Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w87 11/15 uku. 32
  • ‘Kilinisaidia Mimi Sana-sana’

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • ‘Kilinisaidia Mimi Sana-sana’
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1987
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1987
w87 11/15 uku. 32

‘Kilinisaidia Mimi Sana-sana’

Kwa kweli vijana wanahitaji msaada leo, kwa kuenea sana kwa kujiua kwa vijana matineja, mimba, uzoevu wa kileo, matumizi mabaya ya dawa za kulevya, na matatizo mengine. Lakini wao wanaweza kuupokea wapi? Kijana mmoja kutoka Buffalo, New York, aliandikia Sosaiti ya Mnara wa Mlinzi:

“Mimi nimekisoma kitabu chenu . . . Kupata Faida Zote za—Ujana Wako. Lazima mimi niseme kwamba ninyi mmeandika kitabu kizuri. Kimenisaidia mimi sana-sana, nami najua kwamba kinaweza kumsaidia mwingine pia. . . . Nimempa rafiki kitabu changu, naye amefanya maendeleo fulani. Asante sana, Bwana, mara milioni moja, kwa kuandika kitabu kama hicho kizuri sana.”

Wewe unaweza kupokea kitabu hiki cha mfukoni chenye thamani cha vijana kwa kujaza na kutupelekea hati iliyopo chini, pamoja na mchango wako.

Tafadhali mnipelekee, mkiwa mmelipia malipo ya posta, kile kitabu chenye jalada gumu, chenye kurasa 192 Kupata Faida Zote za—Ujana Wako. Mimi nimewapelekea Kshs. 15/- (Tshs. 45).

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki