Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi,” 1982
Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana
BIBLIA
Biblia Ilitabiri Mashindano ya Mamlaka Yaliyopo Sasa? 1/15/82
Jilishe kwa Ukawaida Kweli za Biblia 5/15/82
Mathayo Atangaza ‘Masihi Amekuja!’ 11/1/82
Obadia Anatoa Onyo na Faraja Kutoka kwa Mungu 11/15/82
Yoeli Atoa Unabii Juu ya Kisasi cha Yehova na Upendo Wake 7/15/82
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Inawezekana Kweli Kuwa na Mwenendo Safi Kuhusu Ngono? 6/1/82
Jihadhari na Mazungumzo ya Uasi 8/1/82
Jinsi ya Kupainia—Mambo Yaliyoonwa Yenye Kufaa 8/1/82
Kutatua Matatizo ya Vijana 10/15/82
Matendo Yetu Yanakuwa na Matokeo Juu ya Kundi 2/15/82
Wewe Unachagua Kuishi
—Unachagua Kuishi 8/15/82
—Maisha Unayochagua Sasa 8/15/82
—Maisha Unayoweza Kuchagua 8/15/82
—Uchaguzi Ulio Bora—Maisha katika Dunia ya Paradiso 9/15/82
—Namna Wewe Unavyofanya Uchaguzi Wako Ujulikane 9/15/82
Yehova Huwabariki Washikamanifu Wake 8/1/82
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
“Amani na Usalama!”—Halafu “Uharibifu wa Ghafula” 6/15/82
Endelea Kufuatia Miradi ya Kiroho 11/15/82
Hatua Unayopaswa Kuchukua! 10/15/82
Ibada ya Mungu Mmoja wa Kweli Tayari Inaendelea Kuinuliwa 1/15/82
Ikiwa Mtu wa Ukoo Ametengwa na Ushirika . . . 1/1/82
Ishara za Nyakati—Zina Maana Gani Kwako? 10/15/82
Jeshi Hodari la Yehova la Wapiganaji wa Wakati Wote 8/1/82
Jinsi Ufalme Huo ‘Unakuja’ 10/1/82
‘Kaeni Mkikesha na Mbaki Mkiwa na Fahamu Zenu’ 6/15/82
“Kila Mtu Mahali Pake” 11/1/82
Kufaidika na Dhamiri Yako Uliyopewa na Mungu 12/15/82
Kufichwa katika Siku ya Hasira ya Yehova 3/15/82
Kujiweka Wakf—Kwa Nani? Kwa Sababu Gani? 2/15/82
Kulea Watoto Wenye Furaha katika Ulimwengu Wenye Upotoe 7/15/82
Kuliunga Mkono Neno la Mungu kwa Ushikamanifu 8/15/82
Kumpendeza Yehova kama Jamaa 4/15/82
Kumtumikia Yehova “Bega kwa Bega” 3/15/82
Kuokoka au Kuharibiwa kwenye ile “Dhiki Kubwa” 9/1/82
Kuongezeka kwa Nuru katika Nyakati za Kisasa 7/1/82
Kusudi la Mungu kwa Kufanya Wengine ‘Wazaliwe Mara ya Pili’ 2/1/82
Kutenga na Ushirika—Jinsi Kunavyopasa Kuonwa 1/1/82
Kutii kwa Ushikamanifu Utaratibu wa Kitheokrasi 11/1/82
Kutoa Utumishi Mtakatifu kama Jamaa 4/15/82
Kuwa na Mwenendo wa Kimungu Kuwaeleke Wengine 1/1/82
Kuvumilia kwa Furaha Ijapokuwa Mateso 9/15/82
Kuvuna katika “Wakati wa Mwisho” 3/1/82
‘Kuzaliwa Mara ya Pili’—Sehemu ya Mwanadamu na Sehemu ya Mungu 2/1/82
“Kwa Kweli Ni Nani Yule Msimamizi wa Nyumba Mwaminifu, Mwenye Akili?” 4/1/82
Kwa Sababu Gani Kuomba, “Ufalme Wako Uje”? 10/1/82
“Msimamizi wa Nyumba” Huyo Anapoikabili Har–Magedoni 4/1/82
“Ni Nini Kinachonizuia Nisibatizwe?” 2/15/82
‘Ninyi ni Wenye Furaha Wakati Watu Wanawatesa Ninyi’ 9/15/82
Njia ya Wenye Haki Inaendelea Kung’aa Zaidi na Zaidi 7/1/82
‘Nuru Imemeta kwa Ajili ya Wenye Haki’ 7/1/82
Saa ya Hatari Inakaribia! 10/15/82
Sasa Ndio Wakati wa Kulihubiri Neno 5/15/82
Shamba Lenye Kuzaa Ngano na Magugu 3/1/82
Siku ya Kuhukumiwa kwa Miungu 1/15/82
Songeni Mbele, Ninyi Wahudumu wa Ule Ufalme! 5/15/82
Tengenezo la Yehova Linasonga Mbele—Je! Wewe Unasonga Pamoja Nalo? 12/1/82 Ufalme wa Mungu ‘Waja’—Wakati Gani? 10/1/82
Ule Ufalme na lile Tumaini la Ufufuo 9/1/82
Useja—Faida na Nafasi Zake 11/15/82
Ushikamanifu kwa “Ufalme wa Bwana na wa Kristo Wake” 8/15/82
“Utimizeni Wokovu Wenu Wenyewe” 12/1/82
Vijana, je! Mwenendo Safi Unaosemwa na Biblia Ndiyo Njia Bora? 6/1/82
Wakf na Mfano Wake 2/15/82
Watoto Wenye Furaha katika Ulimwengu Wenye Upotoe 7/15/82
‘Watu wa Mataifa Wataiendea Makundi Makundi’ Ibada Yenye Kutoa Uzima 1/15/82
Wazazi, Fikieni Moyo wa Mtoto Wenu 6/1/82
Wenye Bidii kwa “Kazi ya Bwana” 5/1/82
Wewe Unaongozaje Maisha Yako? 12/15/82
Yehova Ategemeza Jeshi Lake la Wapiganaji wa Wakati Wote 8/1/82
Zishikeni Sana “Habari Njema”! 5/1/82
MAMBO MENGINE
Biblia Inatabiri-Mwisho wa Dunia 6/15/82
Elimu—Gharama Yake, Faida Yake 12/15/82
Jinsi Ndoa Inavyookoka Shambulio Hilo 12/15/82
Kifo Kinaweza Kushindwa 2/15/82
Kuepuka Msiba wa Kulalwa Kinguvu 9/15/82
Kuponya kwa Imani 3/1/82
Kusema katika Lugha Leo—Kunatoka kwa Mungu?
‘Kuzaliwa Mara ya Pili’ 2/1/82
Kuzaliwa Pamoja na Nafsi Isiyokufa au Ufufuo—Ni Jambo Gani? 9/1/82
Maoni ya Hekima Juu ya Elimu 12/15/82
Mradi Wako Maishani Ni Nini? 11/15/82
“Mwisho wa Ulimwengu” Ni Tazamio Zuri 6/15/82
Ndoa Inashambuliwa 12/15/82
Ni Nani Wanaosema katika Lugha? 3/15/82
Sababu Gani Kuna Dini Nyingi Sana 8/1/82
Ufufuo, Siku ya Hukumu na Uasi-imani 9/1/82
Ugonjwa—Kuna Tumaini Gani la Kupata Faraja 4/15/82
Uongo wa Kwanza 9/1/82
Vijana katika Ulimwengu wa Kisasa 7/15/82
Wewe Unajua Kuvumilia Huzuni Nyingi? 1/1/82
Wewe Utamsikiliza Mungu? 4/1/82
Yonathani “Mwanamume Mmoja katika Elfu” 10/1/82
MASHAHIDI WA YEHOVA
Bidii ya Umisionari—Alama ya Wakristo wa Kweli 5/1/82
Jinsi Siku Ilivyo katika Maisha ya Misionari 5/1/82
Kipawa cha Kazi Ambacho Mungu Amewapa Watumishi Wake 12/1/82
“Kweli ya Ufalme” Makusanyiko ya Wilaya 5/15/82
Mwana wa Miaka Tisa Azuia Ndoa Isivunjike 6/1/82
Shukrani kwa Msaada wa Utibabu 5/15/82
Tendo Lililounganishwa kwa Umoja Kufanya Ujenzi Ulimwenguni Pote 7/15/82
Yehova ni Mnara Wenye Nguvu 6/1/82
MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
Kutoka Hali ya Kukosa Tumaini mpaka Kuwa na Furaha 2/1/82
Kuvumilia Baada ya Msiba Mkubwa 4/15/82
Sala ya Mfungwa Ilijibiwa 11/1/82
Yehova ni Ngome Yangu 3/15/82
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Kufanya Matembezi na Mwanamke Usipokuwa Huru Kuoa 2/1/82
Kujitenga na Ushirika 10/15/82
Mathayo 4:1 3/1/82
Mifano kwenye Utukuzo wa Chakula cha Bwana cha Jioni 11/1/82
Mtoto Kuishi na Watu wa Ukoo Walimwengu 12/1/82
Mwanzo 2:7 11/15/82
Ngono na Mwenzi Mzinifu 4/15/82
2 Samweli 8:13 4/15/82
“Sehemu Maradufu” ya Roho ya Mungu 6/15/82
Ufalme wa Mungu na Ufalme wa Kristo 3/1/82
NENO LA MUNGU LI HAI
3/1/82, 4/1/82, 5/1/82, 5/15/82, 6/1/82, 6/15/82, 10/1/82, 10/15/82, 11/15/82
YEHOVA MUNGU
Kwa Kweli Mungu Anasema Leo? 4/1/82
Ni Nani Peke Yake Aliye Mshikamanifu? 8/5/82
YESU KRISTO
Kristo Amerudi? 7/1/82
Kristo Angeweza Kurudi Pasipo Kuonekana? 7/1/82
Kuadhimisha Kifo cha Mwanamume Mkuu Zaidi Aliyepata Kuwa Duniani 2/1/82
ZABURI
Furaha ya Kushiriki katika Ibada ya Kweli 1/1/82
Wewe Unachagua Kuwa Wapi? 10/15/82
Wewe Unapenda Kadiri Gani Utawala Wenye Haki ya Adili 10/1/82