/1/81
Waangalizi—Iweni Mifano Myema kwa “Kundi” 2/15/81
Wakati wa Kuwapo kwa Mlinzi kama Ezekieli 8/1/81
Wazazi Wasio na Wenzi Wanashindana na Matatizo ya Ulimwengu wa Leo 3/1/81
Wenye Furaha Ni Wale Ambao Mungu Huwatia Adabu 12/15/81
Wenye Uhakika Katika Ulimwengu Unaozungukwa na Mashaka 1/15/81
“Yule Kahaba Mkuu” Akaribia Kuuawa Kwake 4/1/81
MAMBO MENGINE
“Afadhali Kuwa Wawili Kuliko Mmoja” 7/15/81
Amani ya Kweli ya Akili Inaletwa na Nini? 4/15/81
Hana—Mwanamke Aliyepata Faraja Katika Sala 8/1/81
Hatari za Tumbako kwa Afya Zafichwa 11/1/81
Je! Dini Zote Zawaongoza Watu kwa Mungu? 9/1/81
Imani Imekwenda Wapi? 11/15/81
Je! Ni Kweli Kwamba “Wote Wamefanya Dhambi”? 4/15/81
Je! Tunahitaji Msaada Kuielewa Biblia? 12/1/81
Je! Unaweza Kumpenda Jirani Yako na Bado Uvute Sigara? 8/1/81
Je! Waweza Kuwa Adui Yako Wewe Mwenyewe? 1/1/81
Kifaa kwa Wanafunzi na Waalimu 4/1/81
Kiliwasaidia Waache Kuvuta Sigara 9/15/81
Kitabu Kinachosaidia Watu 11/1/81
Kuondoa Doa la Dhambi 4/15/81
“Kuwaogopa Wanadamu Huleta Mtego” 12/15/81
Maonyo Yanayopaswa Kufuatwa 5/1/81
Mefiboshethi—Mwanamume Mwenye Kuthamini 5/1/81
Mfalme Aliyesahau Shukrani 12/15/81
Mfalme Sulemani Mwenye Hekima Alisema Hivi: 2/15/81
Mithali ya Hekima 5/1/81
Msingi wa Imani Iliyohakikishwa 11/15/81
Mwabudu Mungu Katika Njia Yake 9/1/81
Namna ya Kuacha Kuvuta Sigara 8/1/81
Nani Anayeweza Kuridhika? 8/15/81
‘Ni Neno Jema Kama Nini Wakati Ufaao!’ 1/15/81
Ni Nini Ufunguo wa Kupata Furaha? 11/1/81
Rebeka—Abarikiwa na Yehova 9/15/81
Sala na Jitihada Zathawabishwa 5/15/81
Sala Yake Ilijibiwa 4/1/81
Sherehe Isiyo na Mfano Wake 7/1/81
Uchawi Waachwa 2/15/81
Unaweza Kupata Furaha! 11/1/81
Unaweza Kuridhika na Fungu Lako Maishani? 8/15/81
Usalama Sasa na Milele 2/15/81
Utafutaji wa Usalama 2/15/81
Wakati Shauri la Mungu Linapokosa Kufuatwa 5/1/81
Wakati Ujao kwa Washikamanifu wa Mungu 7/1/81
Yanayompata Mvutaji wa Sigara 8/1/81
MASHAHIDI WA YEHOVA
Imani Inafaa!—Ushuhuda Kutoka Kambi za Mateso 11/15/81
‘Kila Silaha Itakayofanywa Juu Yako Haitafanikiwa’ 1/1/81
Kuendelea Kuwa Imara Katika Imani Nyakati za Magumu 12/15/81
Kwa Sababu Wanashikamana na Neno la Mungu 1/15/81
Tumaini la Msichana Huyu Ni Halisi 11/1/81
(Historia ya Mashahidi wa Yehova Katika Nyakati za Kisasa imeelezwa katika matoleo machache.)
MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
Kumtumikia Mungu Nyakati za Magumu 10/15/81
Namna Magumu ya Ndoa Yao Yalivyomalizwa 1/15/81
Namna Walivyopata Maisha ya Jamaa Yenye Furaha 7/1/81
Ninafurahi Kutumikia Mungu Anayekumbuka 3/1/81
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Biblia inatoa uongozi gani kuhusu kucheza kamari? 10/15/81
Ingefaa kusali kwa ajili ya mtu ambayo ametengwa? 7/1/81
Kichwa cha “nyoka” kitapondwa wakati gani 7/1/81
Mbingu . . . lazima kufuata maamuzi yanayofanywa . . . duniani? 12/1/81
“Roho za watu waadilifu” . . . katika Waebrania sura ya 11? 3/15/81
Sababu gani Mashahidi wa Yehova hawasherehekei kuzaliwa kwao? 4/1/81
Ufunuo 19:19-21 . . . “wale waliosalia” watauawa kwa upanga. Ni nani “wale waliosalia”? 7/15/81
NENO LA MUNGU LI HAI
(Hadithi za Biblia zinazotokea katika matoleo mara kwa mara.)
UFAHAMU KATIKA HABARI
(Sehemu hii inatokea mara kwa mara.)
YEHOVA MUNGU
Hali Inayokubalika Mbele za Yehova 1/1/81
Jina la Yehova—Ulinzi 4/15/81
Ushuhuda Mkubwa wa Utukufu wa Mungu na wa Kwamba Yeye Ndiye Muumba 5/15/81
Ushuhuda wa Kuwako kwa Muumba 5/15/81
‘Yehova wa Majeshi’ Aenda Kuokoa! 5/15/81
YESU KRISTO
“Aliwapenda Mpaka Mwisho” 2/1/81