Uhuru Kutokana na Hofu U Karibu!
INGAWA mtu huishi kwa hofu maishani mwake mwote, twaweza kutazamia tukiwa na hakika wakati fulani katika wakati ujao ambapo Ufalme wa Mungu ukiwa chini ya Kristo Yesu utaondoa milele mateseko yote—kutia ndani ugonjwa na kifo. Gazeti hili limeonyesha jambo linalohitajika ili kunufaika na maandalizi ya Mungu ya upendo. Ikiwa ungependa habari zaidi au ungependa kutembelewa na mtu fulani ili aongoze funzo la Biblia nyumbani pamoja na wewe bila malipo, tafadhali andikia I.B.S.A., Box 47788, Nairobi, Kenya, au tumia anwani ifaayo iliyoorodheshwa kwenye ukurasa 2.