‘Kimoja cha Vitabu Vinavyotokeza Zaidi Katika Historia’
Ni kichapo gani ambacho mwandikaji huyo kutoka New Zealand angeweza kuwa anakitaja? Barua yake inaeleza hivi: “Sisi sote tulifurahi sana kupokea kile ambacho bila shaka ni moja ya kazi zinazotokeza zaidi katika historia ya kisasa ya uchapishaji, kitabu Life—How Did It Get Here? By Evolution or by Creation?
“Utafiti ambao umefanywa kabla ya kazi hii inayotokeza na ya uanachuo unaonekana tangu pale pale mwanzoni, na njia yenye kueleweka wazi na kutaja mambo barabara ambayo imetumiwa kuzungumzia kila habari inafanya angalau mwanasayansi mmoja kwenye kitovu chetu cha utafiti wa Ukuzaji-mimea wa Wizara ya Ukulima na Uvuvi awe na hamu nyingi ya kukipitia na kukisoma chote.”
Wewe unaweza kupokea kitabu hicho kilichofanyiwa utafiti mwingi sana juu ya jinsi uhai ulivyofika hapa na maana ya uhai huo kwa wakati ujao kwa kujaza na kutupelekea hati yenye anwani iliyopo chini.
Tafadhali mnipelekee, mkiwa mmelipia malipo ya posta, kitabu kile chenye majalada magumu cha kurasa 256, Life—How Did It Get Here? By Evolution or by Creation? Mimi ninawapelekea Kshs. 40.00 (Tshs. 110.00).