Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w82 12/15 kur. 23-24
  • Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1982

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1982
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1982
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • NENO LA MUNGU LI HAI
  • YEHOVA MUNGU
  • YESU KRISTO
  • ZABURI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1982
w82 12/15 kur. 23-24

Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1982

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

Biblia Ilitabiri Mashindano ya Mamlaka Yaliyopo Sasa? 1/15/82

Jilishe kwa Ukawaida Kweli za Biblia 5/15/82

Mathayo Atangaza ‘Masihi Amekuja!’ 11/1/82

Obadia Anatoa Onyo na Faraja Kutoka kwa Mungu 11/15/82

Yoeli Atoa Unabii Juu ya Kisasi cha Yehova na Upendo Wake 7/15/82

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Inawezekana Kweli Kuwa na Mwenendo Safi Kuhusu Ngono? 6/1/82

Jihadhari na Mazungumzo ya Uasi 8/1/82

Jinsi ya Kupainia—Mambo Yaliyoonwa Yenye Kufaa 8/1/82

Kutatua Matatizo ya Vijana 10/15/82

Matendo Yetu Yanakuwa na Matokeo Juu ya Kundi 2/15/82

Wewe Unachagua Kuishi

—Unachagua Kuishi 8/15/82

—Maisha Unayochagua Sasa 8/15/82

—Maisha Unayoweza Kuchagua 8/15/82

—Uchaguzi Ulio Bora—Maisha katika Dunia ya Paradiso 9/15/82

—Namna Wewe Unavyofanya Uchaguzi Wako Ujulikane 9/15/82

Yehova Huwabariki Washikamanifu Wake 8/1/82

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

“Amani na Usalama!”​—Halafu “Uharibifu wa Ghafula” 6/15/82

Endelea Kufuatia Miradi ya Kiroho 11/15/82

Hatua Unayopaswa Kuchukua! 10/15/82

Ibada ya Mungu Mmoja wa Kweli Tayari Inaendelea Kuinuliwa 1/15/82

Ikiwa Mtu wa Ukoo Ametengwa na Ushirika . . . 1/1/82

Ishara za Nyakati—Zina Maana Gani Kwako? 10/15/82

Jeshi Hodari la Yehova la Wapiganaji wa Wakati Wote 8/1/82

Jinsi Ufalme Huo ‘Unakuja’ 10/1/82

‘Kaeni Mkikesha na Mbaki Mkiwa na Fahamu Zenu’ 6/15/82

“Kila Mtu Mahali Pake” 11/1/82

Kufaidika na Dhamiri Yako Uliyopewa na Mungu 12/15/82

Kufichwa katika Siku ya Hasira ya Yehova 3/15/82

Kujiweka Wakf—Kwa Nani? Kwa Sababu Gani? 2/15/82

Kulea Watoto Wenye Furaha katika Ulimwengu Wenye Upotoe 7/15/82

Kuliunga Mkono Neno la Mungu kwa Ushikamanifu 8/15/82

Kumpendeza Yehova kama Jamaa 4/15/82

Kumtumikia Yehova “Bega kwa Bega” 3/15/82

Kuokoka au Kuharibiwa kwenye ile “Dhiki Kubwa” 9/1/82

Kuongezeka kwa Nuru katika Nyakati za Kisasa 7/1/82

Kusudi la Mungu kwa Kufanya Wengine ‘Wazaliwe Mara ya Pili’ 2/1/82

Kutenga na Ushirika—Jinsi Kunavyopasa Kuonwa 1/1/82

Kutii kwa Ushikamanifu Utaratibu wa Kitheokrasi 11/1/82

Kutoa Utumishi Mtakatifu kama Jamaa 4/15/82

Kuwa na Mwenendo wa Kimungu Kuwaeleke Wengine 1/1/82

Kuvumilia kwa Furaha Ijapokuwa Mateso 9/15/82

Kuvuna katika “Wakati wa Mwisho” 3/1/82

‘Kuzaliwa Mara ya Pili’​—Sehemu ya Mwanadamu na Sehemu ya Mungu 2/1/82

“Kwa Kweli Ni Nani Yule Msimamizi wa Nyumba Mwaminifu, Mwenye Akili?” 4/1/82

Kwa Sababu Gani Kuomba, “Ufalme Wako Uje”? 10/1/82

“Msimamizi wa Nyumba” Huyo Anapoikabili Har–Magedoni 4/1/82

“Ni Nini Kinachonizuia Nisibatizwe?” 2/15/82

‘Ninyi ni Wenye Furaha Wakati Watu Wanawatesa Ninyi’ 9/15/82

Njia ya Wenye Haki Inaendelea Kung’aa Zaidi na Zaidi 7/1/82

‘Nuru Imemeta kwa Ajili ya Wenye Haki’ 7/1/82

Saa ya Hatari Inakaribia! 10/15/82

Sasa Ndio Wakati wa Kulihubiri Neno 5/15/82

Shamba Lenye Kuzaa Ngano na Magugu 3/1/82

Siku ya Kuhukumiwa kwa Miungu 1/15/82

Songeni Mbele, Ninyi Wahudumu wa Ule Ufalme! 5/15/82

Tengenezo la Yehova Linasonga Mbele—Je! Wewe Unasonga Pamoja Nalo? 12/1/82 Ufalme wa Mungu ‘Waja’​—Wakati Gani? 10/1/82

Ule Ufalme na lile Tumaini la Ufufuo 9/1/82

Useja—Faida na Nafasi Zake 11/15/82

Ushikamanifu kwa “Ufalme wa Bwana na wa Kristo Wake” 8/15/82

“Utimizeni Wokovu Wenu Wenyewe” 12/1/82

Vijana, je! Mwenendo Safi Unaosemwa na Biblia Ndiyo Njia Bora? 6/1/82

Wakf na Mfano Wake 2/15/82

Watoto Wenye Furaha katika Ulimwengu Wenye Upotoe 7/15/82

‘Watu wa Mataifa Wataiendea Makundi Makundi’ Ibada Yenye Kutoa Uzima 1/15/82

Wazazi, Fikieni Moyo wa Mtoto Wenu 6/1/82

Wenye Bidii kwa “Kazi ya Bwana” 5/1/82

Wewe Unaongozaje Maisha Yako? 12/15/82

Yehova Ategemeza Jeshi Lake la Wapiganaji wa Wakati Wote 8/1/82

Zishikeni Sana “Habari Njema”! 5/1/82

MAMBO MENGINE

Biblia Inatabiri-Mwisho wa Dunia 6/15/82

Elimu—Gharama Yake, Faida Yake 12/15/82

Jinsi Ndoa Inavyookoka Shambulio Hilo 12/15/82

Kifo Kinaweza Kushindwa 2/15/82

Kuepuka Msiba wa Kulalwa Kinguvu 9/15/82

Kuponya kwa Imani 3/1/82

Kusema katika Lugha Leo—Kunatoka kwa Mungu?

‘Kuzaliwa Mara ya Pili’ 2/1/82

Kuzaliwa Pamoja na Nafsi Isiyokufa au Ufufuo—Ni Jambo Gani? 9/1/82

Maoni ya Hekima Juu ya Elimu 12/15/82

Mradi Wako Maishani Ni Nini? 11/15/82

“Mwisho wa Ulimwengu” Ni Tazamio Zuri 6/15/82

Ndoa Inashambuliwa 12/15/82

Ni Nani Wanaosema katika Lugha? 3/15/82

Sababu Gani Kuna Dini Nyingi Sana 8/1/82

Ufufuo, Siku ya Hukumu na Uasi-imani 9/1/82

Ugonjwa—Kuna Tumaini Gani la Kupata Faraja 4/15/82

Uongo wa Kwanza 9/1/82

Vijana katika Ulimwengu wa Kisasa 7/15/82

Wewe Unajua Kuvumilia Huzuni Nyingi? 1/1/82

Wewe Utamsikiliza Mungu? 4/1/82

Yonathani “Mwanamume Mmoja katika Elfu” 10/1/82

MASHAHIDI WA YEHOVA

Bidii ya Umisionari—Alama ya Wakristo wa Kweli 5/1/82

Jinsi Siku Ilivyo katika Maisha ya Misionari 5/1/82

Kipawa cha Kazi Ambacho Mungu Amewapa Watumishi Wake 12/1/82

“Kweli ya Ufalme” Makusanyiko ya Wilaya 5/15/82

Mwana wa Miaka Tisa Azuia Ndoa Isivunjike 6/1/82

Shukrani kwa Msaada wa Utibabu 5/15/82

Tendo Lililounganishwa kwa Umoja Kufanya Ujenzi Ulimwenguni Pote 7/15/82

Yehova ni Mnara Wenye Nguvu 6/1/82

MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU

Kutoka Hali ya Kukosa Tumaini mpaka Kuwa na Furaha 2/1/82

Kuvumilia Baada ya Msiba Mkubwa 4/15/82

Sala ya Mfungwa Ilijibiwa 11/1/82

Yehova ni Ngome Yangu 3/15/82

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Kufanya Matembezi na Mwanamke Usipokuwa Huru Kuoa 2/1/82

Kujitenga na Ushirika 10/15/82

Mathayo 4:1 3/1/82

Mifano kwenye Utukuzo wa Chakula cha Bwana cha Jioni 11/1/82

Mtoto Kuishi na Watu wa Ukoo Walimwengu 12/1/82

Mwanzo 2:7 11/15/82

Ngono na Mwenzi Mzinifu 4/15/82

2 Samweli 8:13 4/15/82

“Sehemu Maradufu” ya Roho ya Mungu 6/15/82

Ufalme wa Mungu na Ufalme wa Kristo 3/1/82

NENO LA MUNGU LI HAI

3/1/82, 4/1/82, 5/1/82, 5/15/82, 6/1/82, 6/15/82, 10/1/82, 10/15/82, 11/15/82

YEHOVA MUNGU

Kwa Kweli Mungu Anasema Leo? 4/1/82

Ni Nani Peke Yake Aliye Mshikamanifu? 8/5/82

YESU KRISTO

Kristo Amerudi? 7/1/82

Kristo Angeweza Kurudi Pasipo Kuonekana? 7/1/82

Kuadhimisha Kifo cha Mwanamume Mkuu Zaidi Aliyepata Kuwa Duniani 2/1/82

ZABURI

Furaha ya Kushiriki katika Ibada ya Kweli 1/1/82

Wewe Unachagua Kuwa Wapi? 10/15/82

Wewe Unapenda Kadiri Gani Utawala Wenye Haki ya Adili 10/1/82

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki