Faharisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 1990
Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inaonekana
BIBLIA
Kodeksi Bezae, 2/15
Kodeksi Washington, 5/1
Kweli Twazihitaji Nakala za Awali? 7/15
Wewe Waweza Kuiamini Biblia? 2/1
Yohana (Gospeli), 3/15
Matendo, 5/15, 6/1, 6/15
Warumi, 8/1
1 Wakorintho, 9/15
2 Wakorintho, 9/15
Wagalatia, 11/15
Waefeso, 11/15
Wafilipi, 11/15
Wakolosai, 11/15
MAISHA NA HUDUMA YA YESU
(Makala zinatokea katika kila toleo.)
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Burudisha Watu wa Ukoo Wako, 2/15
Dhibiti Roho Yako! 9/15
Endelea Kutembea Katika Ukweli, 9/1
‘Endeleeni Kurekebishwa Upya,’ 11/1
Heshimu Yehova kwa Mali Zako, 7/1
Kuwahi na Wewe, 6/15
Kwa Nini Kufuatia Uadilifu? 10/15
Mkumbuke Muumba Mtukufu Wako Katika Ujana Wako, 5/15
Saidia Walioshuka Moyo Wapate Shangwe Tena, 3/15
“Salini kwa Ajili ya Mtu na Mwenzake,” 11/15
“Simameni Imara”—Msijikwae, 4/15
Ufuataji Haki Ndiyo Sera Bora Zaidi, 3/1
Usikose Kumjali Mwenzi Wako! 8/15
Utanufaika na Fadhili Zisizostahiliwa? 2/15
Wewe Hufuata Maagizo? 10/1
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
“Asikiaye na Aseme, Njoo!” 12/15
Bariki Jina Takatifu la Yehova! 9/15
Endelea Kuutafuta Ufalme na Uadilifu wa Mungu, 10/1
Fuata Kielelezo cha Yesu cha Ujitoaji Kimungu, 3/1
Fuatieni Ujitoaji Kimungu Mkiwa Wakristo Waliobatizwa, 3/1
Fungu la Mamlaka za Juu Zaidi, 11/1
‘Hatuoni Aibu Kuhusu Habari Njema,’ 1/1
Hazina Yetu, Huduma Tukufu ya Ki-Siku-Hizi, 7/15
Hukumu ya Mungu Dhidi ya “Mtu wa Kuasi [Sheria],” 2/1
Iweni Watendaji wa Neno, Si Wasikiaji Tu, 10/1
Jizoeze Imani Ili Upate Uhai wa Milele, 5/1
“Katika Hayo Lililo Kuu Ni Upendo,” 11/15
Kueneza Manukato ya Maarifa Juu ya Mungu, 7/15
‘Kufahamu Sisi Ni Nini’—Wakati wa Ukumbusho, 2/15
Kufanya Kazi Pamoja na Yehova kwa Uaminifu-Mshikamanifu, 8/15
Kufichua “Mtu wa Kuasi [Sheria],” 2/1
Kujifunza Siri Takatifu ya Ujitoaji Kimungu, 1/15
Kulitatua Daima Suala la Ulimwengu Wote Mzima, 7/1
Kushirikiana na Baraza Linaloongoza Leo, 3/15
Kutambulisha “Mtu wa Kuasi [Sheria],” 2/1
Kuthamini kwa Nini Mesiya Angekuja, 10/15
Kutoka Sederi Hadi Kwenye Wokovu, 2/15
Maoni ya Mkristo Juu ya Mamlaka za Juu Zaidi, 11/1
Maoni Yako Juu ya Nafsi Huathiri Uhai Wako, 5/1
Mhofu Yehova, Msikiaji wa Sala, 5/15
‘Mtumwa Mwaminifu’ na Baraza Linaloongoza Lake, 3/15
“Neno la Mungu Li Hai, Tena Lina Nguvu,” 4/1
Neno la Mungu Ni Ukweli, 4/1
Neno la Yehova Laenea kwa Nguvu Nyingi! 6/15
Piga Mbiu ya Ufalme wa Yehova kwa Ujasiri! 6/15
Siri Takatifu Yakunjuka, 1/15
Tamati Inayokuja ya “Kitabu cha Vita vya Yehova,” 7/1
Tayarisha kwa Ajili ya Kukombolewa Kuingia Ndani ya Ulimwengu Mpya, 4/15
Tembea Katika Hofu kwa Yehova, 6/1
Tianeni Moyo kwa Kadiri Ile Siku Inavyokaribia, 12/15
“Tufundishe Sisi Kusali,” 5/15
Tunaweza Kuitikiaje Upendo wa Mungu Bila Ubinafsi? 12/1
Uadilifu Si kwa Mapokeo ya Mdomo, 10/1
Uaminifu-Mshikamanifu—Kwa Bei Gani? 8/15
Ukombozi Wakaribia kwa Ajili ya Watu wa Ujitoaji Kimungu! 4/15
Upendo wa Kweli Unathawabisha, 11/15
Utii Wetu Unaozihusu Mamlaka za Juu Zaidi, 11/1
Uwe Mwenye Shukrani—Ufalme wa Kimesiya wa Yehova Watawala, 10/15
Vijana Wenye Furaha Katika Utumishi wa Yehova, 8/1
Waliitikia Upendo wa Mungu Bila Ubinafsi, 12/1
Watu wa Yehova Waimarishwa Katika Imani, 6/15
‘Wenye Furaha Ni Wale Ambao Wamevumilia,’ 1/1
Wewe Wajitahidi Kufikia? 9/1
mWewe Wastahili Kutumikia? 9/1
mWewe Wathamini Yale Ambayo Mungu Amefanya? 8/1
mYehova Astahili Sifa ya Milele, 9/15
mYehova Ndiye Mtawala Wetu! 6/1
MAMBO MENGINE
Ajali Itawale Maisha Yako? 8/15
Amani—Kuna Uwezekano Gani? 4/1
Amani ya Ulimwengu—Itamaanisha Nini Hasa? 4/15
“Baadaye Akampa Mume Wake Kiasi Fulani Pia,” 6/15
Bethlehemu na Krismasi, 12/15
‘Dhidi ya Maarifa—Yaitwayo Hivyo kwa Ubandia’ (Irenayo), 7/15
Habari Njema kwa Aina ya Binadamu Yote! 1/1
Har–Magedoni—Lini? 5/15
“Huyo Mwanamke Yezebeli,” 4/1
Jiwe la Moabu, 4/15
Karibuni—Ulimwengu Usio na Maumivu! 7/15
“Katika Msafara wa Ushindi,” 11/15
Kuangamiza Dunia, 7/1
Kubadili Umbo la Asili ya Kibinadamu, 11/1
Kulishinda Pigano Dhidi ya Mshuko wa Moyo, 3/1
Kuongolewa kwa Konstantino—Kuwa Nini? 1/15
Kupata Furaha—Lakini Wapi? 3/1
‘Kutafuta Maneno Yapendezayo, Yaliyo Sahihi,’ 12/15
Maana ya Mithali, 9/15
Mali za Bei Kuliko Dhahabu! 9/15
Mamilioni Walio Wafu Sasa Wataishi Tena, 5/1
Masada, 10/15
Maskini Waweza Kuwa Wafuataji Haki? 11/15
‘Miili Mingi ya Watakatifu Iliinuliwa,’ 9/1
Mileani Tukufu Inakaribia, 6/1
Mileani ya Tatu—Je! Itatimiza Matumaini Yako? 6/1
Musa Akiwa na Pembe—Kishani cha Kisanaa, 3/15
Nafsi Huendelea Kuishi Baada ya Kifo? 9/1
Nani Ataongoza Ainabinadamu Kwenye Amani? 4/1
Ni Mungu Yupi Ambaye Wewe Unaabudu? 12/1
Ni Mungu Yupi Wapaswa Kuabudu? 12/1
Ni Sala za Nani Hujibiwa? 1/15
“Pango la Wanyang’anyi la Ki-Siku-Hizi,” 12/15
Pigano la Yeriko—Ni Hadithi Tu au Ni Uhakika? 7/15
Ulimwengu Usio na Pupa, 2/15
Upate Ukweli Wote! 9/15
Usalama wa Duniani Pote—Jinsi Gani? 6/15
Utafutaji wa Usalama, 6/15
Uthibitisho wa Utukufu wa Sulemani, 6/15
Vijana Ambao Watumikia Mungu, 8/1
Wakati wa Ulimwengu Mpya, 10/1
Watumishi Wenye Ujana Katika Nyakati za Biblia, 8/1
Waweza Kupata Shangwe Katika Ulimwengu Wenye Kushusha Moyo! 3/1
“Wenye Furaha Ni Wenye Kutafuta Amani,” 8/1
Yehova Atujua Vema! 1/15
MANDHARI KUTOKA BARA LILILOAHIDIWA
Bonde la Ela—Mahali Ambapo Daudi Aliua Jitu! 1/1
Kutoka Tabori Kusonga Mbele Hadi Ushindi! 5/1
Nazareti—Makao ya Nabii, 3/1
Samaria—Jiji Lililo Kuu Miongoni mwa Majiji Makuu ya Kaskazini, 11/1
Wewe Utajifunza Kutokana na Majira? 9/1
Yordani Ambayo Huenda Ikawa Huijui, 7/1
MASHAHIDI WA YEHOVA
Anguko la Babuloni Latangazwa Katika Japani, 3/1
Hatua ya Hekima Kabla ya Maafa, 7/15
Jinsi Yehova Anafanikisha Kazi Yake, 12/1
Kufanya Kazi ya Mungu kwa Njia ya Mungu Katika Naijeria, 8/15
“Kusimama Imara kama Kundi Moja la Kondoo” Katika Chad, 10/15
Kutoa Ushahidi Biasharani—Mtindo wa Kijapani, 2/1
‘Kuvua Watu’ Katika Belize, 4/15
Mahitimu ya Gilead, 6/1, 12/15
Mavuno Tele Yaleta Shangwe Katika Taiwan, 11/15
Mnyanyaso Waendelea Katika Burundi, 1/1
Ripoti ya Mwaka wa Utumishi, 1/1
Sababu Réunion Ina Majumba ya Ufalme Mengi Sana, 9/15
“Sasa Sisi Tuna Jumba la Ufalme Letu Wenyewe,” 5/1
Sierra Leone—“Almasi” Zenye Thamani Kabisa, 3/15
Ujitoaji Kimungu—Una Manufaa kwa Mambo Yote (Polandi), 1/15
Ukaribishaji-Wageni wa Melita Waleta Mibaraka, 7/15
Ukristo wa Kweli Unaleta Nafuu ya Maisha Katika Sweden, 5/15
Utangazaji wa Habari Njema Duniani Pote, 1/1
MASIMULIZI YA MAISHA YA WATU
Baraka ya Yehova Imenitajirisha (E. Meynberg), 7/1
Kumtegemea Yehova Huleta Furaha (J. H., Nathan), 9/1
Kumtumikia Yehova Katika Majira Yenye Kupendeleka na Katika Yenye Matata (H. Bentley), 6/1
Kushangilia Mavuno Katika India (F. E. Skinner), 1/1
Kutumikia Msanii Aliye Mkubwa wa Wote, 4/1
Kuwezana na Hali za Udhaifu Wangu (T. Addison), 5/1
‘Nilipanda Juu kwa Mabawa kama Tai’ (I. Berg), 4/1
Nimeiona Ikikua Kusini mwa Afrika (R. A. McLuckie), 2/1
Tulilea Watoto Wanane Katika Nidhamu ya Yehova (O. Menezes), 8/1
Yehova Alibariki Azimio Langu (R. Wuttke), 10/1
Yehova Amenipa Imara (E. Okoka), 12/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Epuka chai, kahawa? 2/15
Kuwinda na kuvua samaki, 5/15
Kwa nini kuwa na, kuhudhuria, maziko? 10/15
Nyoka “mwenye hadhari”? (Mwa 3:1), 10/15
Phroneme la Kigiriki—“kumaanisha” na “kuweka akili”? 12/1
Pisteuo la Kigiriki—“amini” na “jizoeza imani”? 12/1
Tarumbeta saba zilianza lini? (Ufu 8-11), 4/1
Visehemu vidogo vya damu vinakubalika? 6/1
Wafufuliwa walio wengi watakataa ukweli? 3/15
Wapakwa-mafuta kuokoka “dhiki ile iliyo kuu”? 8/15
Yehova alinena kwa Adamu moja kwa moja? 5/1
MUONO-NDANI JUU YA HABARI
2/15, 3/15, 5/15, 6/15, 7/15, 9/15, 10/15, 11/15, 12/15
WAPIGA MBIU YA UFALME WARIPOTI
1/1, 3/1, 4/1, 5/1, 6/1, 7/1, 8/1, 9/1, 12/1
YEHOVA
Kwa Nini Yehova Amefunua Jina Lake? 2/15
YESU KRISTO
Kifo cha Yesu Chamaanisha Nini Kwako? 3/15