Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w84 12/15 kur. 23-24
  • Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi” 1984

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi” 1984
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1984
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJ,
  • NENO LA MUNGU Ll HAI
  • YEHOVA MUNGU
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1984
w84 12/15 kur. 23-24

Fahirisi ya Habari za “Mnara wa Mlinzi” 1984

BIBLIA

Filemoni​—Ushuhuda wa Ukristo Wenye Matendo 4/1 Heshimu Yehova, Kitabu cha Hesabu Kinasihi 10/15

Jenga na Kufuata Imani Yako Pamoja na Waamuzi 12/15

Kitabu cha Mwanzo Kinatia Ndani ya Moyo Imani, Tumaini na Ushujaa 7/1

Kumbukumbu la Torati Kinatusihi Tumtumikie Yehova kwa Furaha ya Kutoka Moyoni 11/1

Kutazama Ufunuo kwa Njia ya Uchunguzi 7/1

Kutoka​—Kutoka Utawala wa Mabavu Mpaka Kwenye Utaratibu wa Kitheokrasi 8/1

Mambo ya Walawi​—Mwito wa Kuja Kwenye Ibada Takatifu ya Yehova 9/1

Msimamo wa Mtume wa Kupinga Uasi wa Imani 6/15

Mtume Petro Anasema na Wewe 6/1

Ruthu Alithamini Watu wa Mungu 12/15

Timotheo Anapata Mashauri kwa Mwanamume Mzee 2/1

Tito Anashughulika na Mgawo Mgumu 3/1

Yakobo Anahimiza Ibada Safi na Yenye Matendo Ifuatwe 5/1

Yoshua na Akusaidie Wewe Umtumikie Yehova kwa Uhodari 12/1

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

‘Mrudieni Mchungaji wa Nafsi Zenu’ 1/15

Tafrija Inayoburudisha Kweli Kweli 7/15

Ukopeshaji wa Pesa na Upendo wa Kikristo 4/15

Wewe Unampenda Yehova kwa Shauku? 4/1

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

Angalia Unabii kwa Makini 4/15

Arusi za Kikristo Ambazo Zinaleta Furaha 9/15

“Bwana Mmoja, Imani Moja, Ubatizo Mmoja” 2/15

‘Chagua Wanaume Hodari Katika Kazi, Wanaoogopa Mungu’ 2/1

Dumisha Imani Thabiti 11/1

Endeleeni Kupiga Kelele kwa Sauti Moja ya Furaha 6/1

Furaha Ujapokuwa Ulimwengu Wenye Kuvunja Sheria, Usio na Upendo 11/15

Israeli na Zile “Nyakati za Mataifa” 1/1

“Israeli wa Mungu” na Mwisho wa Nyakati za Mataifa 1/1

Jenga Wakati Ujao na Tengenezo la Yehova 12/15

Jifurahishe kwa Njia Yenye Usawaziko Kwenye Karamu za Arusi 9/15

Jihadhari na Muziki Unaovunja Heshima! 3/15

Jina Lililo Kuu Kupita Majina Yote 5/1

Kataa Tamaa za Kilimwengu! 3/15

Kiasi cha Kikristo Ni Uthibitisho wa Hekima 6/15

‘Kuingiza Kisiri-siri Madhehebu Zenye Kuharibu’ 2/15

Kukabili Kipindi Hiki cha Jeuri Kwa Uhakika 12/1

Kusitawisha Kiasi cha Kikristo 6/15

Kutangaza Habari Njema za Jambo Zuri Zaidi 6/1

Kutazama Mambo Yatakayofuata Baada ya Arusi 9/15

Makumbusha na Maagizo ya Mungu wa Mfumo Mpya 11/15

Mamilioni Wanajitayarisha kwa Uzima Usiokatizwa Hapa Duniani 3/1

Mamilioni ya Walio Hai Sasa Hawatakufa Kamwe Wamalizike Katika Dunia Yetu 3/1

Mchungaji Mwema na “Zizi Hili” Lake 7/15

Mpate Kuzidi Sana Kuwa na Tumaini! 4/15

‘Msiutumie Sana Ulimwengu’ 3/15

Mungu Mwana au “Mwana wa Mungu”? 5/1

Mzeituni Wenye Kuzaa 1/15

Neno la Yehova Ni Hakika! 9/1

Ni Wapi Tunapoweza Kuona Umoja Katika Ulimwengu Huu Wenye Ugomvi? 8/15

Ona Baraka za Umoja wa Ufalme! 10/15

Pigano Letu la Kuzuia Wendekevu 1/15

Sasa Ndio Wakati wa Kufanya Utumishi wa Bidii 11/1

Sikiliza Neno la Kiunabii la Mungu kwa Siku Zetu 9/1

“Taifa Hodari” la Mungu Lenye Umoja Kujaza Dunia 8/15

Tumefanywa Tengenezo Tumtumikie Yehova 12/15

Tunaweza Kuendelezaje ‘Upendo Wetu wa Kwanza’? 4/1

Tuombeane 10/1

Umoja Katika Ibada Chini ya Mfalme-Mchungaji Wetu 8/1

“Umoja wa Roho” Katika Kundi Linaloendelea Kukua Upesi Sana 7/1

Umoja wa Ufalme Umeonekana Leo 8/1

“Upendo Wako wa Kwanza” 4/1

Usisahau Kamwe Wewe Ni Shahidi! 11/1

Uwe Tayari Kutumika! 10/1

“Vita Si Yenu Bali Ni ya Mungu” 12/1

Waabudu Walioungana wa Mungu wa Kweli Mmoja Tu 7/1

“Wakumbukeni Wale Wanaoongoza Kati Yenu” 2/1

Walinzi, Inueni Sauti Yenu! 6/1

Waliotiwa Nguvu Zinazopita za Kawaida 10/15

Wazaaji wa Matunda Wenye Umoja 1/15

Zizi la Karibuni kwa Ajili ya “Kondoo Wengine” 7/15

MAMBO MENGINE

1914—Kizazi Ambacho Hakitapita 10/15

1914—Mahali pa Makutano 9/15

1914—Ni Historia Tu? Au Una Matokeo Juu Yako? 10/15

1914​—Ni Mwaka Uliotiwa Alama​—Kwa sababu Gani? 9/1

1914—Ulibadilisha Maisha Yako 10/1

Ambayo 1914 Ungemaanisha Kwako Wewe 10/1

Dhuluma​—Imeenea Kadiri Gani 11/15

Haki kwa Wote​—Itakujaje? 11/15

Hizi Ndizo Nyakati Mbaya Zaidi, Lakini Ndizo Nyakati

Bora Zaidi 11/1

Je! Kwa Kweli Ni “Ajali Tu”? 12/15

Je! Kweli Nyakati Zetu Ni Tofauti? 11/1

Je! Sayansi Inamaliza Magonjwa? 3/1

Je! Tunaishi Katika Siku za Mwisho? 2/1

Je! Umoja Unaweza Kutokana na Ulimwengu Huu? 8/15

Je! Wewe Unaitambua Ishara? 9/15

Kutokutii Wazazi​—Ni Ishara ya Siku za Mwisho? 4/15

Magonjwa​—Je! Kuna Siku Yatakapokwisha? 3/1

Magonjwa Ni Ishara ya Siku za Mwisho? 3/1

Njaa Ina Maana Gani? 2/15

Ndoto Yenye Kusumbua Inayokuhusu Wewe 9/1

Ongezeko la Kutokutii Sheria​—Ni Ishara ya Mwisho wa Ulimwengu? 4/1

Sababu Gani Iwe Hivyo? 11/15

Umeenda Wapi Utii kwa Amri Inayosema ‘Waheshimu Wazazi Wako’? 4/15

Usalama​—Unaweza Kupatikana Wapi? 12/1

Vita ya Ulimwengu ya Kwanza na Mwanzo wa Huzuni Mbalimbali 2/1

Wanadamu Wakiwa Wenye Umoja Ingekuwa Hivi 8/15

Woga Ni Ishara ya Ule Mwisho? 6/15

Woga Unakupata Wewe? 6/15

Yule Farasi Mweusi wa Njaa 2/15

MASHAHIDI WA YEHOVA

“Alasiri Yenye Furaha Nyingi Sana” Katika Abidjan 2/15

Njoni Kwenye “Ongezeko la Ufalme” Makusanyiko ya Wilaya! 7/15

“Ongezeko la Ufalme” Makusanyiko ya Wilaya 9/1

MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU

Kusonga Mbele Pamoja na Tengenezo la Mungu (G. Suiter) 10/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJ,

Farao wa Kutoka Alikufa Katika Bahari Nyekundu? 6/15

Kutumia Vidude Vyenye Kugongana ili Kutokeza Mlio Mzuri 2/15

Mazizi ya Kondoo wa Yohana sura ya 10 7/15

Mimba Inayotoka Yenyewe​—Kutakuwa Ufufuo? 12/1

Mtu wa Ukoo Akitengwa na Ushirika 6/15

Mwangalizi wa Kundi Lazima Awe “Mume wa Mke Mmoja” 4/1

Ni Kosa Kutafuta Ulinzi wa Maafisa wa Kutunza Sheria Wenye Silaha? 8/1

Sababu Gani Mashahidi wa Yehova Wanakataa Kubadilishana Vitabu Vyao na Watu wa Dini Nyingine? 12/1

Sababu Gani Musa Akaomba Farao Ruhusa ya ‘Kufunga Safari ya Siku Tatu Jangwani’ 3/1

NENO LA MUNGU Ll HAI

2/15, 7/1, 7/15, 12/15

YEHOVA MUNGU

Heshimu Ndoa ya Kimungu! 1/1

Je! Jina Lenyewe Linapasa Kutumiwa? 5/1

Je! Mungu Amekuandikia Yatakayokupata? 12/15

Je! Mungu Anawajali Wenye Ugonjwa wa Akili? 11/15

Je! Wewe Unathamini Yale Ambayo Mungu Amekufanyia Wewe? 8/1

Jina la Mungu Katika Maandiko ya Kikristo 5/1

Jina Lililo Kuu Kupita Majina Yote 5/1

Kuendelea Kuwa na Maoni ya Mungu Juu ya Ngono 8/15

Kwa Sababu Gani Ushukuru Muumba? 8/1

Matetemeko ya Ardhi​—Je! Yanasababishwa na Mungu? 3/15

Wewe Unatumia Jina Gani Kutaja Mungu? 5/1

YESU KRISTO

Mchungaji Mwema na “Zizi Hili” Lake 7/15

Mungu Mwana au “Mwana wa Mungu”? 5/1

Yesu Alizaliwa Desemba 25? 10/15

Yesu Kristo Ni Kitoto Kichanga au Ni Mfalme Anayetawala? 10/15

Yule “Neno” Alikuwa Mungu? 5/1

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki