Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi” 1984
BIBLIA
Filemoni—Ushuhuda wa Ukristo Wenye Matendo 4/1 Heshimu Yehova, Kitabu cha Hesabu Kinasihi 10/15
Jenga na Kufuata Imani Yako Pamoja na Waamuzi 12/15
Kitabu cha Mwanzo Kinatia Ndani ya Moyo Imani, Tumaini na Ushujaa 7/1
Kumbukumbu la Torati Kinatusihi Tumtumikie Yehova kwa Furaha ya Kutoka Moyoni 11/1
Kutazama Ufunuo kwa Njia ya Uchunguzi 7/1
Kutoka—Kutoka Utawala wa Mabavu Mpaka Kwenye Utaratibu wa Kitheokrasi 8/1
Mambo ya Walawi—Mwito wa Kuja Kwenye Ibada Takatifu ya Yehova 9/1
Msimamo wa Mtume wa Kupinga Uasi wa Imani 6/15
Mtume Petro Anasema na Wewe 6/1
Ruthu Alithamini Watu wa Mungu 12/15
Timotheo Anapata Mashauri kwa Mwanamume Mzee 2/1
Tito Anashughulika na Mgawo Mgumu 3/1
Yakobo Anahimiza Ibada Safi na Yenye Matendo Ifuatwe 5/1
Yoshua na Akusaidie Wewe Umtumikie Yehova kwa Uhodari 12/1
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
‘Mrudieni Mchungaji wa Nafsi Zenu’ 1/15
Tafrija Inayoburudisha Kweli Kweli 7/15
Ukopeshaji wa Pesa na Upendo wa Kikristo 4/15
Wewe Unampenda Yehova kwa Shauku? 4/1
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
Angalia Unabii kwa Makini 4/15
Arusi za Kikristo Ambazo Zinaleta Furaha 9/15
“Bwana Mmoja, Imani Moja, Ubatizo Mmoja” 2/15
‘Chagua Wanaume Hodari Katika Kazi, Wanaoogopa Mungu’ 2/1
Dumisha Imani Thabiti 11/1
Endeleeni Kupiga Kelele kwa Sauti Moja ya Furaha 6/1
Furaha Ujapokuwa Ulimwengu Wenye Kuvunja Sheria, Usio na Upendo 11/15
Israeli na Zile “Nyakati za Mataifa” 1/1
“Israeli wa Mungu” na Mwisho wa Nyakati za Mataifa 1/1
Jenga Wakati Ujao na Tengenezo la Yehova 12/15
Jifurahishe kwa Njia Yenye Usawaziko Kwenye Karamu za Arusi 9/15
Jihadhari na Muziki Unaovunja Heshima! 3/15
Jina Lililo Kuu Kupita Majina Yote 5/1
Kataa Tamaa za Kilimwengu! 3/15
Kiasi cha Kikristo Ni Uthibitisho wa Hekima 6/15
‘Kuingiza Kisiri-siri Madhehebu Zenye Kuharibu’ 2/15
Kukabili Kipindi Hiki cha Jeuri Kwa Uhakika 12/1
Kusitawisha Kiasi cha Kikristo 6/15
Kutangaza Habari Njema za Jambo Zuri Zaidi 6/1
Kutazama Mambo Yatakayofuata Baada ya Arusi 9/15
Makumbusha na Maagizo ya Mungu wa Mfumo Mpya 11/15
Mamilioni Wanajitayarisha kwa Uzima Usiokatizwa Hapa Duniani 3/1
Mamilioni ya Walio Hai Sasa Hawatakufa Kamwe Wamalizike Katika Dunia Yetu 3/1
Mchungaji Mwema na “Zizi Hili” Lake 7/15
Mpate Kuzidi Sana Kuwa na Tumaini! 4/15
‘Msiutumie Sana Ulimwengu’ 3/15
Mungu Mwana au “Mwana wa Mungu”? 5/1
Mzeituni Wenye Kuzaa 1/15
Neno la Yehova Ni Hakika! 9/1
Ni Wapi Tunapoweza Kuona Umoja Katika Ulimwengu Huu Wenye Ugomvi? 8/15
Ona Baraka za Umoja wa Ufalme! 10/15
Pigano Letu la Kuzuia Wendekevu 1/15
Sasa Ndio Wakati wa Kufanya Utumishi wa Bidii 11/1
Sikiliza Neno la Kiunabii la Mungu kwa Siku Zetu 9/1
“Taifa Hodari” la Mungu Lenye Umoja Kujaza Dunia 8/15
Tumefanywa Tengenezo Tumtumikie Yehova 12/15
Tunaweza Kuendelezaje ‘Upendo Wetu wa Kwanza’? 4/1
Tuombeane 10/1
Umoja Katika Ibada Chini ya Mfalme-Mchungaji Wetu 8/1
“Umoja wa Roho” Katika Kundi Linaloendelea Kukua Upesi Sana 7/1
Umoja wa Ufalme Umeonekana Leo 8/1
“Upendo Wako wa Kwanza” 4/1
Usisahau Kamwe Wewe Ni Shahidi! 11/1
Uwe Tayari Kutumika! 10/1
“Vita Si Yenu Bali Ni ya Mungu” 12/1
Waabudu Walioungana wa Mungu wa Kweli Mmoja Tu 7/1
“Wakumbukeni Wale Wanaoongoza Kati Yenu” 2/1
Walinzi, Inueni Sauti Yenu! 6/1
Waliotiwa Nguvu Zinazopita za Kawaida 10/15
Wazaaji wa Matunda Wenye Umoja 1/15
Zizi la Karibuni kwa Ajili ya “Kondoo Wengine” 7/15
MAMBO MENGINE
1914—Kizazi Ambacho Hakitapita 10/15
1914—Mahali pa Makutano 9/15
1914—Ni Historia Tu? Au Una Matokeo Juu Yako? 10/15
1914—Ni Mwaka Uliotiwa Alama—Kwa sababu Gani? 9/1
1914—Ulibadilisha Maisha Yako 10/1
Ambayo 1914 Ungemaanisha Kwako Wewe 10/1
Dhuluma—Imeenea Kadiri Gani 11/15
Haki kwa Wote—Itakujaje? 11/15
Hizi Ndizo Nyakati Mbaya Zaidi, Lakini Ndizo Nyakati
Bora Zaidi 11/1
Je! Kwa Kweli Ni “Ajali Tu”? 12/15
Je! Kweli Nyakati Zetu Ni Tofauti? 11/1
Je! Sayansi Inamaliza Magonjwa? 3/1
Je! Tunaishi Katika Siku za Mwisho? 2/1
Je! Umoja Unaweza Kutokana na Ulimwengu Huu? 8/15
Je! Wewe Unaitambua Ishara? 9/15
Kutokutii Wazazi—Ni Ishara ya Siku za Mwisho? 4/15
Magonjwa—Je! Kuna Siku Yatakapokwisha? 3/1
Magonjwa Ni Ishara ya Siku za Mwisho? 3/1
Njaa Ina Maana Gani? 2/15
Ndoto Yenye Kusumbua Inayokuhusu Wewe 9/1
Ongezeko la Kutokutii Sheria—Ni Ishara ya Mwisho wa Ulimwengu? 4/1
Sababu Gani Iwe Hivyo? 11/15
Umeenda Wapi Utii kwa Amri Inayosema ‘Waheshimu Wazazi Wako’? 4/15
Usalama—Unaweza Kupatikana Wapi? 12/1
Vita ya Ulimwengu ya Kwanza na Mwanzo wa Huzuni Mbalimbali 2/1
Wanadamu Wakiwa Wenye Umoja Ingekuwa Hivi 8/15
Woga Ni Ishara ya Ule Mwisho? 6/15
Woga Unakupata Wewe? 6/15
Yule Farasi Mweusi wa Njaa 2/15
MASHAHIDI WA YEHOVA
“Alasiri Yenye Furaha Nyingi Sana” Katika Abidjan 2/15
Njoni Kwenye “Ongezeko la Ufalme” Makusanyiko ya Wilaya! 7/15
“Ongezeko la Ufalme” Makusanyiko ya Wilaya 9/1
MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
Kusonga Mbele Pamoja na Tengenezo la Mungu (G. Suiter) 10/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJ,
Farao wa Kutoka Alikufa Katika Bahari Nyekundu? 6/15
Kutumia Vidude Vyenye Kugongana ili Kutokeza Mlio Mzuri 2/15
Mazizi ya Kondoo wa Yohana sura ya 10 7/15
Mimba Inayotoka Yenyewe—Kutakuwa Ufufuo? 12/1
Mtu wa Ukoo Akitengwa na Ushirika 6/15
Mwangalizi wa Kundi Lazima Awe “Mume wa Mke Mmoja” 4/1
Ni Kosa Kutafuta Ulinzi wa Maafisa wa Kutunza Sheria Wenye Silaha? 8/1
Sababu Gani Mashahidi wa Yehova Wanakataa Kubadilishana Vitabu Vyao na Watu wa Dini Nyingine? 12/1
Sababu Gani Musa Akaomba Farao Ruhusa ya ‘Kufunga Safari ya Siku Tatu Jangwani’ 3/1
NENO LA MUNGU Ll HAI
2/15, 7/1, 7/15, 12/15
YEHOVA MUNGU
Heshimu Ndoa ya Kimungu! 1/1
Je! Jina Lenyewe Linapasa Kutumiwa? 5/1
Je! Mungu Amekuandikia Yatakayokupata? 12/15
Je! Mungu Anawajali Wenye Ugonjwa wa Akili? 11/15
Je! Wewe Unathamini Yale Ambayo Mungu Amekufanyia Wewe? 8/1
Jina la Mungu Katika Maandiko ya Kikristo 5/1
Jina Lililo Kuu Kupita Majina Yote 5/1
Kuendelea Kuwa na Maoni ya Mungu Juu ya Ngono 8/15
Kwa Sababu Gani Ushukuru Muumba? 8/1
Matetemeko ya Ardhi—Je! Yanasababishwa na Mungu? 3/15
Wewe Unatumia Jina Gani Kutaja Mungu? 5/1
YESU KRISTO
Mchungaji Mwema na “Zizi Hili” Lake 7/15
Mungu Mwana au “Mwana wa Mungu”? 5/1
Yesu Alizaliwa Desemba 25? 10/15
Yesu Kristo Ni Kitoto Kichanga au Ni Mfalme Anayetawala? 10/15
Yule “Neno” Alikuwa Mungu? 5/1