Wakati Bora Zaidi wa Maisha
Kijana mmoja wa kutoka Naijeria, Afrika Magharibi, aliandika hivi majuzi: “Hapo mbele, mimi nilifikiri kwamba wakati wa ujana ndio wakati mgumu zaidi wa maisha ya mtu na kwamba umri wenye furaha zaidi ni umri ambapo mtu ni baba au mama au wakati alipo mtu mzima.”
Lakini ndipo kijana huyu Mwafrika akapokea nakala ya kitabu Kupata Faida Zote za Ujana Wako. “Asanteni sana,” akaandika. “Kitabu hiki kimenisaidia kwa njia nyingi sana.” Alimalizia hivi: “Sasa, baada ya kusoma kitabu hiki, nang’amua kwamba ujana ndio umri bora zaidi.”
Vijana wanaokua katika nyakati hizi za msukosuko hukabili hali mpya nyingi na ni lazima wafanye maamuzi mazito. Je! kijana avute sigareti au akubali dawa za kulevya? Ni mwenendo gani ufaao pamoja na jinsia tofauti? Namna gani kupiga punyeto na ugoni-jinsia-moja?
Huenda maamuzi yenye makosa yakaongoza kwenye namna zote za maumivu ya kichwa na taabu. Kupata Faida Zote za Ujana Wako hufikiria maswali yote yaliyo juu na mengine zaidi. Ikiwa ungependa kupokea nakala, tafadhali jaza na upeleke hati hii yenye anwani.
Mimi ningependa kupokea kile kitabu chenye jalada gumu cha kurasa 192 Kupata Faida Zote za Ujana Wako.
Jina
Anwani
Mji
Nchi
I.B.S.A. Box 47788, Nairobi, Kenya