Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w03 12/15 uku. 31
  • Faharisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2003

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Faharisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2003
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2003
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • YEHOVA
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2003
w03 12/15 uku. 31

Faharisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2003

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

Hatua Muhimu ya Kiroho! 11/15

Tumia Neno la Kweli Sawasawa, 1/1

Watu wa Kawaida Watafsiri (Kitahiti), 7/1

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Busara, 8/1

Fikiri kwa Njia Inayofaa—Tenda kwa Hekima, 7/15

Je, Sikuzote Unahitaji Amri ya Biblia? 12/1

Je, Yehova Huona Yale Unayofanya? 5/1

Jenga Utu wa Mtoto Wako! 2/15

‘Jipeni Moyo! Mimi Nimeushinda Ulimwengu,’ 3/15

Kuelewa Kusudi la Nidhamu, 10/1

Kumtafuta Yehova kwa Bidii, 8/15

Kutoa Kunakompendeza Mungu, 6/1

Kutosheka, 6/1

Kutumia kwa Hekima Hali Zenye Kubadilika Maishani, 3/1

‘Midomo ya Kweli’ (Met 12), 3/15

“Mlipokea Bure, Toeni Bure,” 8/1

Msifu Yehova “Katikati ya Kutaniko,” 9/1

‘Msifungwe Nira Isiyosawazika,’ 10/15

‘Mtu Mzuri Hukubaliwa na Mungu’ (Met 12), 1/15

Nimpeleke Mtoto Wangu Shuleni? 3/15

“Sheria ya Mwenye Hekima” (Met 13), 9/15

Sitawisha Roho ya Kutoa, 11/1

Upendo, 7/1

Uwe Imara, 5/15

Vijana, Tembeeni kwa Kumstahili Yehova, 10/15

Vijana—Mnafanya Maendeleo ya Kiroho? 4/1

Wathamini Waliozeeka, 9/1

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

Faraja ya Kweli Inaweza Kupatikana Wapi? 5/1

“Fulizeni Kulinda”! 1/1

‘Fulizeni Kuzaa Matunda Mengi,’ 2/1

Hubiri ili Kufanya Wanafunzi, 11/15

Huu Ndio Wakati Muhimu Zaidi wa Kukaa Macho! 1/1

Huu Ndio Wakati Tunaopaswa Kuwa Wenye Kulinda Zaidi, 12/15

Imani Yako Ni Yenye Nguvu Kadiri Gani? 1/15

‘Iweni Hodari na Wenye Moyo wa Ushujaa!’ 3/1

‘Iweni na Upendo Miongoni Mwenu Wenyewe,’ 2/1

Iweni Tayari kwa Ajili ya Siku ya Yehova, 12/15

Iweni Wenye Kujidhibiti ili Mshinde Tuzo! 10/15

Jazeni Kwenye Ujuzi Wenu Kujidhibiti, 10/15

Je, Kweli Una Imani Katika Habari Njema? 1/15

Je, Wewe Huuliza, “Yuko Wapi Bwana?” 5/1

Je, Wewe Una “Mtazamo wa Kungojea”? 7/15

Jitahidi Kuwaona Wengine Kama Yehova Anavyowaona, 3/15

‘Kaeni Katika Neno Langu,’ 2/1

Kristo Azungumza na Makutaniko, 5/15

Kumwiga Mungu wa Kweli, 8/1

Kunyanyaswa kwa Ajili ya Uadilifu, 10/1

Kuvumilia Chini ya Majaribu Humletea Yehova Sifa, 10/1

Kwa Nini Tuadhimishe Mlo wa Jioni wa Bwana? 2/15

Kwa Nini Tusali Bila Kukoma? 9/15

Mazungumzo ya Kiroho Hujenga, 9/15

Mfanye Yehova Kuwa Tumaini Lako, 9/1

“Mjionyeshe Kuwa Wenye Shukrani,” 12/1

Mlo wa Jioni wa Bwana Una Maana Gani Kwako? 2/15

“Msiogope Wala Msifadhaike,” 6/1

Mtumaini Yehova Kikamili Nyakati za Taabu, 9/1

Mtumaini Yehova kwa Moyo Wako Wote, 3/1

“Mungu Ni Upendo,” 7/1

Mwigeni Yehova, Mungu Wetu Asiye na Ubaguzi, 6/15

Onyesheni “Upole Wote Kuelekea Watu Wote,” 4/1

‘Pata Furaha Tele Katika Yehova,’ 12/1

Sikia Yale Ambayo Roho Husema! 5/15

Simameni, Mkauone Wokovu wa Yehova! 6/1

Tafuta Mema Ndani ya Watu Wote, 6/15

“Tazama, Huyu Ndiye Mungu Wetu,” 7/1

‘Tumia Sawasawa Neno la Mungu,’ 11/15

Tunapaswa Kuwaonaje Watu Siku ya Yehova Inapokaribia? 7/15

Tutatembea Katika Jina la Yehova Milele! (Mika), 8/15

Upole Ni Sifa Muhimu Sana ya Kikristo, 4/1

Vijana Wanaoufurahisha Moyo wa Yehova, 4/15

Wafariji Wale Wanaohuzunika, 5/1

Wakristo wa Mapema na Sheria ya Musa, 3/15

Wanawake Wakristo Waaminifu Ni Waabudu wa Mungu Wenye Thamani, 11/1

Wanawake Walioufurahisha Moyo wa Yehova, 11/1

Wasaidie Wengine Wakubali Ujumbe wa Ufalme, 11/15

Watumishi wa Yehova Wana Tumaini la Kweli (Mika), 8/15

Yehova Anataka Nini Kwetu? (Mika), 8/15

Yehova Hatasahau Kazi Yenu Enyi Vijana! 4/15

Yehova, Mungu wa Kweli, 8/1

MAMBO MENGINE

Aleksanda wa Sita (papa), 6/15

Biblia Inaweza Kusaidia Ndoa, 9/15

Dunia Paradiso, 11/15

Eusebius—Ni “Mwanzilishi wa Historia ya Kanisa”? 7/15

Fadhili-Upendo, 4/15

“Iweni na Dhamiri Njema,” 5/1

Je, Uovu Umeshinda? 1/15

Kazi Yenye Kuridhisha na ya Kudumu, 2/1

Kufanya Maamuzi, 10/15

Kufukiza Uvumba, 6/1

Kuna ‘Kanisa Moja Tu la Kweli’? 9/1

‘Kupiga Teke Michokoo’ (Mdo 26:14), 10/1

Kwa Nini Mungu Huruhusu Kuteseka, 1/1

Kweli Tunawahitaji Wengine? 7/15

Maadili ya Kiroho, 4/15

Maandishi ya Noa, 5/15

Mabirika, 12/1

Madhabahu—Itumiwe Katika Ibada, 2/15

Maoni Yanayofaa Kuhusu Kazi, 2/1

Martin Luther, 9/15

Mashirika ya Kutoa Misaada, 6/1

Msaada kwa Maskini, 9/1

Mtini, 5/15

Ndoa ya Boazi na Ruthu, 4/15

Ni Nani Tunayeweza Kumtumaini? 11/1

Ni Nini Kilichoyapata Majiji Hayo? (Nofu na No, 7/1)

‘Solomoni Hakupambwa Kama Moja la Haya,’ 6/1

Tatian—Alitetea Imani au Alikuwa Mwasi? 5/15

Ugarit—Jiji la Kale, 7/15

Ukumbusho (Mlo wa Jioni wa Bwana), 4/1

Umaskini, 3/15, 8/1

Ungependa Ukumbukwe kwa Jambo Gani? 8/15

Walitafuta ile Barabara Yenye Nafasi Ndogo (Umoja wa Akina Ndugu), 12/15

Weupe wa Moyo, 2/1

Yakobo, 10/15

Yale Ambayo Ndege Wanaweza Kutufunza, 6/15

MASHAHIDI WA YEHOVA

Alibarikiwa kwa Sababu ya Uvumilivu, 1/1

Brazili (eneo la viziwi), 2/1

Ibada ya Kweli Huunganisha Familia, 8/15

Jamhuri ya Cheki, 8/1

Kabla na Baadaye, 1/15, 3/15, 5/15, 7/15, 9/15, 11/15

Kalenda, 11/15

Kazi ya Kuhubiri Yenye Kufurahisha Sana (Mexico), 4/15

‘Kilijaza Pengo Fulani’ (kitabu Mkaribie Yehova), 7/1

Kuhitimu kwa Wanafunzi wa Gileadi, 6/15, 12/15

Mahakama Kuu Yatetea Ibada ya Kweli (Armenia), 4/1

Maisha Katika Kambi ya Wakimbizi (Tanzania), 2/15

“Maisha Yanafurahisha Sana!” 1/1

Makusanyiko ya “Mtukuzeni Mungu,” 3/1

Makusanyiko ya “Watangazaji wa Ufalme Wenye Bidii,” 1/15

Mateso, 3/1

Msaada Katika Kudumisha Utakatifu wa Damu (Ufilipino), 5/1

Poland, 10/1

São Tomé na Príncipe, 10/15

“Tayari kwa Ajili ya Kila Kazi Njema,” 12/1

Ufaransa, 12/1

Ukrainia, 10/1

Video Inayokusudiwa Kugusa Mioyo ya Vijana, 7/1

Wafanyakazi wa Kimataifa (Mexico), 5/1

Waliouawa, Wakumbukwa (Hungaria), 1/15

Watu Wanaotumia Lugha ya Pekee (Korea), 6/15

MASIMULIZI YA MAISHA

Alipenda Fadhili (M. Henschel) 8/15

Barua Iliyobadili Maisha Yangu (I. Hochstenbach), 1/1

Furaha Isiyo na Kifani! (R. Wallwork), 6/1

Kutafuta Ufalme Kwanza—Huridhisha na Huleta Furaha Maishani (J. Sunal), 3/1

Kuwatumikia Wengine Hupunguza Mateso (J. Arias), 7/1

Mchango Wangu Katika Kuendeleza Elimu ya Biblia Ulimwenguni (R. Nisbet), 4/1

Mwenye Furaha Ni Yule Ambaye Mungu Wake Ni Yehova (T. Didur), 8/1

Nilipata Majaribu Makali Sana (P. Yannouris), 2/1

“Nitamlipa Yehova Nini?” (M. Kerasinis), 12/1

Yehova Amenifundisha Tangu Ujana Wangu (R. Abrahamson), 11/1

Yehova Hutujali Sikuzote (E. Mzanga), 9/1

Yehova Huwavuta Wanyenyekevu (A. Koshino), 10/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Je, Ezekieli alikuwa bubu? (Eze 24:27; 33:22) 12/1

Je, mapenzi ya Mungu tayari yalikuwa yanafanywa mbinguni? (Mat 6:10), 12/15

Je, Shetani ‘ana uwezo wa kusababisha kifo’? (Ebr 2:14), 7/1

Je, ubatizo katika siku ya Pentekoste 33 W.K. ulionyesha wakfu? 5/15

Kiwango cha ndoa za wake wengi kilibadilika? 8/1

Kuapa kusema ukweli mahakamani? 1/15

Kusikia sauti fulani zisizoeleweka kunamaanisha kushambuliwa na roho waovu? 5/1

Kwa nini sura na mistari ya Zaburi hutofautiana katika tafsiri mbalimbali, 4/1

Kwa nini upige mayowe unapotishwa kulalwa kinguvu? 2/1

“Mara Nyingi” (1 Kor 11:25, 26), 1/1

Mmoja wetu” (Mwa 3:22), 10/15

Mtiwa-mafuta aliye mgonjwa asipoweza kuhudhuria Ukumbusho, 3/15

‘Mwone Mfundishaji,’ ‘sikia neno nyuma’ (Isa 30:20, 21), 2/15

Ni kosa kumwua mnyama-kipenzi? 6/1

“Sehemu mbili” za roho ya Eliya (2Fal 2:9), 11/1

Shetani anaweza kujua yale ambayo mwanadamu anafikiri? 6/15

Ubatizo kwa ajili ya wafu (1 Kor 15:29, UV), 10/1

Uhai katika yeye mwenyewe’ (Yoh 5:26; 6:53), 9/15

Zawadi za arusi, 9/1

YEHOVA

Huona Yale Unayofanya? 5/1

Huwajali Watu wa Kawaida, 4/15

Je, Kweli Anajali? 10/1

Kwa Nini Umwamini Mungu? 12/1

Maswali ya Kumwuliza Mungu, 5/1

Tunapaswa Kumjua, 2/15

Yehova ’Husamehe Kabisa’, 3/1

YESU KRISTO

Familia, 12/15

Je, Aliishi Duniani? 6/15

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki