Mamilioni Wanakwenda. Wewe Je?
Wanakwenda wapi? Kwenye ukumbusho wa kila mwaka wa kifo cha Yesu Kristo.Katika 1990 jumla ya 9,950,058 walihudhuria ulimwenguni pote.Kwa nini watu wanaenda? Kwa sababu ya kile ambacho kifo cha Kristo kinamaanisha kwa ainabinadamu.Kinamaanisha kuondolewa karibuni sana kwa ugonjwa, kuteseka, na kifo.Hata wapendwa waliokufa watafufuliwa kwenye uhai katika dunia iliyorudishwa kuwa Paradiso.Kifo cha Yesu kinaweza kuletaje mibaraka kama hiyo? Unaalikwa upate kujua.Mashahidi wa Yehova wanakualika uungane nao wakati wa tukio hilo lenye maana.Hudhuria kwenye Jumba la Ufalme lililo karibu zaidi na kwako.Mwaka huu tarehe ni Jumamosi, Machi 30, baada ya jua kushuka.Thibitisha na Mashahidi wa kwenu juu ya wakati halisi.