Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w04 12/15 uku. 31
  • Fahirisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2004

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2004
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2004
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • KALENDA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA ZA MAFUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • YEHOVA
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2004
w04 12/15 uku. 31

Fahirisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2004

Ikionyesha tarehe ya toleo ambalo makala inapatikana

BIBLIA

Hazina ya Chester Beatty, 9/15

Mambo Makuu Katika Hesabu, 8/1

Mambo Makuu Katika Kumbukumbu la Torati, 9/15

Mambo Makuu Katika Kutoka, 3/15

Mambo Makuu Katika Mambo ya Walawi, 5/15

Mambo Makuu Katika Yoshua, 12/1

Mambo Makuu Kutoka Mwanzo—I, 1/1

Mambo Makuu Kutoka Mwanzo—II, 1/15

‘Msafiri Jasiri wa Kueneza Injili’ (G. Barrow), 8/15

Tafsiri “Nzuri Sana” (Tafsiri ya Ulimwengu Mpya), 12/1

Tafsiri ya Complutensian Polyglot, 4/15

KALENDA

“Jinsi Kazi Zako Zilivyo Nyingi!” 11/15

‘Majira ya Kiangazi na Majira ya Baridi Kali Hayatakoma Kamwe,’ 7/15

“Mali Nyingi ya Bahari,” 9/15

“Miti ya Yehova Imeshiba,” 1/15

‘Mito Ipige Makofi,’ 5/15

“Una Utukufu Kuliko Milima,” 3/15

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Abrahamu na Sara—Iga Imani! 5/15

Faraja kwa Wanaoteseka, 2/15

Hali Hutawala Maisha Yako? 6/1

“Hema la Wanyoofu Litasitawi” (Met 14), 11/15

Jinsi ya Kuonyesha Upendo kwa Mungu, 3/1

Kukabiliana na Shaka, 2/1

Kukazia Fikira ile Thawabu, 4/1

Kulea Watoto, 6/15

Kushughulika na Kivunja-Moyo, 9/1

Miradi ya Kiroho, 7/15

Mlo wa Jioni wa Bwana, 3/15

Msimamo wa Kutokuwamo Huzuia Upendo? 5/1

Mtazamo wa Kungojea, 10/1

‘Mtu Aliye Mwerevu Atatenda kwa Ujuzi’ (Met 13), 7/15

“Pigana Pigano Zuri la Imani,” 2/15

Urithi Unaopaswa Kuachiwa Watoto, 9/1

Vijana—Acheni Wazazi Wawasaidie Kulinda Mioyo! 10/15

Yaliyo Sawa na Yaliyo Makosa—Utaamuaje? 12/1

MAKALA ZA MAFUNZO

“Agizo la Yehova” Haliwezi Kushindwa, 7/15

“Bwana, Tufundishe Jinsi ya Kusali” (Sala ya Kielelezo), 2/1

Dumisha Usafi wa Kiadili kwa Kuulinda Moyo Wako, 2/15

“Endeleeni Kujipatia Nguvu Katika Bwana,” 9/15

“Fanya Kazi ya Mweneza-Injili,” 3/15

Hukumu ya Yehova Juu ya Waovu, 11/15

“Iweni na Upendo Mwororo kwa Mtu na Mwenzake,” 10/1

Je, Una Sababu ya Kuamini Kwamba Kutakuwa na Paradiso? 10/15

Jihadhari na “Sauti ya Wageni,” 9/1

Jihadhari na Udanganyifu, 2/15

Kuchoka Lakini Si Kuchoka Kabisa, 8/15

Kujitahidi Kuonyesha Fadhili Katika Ulimwengu Wenye Uadui, 4/15

Kukubali Msaada wa Yehova? 12/15

Kusitawisha Maoni ya Kristo Kuhusu Umashuhuri, 8/1

Lazima Watu wa Mungu Wapende Fadhili, 4/15

Maoni Yaliyosawazika Kuhusu Kileo, 12/1

“Mavazi Kamili ya Silaha Kutoka kwa Mungu,” 9/15

Mtafuteni Yehova, Mchunguzaji wa Mioyo, 11/15

Mtukuzeni Mungu “kwa Kinywa Kimoja,” 9/1

‘Mtumwa Mwaminifu’ Apita Mtihani wa Ukaguzi! 3/1

“Mtumwa” Ambaye Ni Mwaminifu na Mwenye Busara, 3/1

‘Nendeni Mkafanye Wanafunzi,’ 7/1

Ni Daraka la Kikristo Kuwatunza Walio Wazee, 5/15

Ni Nani Wanaomtukuza Mungu Leo? 10/1

Ni Wenye Furaha Ingawa Wanateswa, 11/1

“Ondoka, Zunguka Katika Nchi,” 10/15

Ongozwa na Mungu Aliye Hai, 6/15

Pingeni Roho ya Ulimwengu Unaobadilika, 4/1

“Sauti Yao Ilifika Katika Dunia Yote,” 1/1

Sema Neno la Mungu kwa Ujasiri, 11/15

‘Tamasha ya Ulimwengu Inabadilika,’ 2/1

Tegemea Roho ya Mungu Unaposhughulika na Mabadiliko ya Maisha, 4/1

Tembea Katika Njia ya Utimilifu, 12/1

Thamini Ifaavyo Zawadi ya Uhai, 6/15

Tianeni Nguvu, 5/1

“Timiza kwa Ukamili Huduma Yako,” 3/15

Ukuu wa Yehova Hauchunguziki, 1/15

Unapendezwa na “Sheria ya Yehova”? 7/15

Uumbaji Hutangaza Utukufu wa Mungu! 6/1

Uwe Jasiri Kama Yeremia, 5/1

Vijana, Je, Mnajitayarisha kwa Ajili ya Wakati Ujao? 5/1

‘Wafundisheni Kushika Mambo Yote Ambayo Nimewaamuru Ninyi,’ 7/1

Walio Wazee Ni Washiriki Wenye Thamani wa Undugu Wetu, 5/15

Wanachukiwa Bila Sababu, 8/15

Wanaomtukuza Mungu Hubarikiwa, 6/1

Watumishi wa Yehova Wenye Furaha, 11/1

Wote na Wautangaze Utukufu wa Yehova, 1/1

Yehova Huandaa Mahitaji ya Kila Siku (Sala ya Kielelezo), 2/1

Yehova Huwafunulia Wanyenyekevu Utukufu Wake, 8/1

Yehova Ni Mkuu Katika Upendo Mshikamanifu, 1/15

Yehova Ni Msaidizi Wetu, 12/15

Yehova, ‘Ngome Yetu Wakati wa Taabu,’ 8/15

MAMBO MENGINE

666—Si Fumbo Tu, 4/1

Barua kwa Noa, 7/1

Dini Ndiyo Chanzo cha Matatizo? 2/15

Ehudi, 3/15

Furaha, 9/1

Hali ya Kiroho na Hali Njema, 2/1

Ibada ya Kweli na Upagani Ilitofautiana (Efeso), 12/15

Je, Makanisa Yanaweza Kuokolewa? 3/1

Je, Makasisi Wanapaswa Kujiingiza Katika Siasa? 5/1

Kanuni za Kiroho, 10/15

Kapadokia, 7/15

Kupata Shauri Lenye Manufaa, 8/15

“Kweli Itawaweka Ninyi Huru,” 3/1

Mahitaji ya Kiroho, 2/1

Michezo ya Zamani, 5/1

Mkataba wa Amani wa Westphalia, 3/15

Mnyama-Mwitu na Alama, 4/1

“Mojawapo ya Kazi Kuu Zaidi za Uhandisi” (Bahari ya Kuyeyushwa), 1/15

“Mungu wa Kweli na Uzima wa Milele” (1Yo 5:20), 10/15

Ni Lazima Uwe Mfuasi wa Kanisa Fulani? 6/1

Ni Nini Hufanya Maisha Yawe na Kusudi Halisi? 8/1

Rebeka, 4/15

Sala ya Bwana, 9/15

Sala Zinaweza Kubadili Hali? 6/15

Serikali Nzuri, 8/1

Serikali ya Ufalme Ni Halisi, 8/1

Tumaini la Amani, 1/1

Tusali kwa Malaika Watusaidie? 4/1

Unataka Kuishi Milele? 11/15

Unaweza Kutumaini Ahadi za Nani? 1/15

Viongozi Wazuri, 11/1

Visagio Vilivyofanya Chakula Kipatikane, 9/15

‘Walisafiri kwa Mashua Kwenda Kipro,’ 7/1

Wanabaptisti, 6/15

Watumishi wa Mungu Wanafanana na Miti, 3/1

“Wenye Upole Watairithi Nchi,” 10/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

‘Alitufundisha Kuheshimu Dini Yake’ (Italia), 6/15

Aliwaeleza Wanadarasa Wenzake Imani Yake (Poland), 10/1

Barua Kutoka kwa Alejandra (Mexico), 10/1

Dhamiri Nyoofu (simu ya mkononi iliyorudishwa), 2/1

Furaha Inayotokana na Kutoa (michango), 11/1

Kisiwa cha Tonga, 12/15

Kucheza Si Kupisha Wakati Tu, (watoto), 10/1

Kuhitimu kwa Wanafunzi wa Gileadi, 6/15, 12/15

Kukusanyika Kwenye “Kitovu cha Ulimwengu” (Kisiwa cha Easter), 2/15

Kusitawi, 3/1

Kutenda Mema Nyakati za Uhitaji, 6/1

Kuwahubiria Watu Mahali Pao pa Kazi, 4/1

Liberia, 4/1

Mahubiri Yasiyo Rasmi Katika Eneo Wanakozungumza Kiingereza Huko Mexico, 4/15

“Mtukuze Mungu” Makusanyiko ya Wilaya, 1/15

“Tembea Pamoja na Mungu” Makusanyiko ya Wilaya, 3/1

‘Vuka Uingie Utusaidie’ (Bolivia), 6/1

“Waathiriwa Waliosahauliwa” Wakumbukwa, 9/1

Washikamanifu na Imara (Poland), 10/15

Wenyeji wa Mexico, 8/15

MASIMULIZI YA MAISHA

Elimu Iliendelea Maisha Yote (H. Gluyas), 10/1

Ingawa Nilikuwa Kipofu, Niliweza Kuona! (E. Hauser), 5/1

Kujidhabihu Katika Mambo Madogo, Kubarikiwa Sana (G. na A. Aljian), 4/1

Kupata Fadhili Zenye Upendo za Yehova (F. King), 2/1

Kutumaini Utunzaji Wenye Upendo wa Yehova (A. Denz Turpin), 12/1

Magereza Yenye Giza Hadi Milima ya Alps ya Uswisi (L. Walther), 6/1

Maisha Yenye Kuridhisha Licha ya Maumivu ya Moyoni (A. Hyde), 7/1

Maisha Yenye Kuridhisha ya Kujidhabihu kwa Kupenda (M. na R. Szumiga), 9/1

Nimebarikiwa Sana kwa Roho ya Umishonari (T. Cooke), 1/1

Tulitegemea Nguvu za Yehova (E. Haffner), 8/1

Uamuzi Thabiti wa Kuunga Mkono Utawala wa Mungu (M. Žobrák), 11/1

Uradhi wa Kimungu Ulinitegemeza (I. Osueke), 3/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

144,000 ni halisi? 9/1

Hanameli angewezaje kumuuzia Yeremia shamba? (Yer 32:7), 3/1

Kilichoonyeshwa kimbele na Yubile, 7/15

‘Kopesha, bila kutumainia kurudishiwa chochote’ (Lu 6:35), 10/15

Kwa nini Mikali alikuwa na terafimu? (1 Sam 19:13), 6/1

Kwa nini wanaume Waisraeli wangeweza kuoa mateka, 9/15

Kwa nini Yesu alimruhusu Tomasi bali si Maria Magdalene amguse 12/1

Kwa nini Yuda alifanya ngono na mwanamke ambaye alifikiri ni kahaba? (Mwa 38:15), 1/15

Ni nini kilichotokea, ni nani aliyekuwa hatarini? (Kut 4:24-26), 3/15

Ni Waisraeli 23,000 au 24,000 walioanguka? (1Ko 10:8; Hes 25:9), 4//1

Njiwa alipata wapi jani la mzeituni? (Mwa 8:11), 2/15

Paulo alivunjikiwa meli huko Malta? 8/15

Roho waovu wakati wa Miaka Elfu, 11/15

‘Shetani akiwa tayari ameanguka kutoka mbinguni’ (Lu 10:18), 8/1

Sindano na ngamia halisi? (Mt 19:24; Mr 10:25; Lu 18:25), 5/15

Tunawezaje kuihuzunisha roho takatifu? (Efe 4:30), 5/15

Ulafi, 11/1

“Upendo Mkamilifu” (1 Yo 4:18), 10/1

Visehemu vya damu, 6/15

“Wasio Waamini” (2Ko 6:14), 7/1

YEHOVA

Anakujali, 7/1

Anatujali? 1/1

“Jinsi Kazi Zako Zilivyo Nyingi!” 11/15

Kumfanya Mungu Ashangilie? 5/15

‘Mapenzi Yako Yafanywe Duniani,’ 4/15

Unyenyekevu, 11/1

YESU KRISTO

Kuzaliwa Kunakokumbukwa, 12/15

Miujiza—Je, Kweli Ilitukia? 7/15

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki