Faharisi Ya Habari Za Mnara Wa Mlinzi 1991
Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inaonekana
BIBLIA
Hati-Kunjo za Baharifu, 4/15
Kuchunguza Nyuso, 6/15
New World Translation—ya Utaalamu na Yenye Kufuatia Haki, 3/1
Ni Takatifu Kweli Kweli? 6/1
Yatoka kwa Mungu? 6/1
1 Wathesalonike, 1/15
2 Wathesalonike, 1/15
1 Timotheo, 1/15
2 Timotheo, 1/15
Tito, 2/15
Filemoni, 2/15
Waebrania, 2/15
Yakobo, 3/15
1 Petro, 3/15
2 Petro, 3/15
1 Yohana, 4/15
2 Yohana, 4/15
3 Yohana, 4/15
Yuda, 4/15
Ufunuo, 5/1
MAISHA NA HUDUMA YA YESU
1/1, 1/15, 2/1, 2/15, 3/1, 3/15, 4/1, 4/15, 5/1, 5/15, 6/1
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Huduma kwa Ajili Yako? 12/15
Hukana Mielekeo Yenye Dhambi? 8/15
Kazi ya Mwanamume (Efe. 6:4), 9/1
Kuhesabu Gharama ya Kuhamia Nchi Yenye Utajiri, 4/1
Kujenga Nyutu za Kikristo Katika Watoto, 7/1
Kujishughulisha Sana na Habari Njema, 7/1
Kukopesha Wakristo Wenzetu Pesa, 10/15
Kwa Nini Kujivika Unyenyekevu? 7/15
“Msiwe Mkiwaudhi Watoto Wenu,” 10/1
Ni Nini Chasababisha Msononeko wa Familia? 5/15
Tanguliza Mungu Katika Maisha ya Familia! 5/15
“Tuvue Kila Uzito,” 10/15
Twaweza Kumlipaje Yehova? 12/1
Ufunguo wa Ukristo wa Kweli, 10/1
Ujitiisho Katika Ndoa, 12/15
Unathamini Tengenezo la Yehova la Kidunia? 11/1
Vijana—Iweni Imara Katika Imani, 7/15
Vijana—Mtaupita Mtihani wa Uaminifu-Mshikamanifu wa Kikristo? 6/15
Waweza Kuwa na Furaha Ukiwa na Mengi ya Kufanya? 5/15
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
Acha “Amani ya Mungu” Ilinde Moyo Wako, 3/1
Daraka la Wanawake Katika Maandiko, 7/1
Endelea Kuonya Juu ya Kazi ya Ajabu ya Yehova, 6/1
Endelea Sambamba Pamoja na Gari la Yehova la Kimbingu, 3/15
Fikirieni Mifano ya Ustahimilivu, 5/15
Fuatia Fadhili-Upendo Sikuzote, 7/15
Fundisha Peupe na Kutoka Nyumba kwa Nyumba, 1/15
Gari la Yehova la Kimbingu Liko Katika Mwendo, 3/15
Heshimu Wanadamu wa Namna Zote, 2/1
Heshimu Yehova—Kwa Nini na kwa Jinsi Gani? 2/1
Heshimu Yule Mwana, Wakili Mkuu wa Yehova, 2/1
Ifanye Mikono ya Milele ya Yehova Iwe Utegemezo Wako, 10/1
Iga Rehema ya Mungu leo, 4/15
Iweni Wastahimilivu Kuelekea Wote, 5/15
Jivikeni Upole! 10/15
Kaa Karibu na Yehova, 12/15
Kimbilio Lao—Ni Uwongo! 6/1
Kujidhibiti—Kwa Nini Ni kwa Maana Sana? 11/15
Kujiweka Huru na Dini Bandia, 12/1
Kukimbia Shindano la Mbio kwa Uvumilivu, 11/1
Kumtumikia Yehova kwa Shangwe, 1/1
Kuokoa Uhai kwa Damu—Jinsi gani? 6/15
Kusitawisha Tunda la Kujidhibiti, 11/15
Kutokeza “Kila Aina ya Wema,” 8/15
Kuwasiliana Ndani ya Familia na Katika Kundi, 9/1
“Kuzivaa Silaha za Nuru,” 8/1
Kuzoea Dini Iliyo Safi kwa Ajili ya Kuokolewa, 12/1
Lugha Safi kwa Ajili ya Mataifa Yote, 4/1
Mjawe na Shangwe, 1/1
‘Mlinunuliwa kwa Bei,’ 2/15
“Ni Lazima Mwangalizi Awe . . . Mwenye Kujidhibiti,” 11/15
“Nisaidie Mahali Ambapo Nahitaji Imani!” 9/15
“Nuru Imekuja Ulimwenguni,” 8/1
Pendeza Yehova kwa Kuonyesha Fadhili, 7/15
Sasa Ndio Wakati wa Kumtafuta Yehova, 4/1
Semeni Lugha Iliyo Safi Mkaishi Milele! 5/1
Shangilieni Katika Tumaini la Ufalme! 12/15
‘Tafuta Amani na Uifuatie,’ 3/1
Tafuta Wenye Mwelekeo Unaofaa kwa Ajili ya Uhai wa Milele, 1/15
Tembea Kama Ufundishwavyo na Yehova, 6/15
Ukombozi Unaolingana kwa Ajili ya Wote, 2/15
Unganishweni na Lugha Iliyo Safi, 5/1
Utumaini Mkono wa Yehova Wenye Kuokoa, 10/1
Uvumilivu Unaopata Ushindi, 11/1
Uwasiliano Katika Huduma ya Kikristo, 9/1
Walevi wa Kiroho—Wao Ni Nani? 6/1
‘Wanawake Wenye Bidii Katika Bwana,’ 7/1
Wema Mwingi wa Yehova, 8/15
Wenye Hali Pole Ni Wenye Furaha Kama Nini! 10/15
Wewe Utaiga Rehema ya Mungu? 4/15
Yehova na Kristo—Wawasilianaji Mashuhuri, 9/1
Zoea Imani Yenye Msingi wa Kweli, 9/15
MAMBO MENGINE
Afya na Furaha, 8/15
Amani Itakuja Wakati Gani? 4/15
Amani ya Ulimwengu Yatazamiwa Kuwa Karibu? 4/15
Amiri-Mia Mwenye Fadhili, 11/15
Dini, kwa Nini Ukosefu wa Upendezi? 2/1
Dini Kweli Inahitajiwa? 12/1
Dini Yoyote Ni Nzuri vya Kutosha? 12/1
“Hata hivyo Imo Katika Mwendo!” (Galileo), 12/15
Hukumu ya Mwisho, 8/1
“Huu ni Mwili Wangu,” 1/15
Ibada ya Mama-Mungu-Mke, 7/1
Jinsi Roho ya Mungu Inavyoweza Kukuathiri, 1/15
Karibuni Hakutakuwa Tena Ugonjwa Wala Kifo! 6/15
‘Kila Mahali Magonjwa ya Kuambukiza,’ 11/15
Kisasi Ni Kibaya? 11/1
Krismasi—Kwa Nini Inapendwa Sana? 12/15
Krismasi—Njia ya Kumkaribisha Yesu? 12/15
Kuitambua Roho Takatifu, 1/15
Kukabiliana na Uhalifu, 5/1
Kwa Nini Kuchukua Dini kwa Uzito? 2/1
Kwa Nini Mungu Ni Mwenye Saburi Sana? 10/1
Maana ya Sala, 7/15
Maoni ya Biblia Juu ya Amani na Usalama, 9/1
Mungu Hujibu Sala Zako? 9/15
Ni Nani Wana Mwito wa Mbinguni? 3/15
Njia Iliyotatanika ya Kumfikia Mungu, 2/15
Pigano Dhidi ya Ugonjwa na Kifo, 6/15
Sayansi Yaweza Kukanusha Miujiza? 10/1
Siasa—Je! Ni Sehemu ya Utume wa Kueneza Gospeli? 4/1
“Siku ya Bwana,” 4/15
Siku ya Hukumu, 8/1
Siku ya Kisasi cha Mungu, 11/1
Suala Kubwa, 3/1
‘Taji na Ushuhuda,’ 2/1
Uchaji kwa Visalio vya Waonwao Kuwa Watakatifu, 11/15
‘Ulikuwa Wakati Gani?’ 8/1
Ulimwengu Mpya U Karibu! 7/15
Ungamo la Dhambi, 3/15
Upapa—Je Ulianzishwa na Kristo? 10/15
“Utakuwa Pamoja na Mimi Katika Paradiso,” 10/15
Utatu Ulifundishwa na Yesu, Wanafunzi? 11/1
Vielezi—Ufunguo wa Kufikia Mioyo, 9/15
Wakati Ujao Unaamuliwa na Ajali? 10/15
Wakati Umeenda Sana Kuliko Unavyofikiri? 4/1
Wewe Unajua Biblia Vizuri Jinsi Gani? 1/15
Yehova Husikia Vilio Vyetu vya Uharaka vya Kuomba Msaada, 5/15
MASHAHIDI WA YEHOVA
Habari Njema Zafika Maeneo ya Mashambani Ya Afrika Kusini, 11/15
Huduma kwa Ajili Yako? 12/15
Jitihada ya Ainabinadamu Kutafuta-Tafuta Mungu (Kitabu), 4/1
Kuleta Nuru Kwenye Mahali Palipo Mbali Katika Bolivia, 2/15
Kupanda Mbegu ya Ufalme Katika Chile Kusini, 5/15
Kutangaza Rasmi Habari Njema Katika “Mji wa Kipolinesia” wa New Zealand, 3/15
Kutoa Ushahidi Katika Ufaransa—Bara Lenye Unamna-namna, 6/15
“Kutoka Nyumba kwa Nyumba,” 8/1
Lugha Iliyo Safi Mikusanyiko ya Wilaya, 1/15
Mavuno Katika Brazili, 9/15
Shangwe ya Duniani Pote, 1/1
Taifa Lenye Shangwe, 1/1
Twaweza Kumlipaje Yehova? 12/1
Ufuatiaji wa Uhuru Katika Senegali, 8/15
Uhitimu wa Gileadi, 6/1, 12/1
Urusi, 7/15
Uvumilivu Wenye Shangwe Katika Mashariki ya Kati (Lebanoni), 1/1
MASIMULIZI YA MAISHA ZA WATU
Endelea Kupanda Mbegu—Yehova Ataikuza (F. Metcalfe), 5/1
‘Kuendelea Kumngoja Yehova’ (D. Piccone), 10/1
‘Kuishi kwa Kukaribisha Akilini Siku ya Yehova’ (L. Reusch), 7/1
‘Kupanda kwa Machozi na Kuvuna kwa Kilio cha Shangwe’ (M. Idei), 9/1
Kushikamana kwa Ukaribu na Tengenezo la Mungu (R. Ryan), 12/1
Nikiwa Mjane, Nilipata Faraja ya Kweli (L. Arthur), 2/1
Nina Sababu Nyingi Kama Nini za Kuwa na Shukrani! (L. Hall), 3/1
Shangwe Kuketi Kwenye Meza ya Yehova! (E. Wauer), 8/1
‘Yehova Ni Mungu Wangu, Nitakayemtumaini’ (W. Diehl), 11/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Esta alifanya ngono isiyo ya adili na mfalme? 1/1
“Jibwa-mwitu litakaa kwa kitambo fulani pamoja na mwana-kondoo mume”? 9/15
‘Jua hali ya makundi’ (Mit. 27:23), 8/1
Kutiwa damu mishipani kulikoagizwa na mamlaka ya mahakama, 6/15
Kwa nini ni mitume tu waliokuwako kwenye ukumbusho wa kwanza? 7/15
Maagizo ya kidini ya lazima, 12/15
Malaika wameonyeshwa wakiwa na mabawa, 3/1
Maua ya maziko, 10/15
Mwanafunzi kwenye Yohana 18:15 na Marko 14:51, 52 ndiye yule yule? 4/1
Ndugu wa kiroho ndio wanaomaanishwa kwenye Mathayo 10:21? 5/15
Ni mwandikaji gani wa Biblia aliyekuwa jemadari? 3/15
Ukombozi kwa ajili ya Ayubu (Ayu. 33:24), 2/15
Vito, virembeshi, 6/1
“Wema” ambao Paulo hakuweza kufanya (Rum. 7:19), 9/1
29 W.K. Tarehe ya mhimili, 11/15
YEHOVA
“Mtu Mfanya Kiume wa Vita,” 8/15
Yehova na Kristo—Wawasilianaji Mashuhuri, 9/1
YESU KRISTO
Alikuwaje Nabii Kama Musa? 11/15
Jinsi Kugeuka Umbo Kwakuathiri Wewe, 9/15
Ubishi Juu ya Kifo cha Yesu, 2/15
Ukombozi—Fundisho la Jumuiya ya Wakristo Lililopotea, 2/15
Yehova na Kristo—Wawasilianaji Mashuhuri, 9/1
WAPIGA MBIU YA UFALME WARIPOTI
1/1, 2/1, 3/1, 4/1, 5/1, 6/1, 7/1, 8/1, 9/1, 10/1, 11/1