Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1989
Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala yaonekana
BIBLIA
Amosi, 4/1
Habakuki, 5/15
Hagai, 6/1
Hosea, 3/1
Ithibati za Kwamba Ni la Kweli, 2/1
Luka, 11/15
Malaki, 7/1
Marko, 10/15
Mathayo, 7/15
Mika, 5/1
Nahumu, 5/15
Obadia, 4/15
Sefania, 6/1
Yoeli, 3/15
Yona, 4/15
Zekaria, 6/15
MAISHA NA HUDUMA YA YESU
(Makala zinatokea katika kila toleo.)
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
“Kabla ya Utukufu Kuna Unyenyekevu,” 6/15
“Kujibu kwa Njia ya Unyoofu,” 11/1
Kupata Shangwe ya Muziki—Ni Nini Ufunguo? 6/1
Kwa Nini Tunapaswa Kuhofu Mungu? 1/1
‘Lakini Mimi Sipendi Yehova’ 7/15 Mahari, 1/15
Maoni Yako Binafsi Ndiyo Hutawala Yote? 2/15
‘Mtihani wa Unyofu wa Upendo Wako,’ 12/1
‘Nena Neno la Mungu kwa Ujasiri,’ 11/1
Wewe Huona Sura ya Nje-Nje Tu? 11/1
‘Yehova Asipoijenga Nyumba .. . 10/1
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
Abrahamu—Kielelezo kwa Wote Wanaotafuta Urafiki wa Mungu, 7/1
Abudu Muumba, Si Kilichoumbwa, 5/1
“Amejaa Majina ya Kufuru,” 9/1
Dini Bandia Yafanya Ukahaba, 4/15
Dumisha Imani na Afya Yako ya Kiroho, 10/1
Fanya Mambo Yote kwa Ajili ya Habari Njema, 11/15
Haki Hutia Alama Njia Zote za Mungu, 3/1
Haki Karibuni kwa Ajili ya Mataifa Yote, 3/1
Haki kwa Wote Kupitia Hakimu Mwekwa wa Mungu, 2/15
Ishi Maisha Yenye Usawaziko, Yaliyo Sahili, 7/15
“Jiendesheni kwa Namna Inayozistahili Habari Njema,” 6/15
Jinsi Porojo Zenye Kudhuru Zaweza Kukandamizwa Kabisa, 10/15
Jinsi Ubatizo Unavyoweza Kutuokoa Sisi, 1/15
Kahaba Mwenye Sifa Mbaya Sana—Anguko Lake, 4/15
Kahaba Mwenye Sifa Mbaya Sana—Uharibifu Wake, 4/15
Kubaki Tukiwa Tumejipanga Kitengenezo Ili Tuokoke Kuingia Katika Mileani, 9/1
Kuifungua Njia ya Kurudi Kwenye Paradiso, 8/15
Kujipanga Kitengenezo Sasa kwa Ajili ya Miaka Elfu Itakayokuja, 9/1
Kukamilisha Utakatifu Katika Kumhofu Mungu, 6/1
Kuonyesha Upendo na Staha Ukiwa Mke, 5/15
Kuonyesha Upendo na Staha Ukiwa Mume, 5/15
‘Kupata Burudisho la Nafsi Zenu,’ 7/15
Kusitawisha Adabu za Kikristo Katika Ulimwengu Usio na Adabu, 6/15
Kwa Nini Sisi Twahitaji Maarifa Sahihi, 12/1
Linda Dhidi ya Porojo Zenye Kudhuru! 10/15
Maagano Yanayohusisha Kusudi la Milele la Mungu, 2/1
Maana ya Kumpenda Mungu, 5/1
Matazamio Mazuri Ajabu ya Kibinadamu Katika Paradiso Yenye Ufurahishi, 8/1
Matazamio ya Paradiso Ni Halali Kujapokuwako Kutotii kwa Kibinadamu, 8/1
‘Mkono wa Yehova Ulikuwa Pamoja Nao,’ 1/1
Msijifunge Nira Pamoja na Wasioamini, 11/1
Mungu Akusudia Kwamba Mwanadamu Aone Shangwe ya Maisha Katika Paradiso, 8/1
Muono-Ndani Ambao Yehova Ametoa, 3/15
Ndoa Ambayo Inanufaisha Mamilioni Wanaoishi Sasa, 7/1
Ni Nani Tunayeweza Kutegemea kwa Haki ya Kweli? 2/15
Ni Nini Kinachokuzuia Wewe Usibatizwe? 1/15
Paradiso Iliyorudishwa Yamtukuza Mungu, 8/15
Pendezwa Kibinafsi na Wengine, 11/15
Saa ya Hukumu ya Mungu Imewasili, 4/1
Sikia Ambacho Roho Husema kwa Makundi, 4/1
Tegemea Yehova Uwe na Muono-Ndani, 3/15
Toa Ushahidi kwa Ajili ya Yehova na Usichoke, 12/15
Toeni Dhabihu Ambazo Zampendeza Yehova, 12/15
Usafi wa Kiadili Ndio Uzuri wa Ujana, 11/1
Uwe Safi Katika Akili na Mwili, 6/1
Uzuri wa Kweli—Wewe Unaweza Kuusitawisha, 2/1
‘Vita Ni vya Yehova,’ 1/1
Watiini Wale Wanaotoa Uongozi, 9/15
Wazee—Ilindeni Amana Yenu, 9/15
Wazee—Litendeeni Kundi la Mungu kwa Wororo! 9/15
Wenye Muungamano Chini ya Beramu ya Upendo,1/1
Wewe Hutafuta Hazina Zilizofichika? 12/1
Wewe Utanufaika na Maagano ya Mungu? 2/1
Wewe Walaani Vikali Ulimwengu Kupitia Imani Yako? 10/1
Yehova Ndiye Msaidiaji Wangu, 12/15
MAMBO MENGINE
Abrahamu—Mnabii na Rafiki ya Mungu, 7/1
Akili lliyofunguka Kupokea Mawazo Mapya? 1/15
Amani kwa Kuondoa Silaha? 12/15
“Amejaa Majina ya Kukufuru,” 9/1
Amri Kumi, 11/15
Asili ya Helo, 10/1
Babuloni—Kitovu cha Ibada Bandia, 4/1
Babuloni Mkubwa Ashtakiwa Hatia, 4/15
Babuloni Mkubwa—Kaanguka na Kuhukumiwa, 5/1
Babuloni Mkubwa—Kuuawa Kwake, 5/15
Desturi za Kingono Zenye Kuchukiza, 9/1
Endelea Kutafuta kama Hazina Zilizofichika, 3/15
Fumbo la Kodeksi ya Vatikani, 5/1
Fumbo—Ni Nani Babuloni Mkubwa? 4/1
Haki kwa Wote—Kuna Wakati Itakuja? 2/15
Helo lna Moto? 10/1
Hofu Ni Mbaya Sikuzote? 6/1
“Insight on the Scriptures”—Ensaiklopedia Mpya ya Biblia, 3/15
Jambo Ambalo Ni Lazima Tufanye Ili Tuokolewe, 9/15
Kahaba Afichuliwa, 4/1
Kahaba na “Wafalme wa Dunia,” 4/1
Kaisaria na Wakristo wa Mapema, 3/15
Kanuni ya Kidhahabu, 11/1
Kazi Ambayo Yaweza Kukufurahisha, 7/15
Kwa Nini Kuhofu Mungu, Si Wanadamu? 6/1
Mungu Ataondoa Ukosefu wa Haki? 10/15
Mwisho wa Uhalifu Ni Karibu! 8/15
“Ni Lazima Mimi Nifanye Nini Nipate Kuokoka?” 9/15
Ni Nani Anayeweza Kuwa Rafiki ya Mungu? 9/15
Ni Nani kwa Kweli Walio Wahudumu wa Mungu? 3/1
“Ole Wako, Korazini!”—Kwa Nini? 7/1
Ripoti Sahihi ya Shahidi Aliyeona kwa Macho! 3/15
Sasa Mwisho wa Uhalifu Uko Karibu! 8/15
“Siku ya Mtakatifu Nicholas,” 12/15
Tatanisho la Kikatoliki, 4/15
Tumaini kwa Wafu? 10/15
‘Tunajua Watainuka Katika Ufufuo,’ 6/15
Tutapata Kuwaona Tena? 6/15
Ufufuo—Kwa Ajili ya Nani na Wakati Gani? 10/15
Ukweli Kuhusu Helo, 10/1
Unaweza Kupata Hazina Zisizohesabika! 3/15
Utawala wa Makasisi—Je! Ndilo Jibu? 9/1
Utawala wa Mungu—Njia Bora Zaidi, 9/1
Ujuzi, 2/1
‘Wasiotambua Mungu na Waangamie!’ (Polycarp), 11/15
Wewe Huenda Wapi Kutafuta Ushauri? 8/1
Wewe Una Maoni Gani Kuhusu Amri Kumi? 11/15
Wewe Una Nia ya Kumsikiliza Mungu? 8/1
MASHAHIDI WA YEHOVA
Barabara ya Kifo Kuja Kwenye Barabara ya Uhai (R. Polotti), 8/1
Bara la Ndege Kipilipili Lausikia “Wimbo Mpya” (Liberia), 5/15
Eneo la Zamani Zaidi Duniani (Israeli), 7/15
Ghasia za Umati Haziwezi Kuzuia Habari Njema (Venezuela), 11/15
Haki ya Kimungu” Mikusanyiko ya Wilaya, 1/15
Insight on the Scriptures, 3/15
Jinsi ya Kufaulu Katika Huduma ya Painia, 5/15
Jinsi ya Kutambua Wahudumu wa Kweli wa Mungu,3/1
Kubaki Tukiwa Tumejipanga Kitengenezo Ili Tuokoke Kuingia Katika Mileani, 9/1
Kujipanga Kitengenezo Sasa kwa Ajili ya Miaka Elfu Itakayokuja, 9/1
Kupiga Mbiu ya Ufalme Katika Malesia, 3/15
Kushinda Tatizo la Eneo Lililo la Zamani Zaidi Duniani, 7/15
Kutoka Kwenye Barabara ya Kifo Kuja Kwenye Barabara ya Uhai (R. Polotti). 8/1
Maamuzi ya Moyo Mkuu Katika Suriname, 10/15
Mahitimu ya Gileadi, 6/1, 12/1
Makao Mapya kwa Shule ya Gileadi, 6/1
Mambo Makubwa Yanatukia Katika Luxembourg, 2/15
Mkusanyo Waleta Mshangilio Katika Japani, 11/1
Mnyanyaso Katika Burundi, 8/15
Ripoti ya Mwaka wa Utumishi, 1/1
‘Sauti Yao Ilitoka Ikaenea Katika Dunia Yote, 1/1
“Ujitoaji Kimungu” Mikusanyiko ya Wilaya, 2/15, 5/1
Vinaweza Kukusaidia Wewe Kuhubiri (Fasihi), 2/15
Waguatemala Wazipokea Habari Njema kwa Furaha, 8/15
Wahudumu wa Mungu Ni Nani Hasa? 3/1
Wakati wa Mavuno Katika Greenland, 11/15
Wavenezuela Wajifunza Kumtegemea Yehova, 6/15
MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
Kazi-Maisha Iliyo Nzuri Sana—Miaka 57 ya Maisha ya Kimisionari (E. Cooke), 4/1
Kufanya Utumishi wa Wakati Wote Uwe Kazi-Maisha (M. Larson), 9/1
Kupata Uhuru Katika “Kisiwa cha Wanaume Wapweke” (D. Robinson), 6/1
Kupata Sikuzote Jambo la Kumfanyia Yehova (J. Queyroi), 10/1
Kupata Upatano wa Jamii za Rangi Tofauti-tofauti Katika Afrika Kusini Yenye Matata (M. Mehl), 7/1
Mimi Nilipanda Mlima Ulio Mzuri Kuliko Yote, 12/1
Msaada Bora Zaidi wa Kujulia Wakati Ujao, 12/1
Tukifanya Penzi la Mungu, Yeye Hatatuacha Sisi Kamwe (G. Schmidt), 2/1
Yehova Amekuwa Kimbilio Langu na Ngome Yangu (M. West), 3/1
Yehova Amenitegemeza Kama Rafiki (M. Hombach), 5/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Agano la Sheria liliisha lini, mahali palo pakachukuliwa na jingine? 2/1
Kunena na aliyekuwa mhubiri asiyebatizwa? 2/15
‘Hapana nyota moja isiyokuwapo mahali pake’? (Isa 40:26), 9/15
‘Hawangekufa kabisa’ jinsi gani? (Yoh 11:26), 1/15
Kutia damu ya mtu mwenyewe mishipani kwakubalika? 3/1
Kwa nini bikira aliyetongozwa hangeweza kutalikiwa kamwe? 11/15
Mwanafunzi wa Biblia katika huduma akiwa mtazamaji? 12/1
Paulo alihukumu mapema kwa ukabila? (Tito 1:12, 13), 5/15
Sheria ilimalizwa lini, mahali payo pakachukuliwa?2/1
Tiketi za bahati-nasibu, 7/15
Umri wa kiwango cha chini zaidi kwa watumishi wa huduma? 7/1
Uprotestanti una unajisi mwingi kuliko Ukatoliki? 4/1
Vibonge vya kupanga uzazi? 6/15
Wakristo wa karne ya kwanza walitarajia mwisho wakati huo? 10/1
“Wanawake wenye huruma” (Omb 4:10), 8/1
Watoto wa wazee (Tito 1:6), 2/15
Yehova hutumia viini-macho, udanganyifu? (Yer 4:10; 20:7), 5/1
Yesu—Mpatanishi kwa ajili ya nani? 8/15
MUONO-NDANI JUU YA HABARI
(1/15, 2/15, 3/15, 4/15, 5/15, 6/15, 7/15, 9/15, 10/15, 11/15, 12/15
TAMASHA ZA KUTOKA BARA LA AHADI
Bashani—Chanzo Chenye Rutuba, 5/1 Jangwa la Yuda, 11/1
Mataifa Yakusanyika Megido, 1/1 “Ole Wako Korazini!”—Kwa Nini? 7/1
Yafa—Bandari ya Kale Yenye Sifa, 9/1
Yerusalemu—Kitovu cha Matukio ya Kibiblia, 3/1
WAPIGA MBIU YA UFALME WARIPOTI
1/1, 2/1, 3/1, 4/1, 6/1, 7/1, 8/1, 9/1, 10/1, 11/1
YEHOVA
Wema, 12/1
Yule Msanii Mkuu, 1/15