Mwanamke Mwenye Kujitegemea—Anawezaje Kupata Furaha Katika Ndoa?
Hilo lilikuwa hangaiko la mwanamke mmoja kijana aliyeandikia Sosaiti yetu. Alieleza hivi:
“Mimi sijaolewa wala sina jamaa sasa, lakini sikuzote jambo hilo limekuwa mmoja kati ya miradi yangu. Hata hivyo, mimi ni wa namna ya kujitegemea sana, na baada ya kujiruzuku kwa miaka sita mara nyingi nimekuwa na mashaka kama naweza kufaulu katika mpango wa ndoa. Lakini kichapo hicho kilizungumza mambo mbalimbali ya ndoa na kulea jamaa katika njia ambayo iliniwezesha kuthamini kwamba huo ni mpango wa kimungu.”
Ikiwa unatafuta furaha katika mpango wa ndoa, tunahisi kwa uhakika kwamba utafaidika sana kwa kusoma kitabu Kufanya Maisha ya Jamaa Yako Yawe Yenye Furaha. Pokea nakala kwa kujaza na kutuma kuponi iliyo chini pamoja na Kshs 15/- (Tshs 40/-).