Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w05 12/15 uku. 31
  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2005

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2005
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2005
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • KALENDA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA KUU ZA FUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • YEHOVA
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2005
w05 12/15 uku. 31

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2005

Ikionyesha tarehe ya toleo ambalo makala inapatikana

BIBLIA

Bahari ya Galilaya (mashua ya kale), 8/15

Biblia Inaweza Kukusaidia Upate Shangwe, 8/1

Biblia ya Berleburg, 2/15

Historia ya Biblia Ni Sahihi Kadiri Gani? 4/15

Jina la Mungu Katika Biblia ya Kale ya Kijerumani, 9/1

Kipimo cha “Pimu” Chathibitisha Kwamba Biblia Ni Sahihi Kihistoria, 3/15

Mafundisho ya Kweli, 7/15

“Mambo Kwisha” (Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo katika Lingala), 7/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati, 10/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Kwanza cha Samweli, 3/15

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Kwanza cha Wafalme, 7/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati, 12/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Pili cha Samweli, 5/15

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Pili cha Wafalme, 8/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Ruthu, 3/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Waamuzi, 1/15

Matatizo ya Kutafsiri Biblia ya Kiitaliano, 12/15

Msaada wa Kutafsiri, 4/15

Royal Bible, 8/15

Sayansi na Biblia—Je, Zinapingana? 4/1

Usahihi wa Biblia Unathibitishwa na Maktaba ya Kale ya Urusi, 7/15

KALENDA

Kujidhabihu, 11/15

Kumjua Mungu Huimarisha Familia, 5/15

Umati wa Watu Unaanza Kumwabudu Yehova, 9/15

Uzee Unapokuwa “Taji la Uzuri,” 1/15

Vijana Wanaomsifu Yehova, 3/15

Waseja, 7/15

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Desturi Zisizompendeza Mungu, 1/1

Haki ya Kuudhika, 8/1

Je, Dhamiri Yako Imezoezwa Vizuri? 10/1

Je, Imani Yako Inakuchochea Kutenda? 4/15

Je, Kweli Inazaa Matunda Katika Wale Unaofundisha? 2/1

Je, Tunapaswa Kujali Jinsi Wengine Wanavyotuona? 9/15

Je, Wewe Hujilinganisha na Wengine? 2/15

Je, Wewe Huzungumza na Wapendwa Wako? 6/1

Je, Wewe Ni “Tajiri kwa Mungu”? 10/1

Kataa Mawazo Yasiyofaa! 9/15

Kufanya Amani, 3/1

‘Kumwogopa Yehova Ndiyo Hekima’ (Met 14), 9/15

Kusikiliza kwa Upendo, 11/15

Kutumia Akili, 5/15

Kutumia Kila Siku kwa Hekima, 5/1

Kuwalinda Watoto Kupitia Hekima ya Mungu, 1/1

Mfanye Yehova Awe Mungu Wako, 4/1

“Mkaribishane,” 1/15

“Mtu Mwerevu Huzifikiria Njia Zake” (Met 14), 7/15

Mume na Mke Wasipoelewana, 6/1

Tunaweza Kuvumilia Jaribu Lolote Lile! 6/15

Ujasiri Licha ya Upinzani, 5/1

Unajenga Juu ya Msingi Gani? 5/15

Ushikamanifu, 9/1

Usife Moyo Katika Kufanya Mema, 6/1

Wakati wa Chakula, 1/1

MAKALA KUU ZA FUNZO

Acha Neno la Mungu Liangaze Barabara Yako, 4/15

‘Endelea Kujizuia Chini ya Uovu,’ 5/15

Endelea Kutembea Kama Vile Yesu Kristo Alivyotembea, 9/15

“Endeleeni Kukesha”—Saa ya Hukumu Imefika! 10/1

“Endeleeni Kuthibitisha Ninyi Wenyewe Jinsi Mlivyo,” 7/15

Enyi Vijana, Msifuni Yehova! 6/15

Fuateni Kielelezo Kilichowekwa na Yesu, 1/1

Fundisho la Ufufuo Linakuhusu, 5/1

Habari Njema kwa Watu wa Mataifa Yote, 7/1

Je, Utatembea Pamoja na Mungu? 11/1

Je, Utatoa Mrudisho wa Utukufu wa Mungu? 8/15

Je, Wewe Ni Mwaminifu Katika Mambo Yote? 7/15

Jihadhari Usisitawishe Moyo wa Majivuno, 10/15

Jivunieni Kuwa Wakristo, 2/15

Kufuatilia ‘Lulu ya Thamani Kubwa’ Leo, 2/1

Kuishi Si kwa Ajili Yetu Wenyewe Tena, 3/15

‘Kuleta Habari Njema za Jambo Bora,’ 7/1

Kulinda Utambulisho Wetu wa Kikristo, 2/15

“Kupata Lulu Moja ya Thamani Kubwa,” 2/1

Kuwa Wahudumu Wenye Ubunifu, Wanaobadilika Kulingana na Hali, 12/1

Kuzijua Njia za Yehova, 5/15

Maono ya Kimbele Kuhusu Ufalme wa Mungu Yatimizwa, 1/15

“Mlinunuliwa kwa Bei,” 3/15

Mwongozo Wenye Hekima kwa Wenzi wa Ndoa, 3/1

Ndoa Inaweza Kufanikiwa Katika Ulimwengu wa Leo, 3/1

Ni Nani Watakaofufuliwa? 5/1

“Njia za Yehova Zimenyooka,” 11/15

Sasa Ndio Wakati wa Kuchukua Hatua, 12/15

Sehemu Kuu ya Unabii Ilielekezwa kwa Kristo, 1/15

Sheria ya Upendo Katika Mioyo, 8/15

Sitawisha Unyenyekevu wa Kweli, 10/15

Tegemea Neno la Yehova, 4/15

Tembea kwa Imani, Si kwa Kuona! 9/15

Tembea Pamoja na Mungu Nyakati Hizi za Misukosuko, 9/1

Tembea Pamoja na Mungu, Ukavune Mema, 11/15

Tumaini la Ufufuo Linamaanisha Nini Kwako? 5/1

Tumeokolewa, Si Kupitia Matendo Tu, Bali Kupitia Fadhili Zisizostahiliwa, 6/1

Tutatembea Katika Jina la Yehova Mungu Wetu, 9/1

Twazoezwa Kutoa Ushahidi Kamili, 1/1

Unabii wa Hosea Hutusaidia Kutembea Pamoja na Mungu, 11/15

Wakristo Hutoa Mrudisho wa Utukufu wa Yehova, 8/15

Watoto Wetu Ni Urithi Wenye Thamani, 4/1

Watu “Kutoka Katika Lugha Zote” Wanasikia Habari Njema, 12/1

Wazazi, Mnataka Watoto Wenu Wawe na Maisha ya Aina Gani Wakati Ujao? 10/1

Wazazi, Ulindeni Urithi Wenu Wenye Thamani, 4/1

Wazazi, Waandalieni Mahitaji Watu wa Familia Zenu, 6/15

Wewe Humtii Nani—Mungu au Wanadamu? 12/15

Yehova Amehesabu “Nywele Zenyewe za Kichwa Chenu,” 8/1

Yehova Huwalinda Wale Wanaomtumainia, 6/1

Yehova Ni Mchungaji Wetu, 11/1

Yehova Ni “Mthawabishaji wa Wale Wanaomtafuta kwa Bidii,” 8/1

MAMBO MENGINE

Elimu Bora Zaidi, 10/15

Fidia Hutukuza Uadilifu wa Mungu, 11/1

Har–Magedoni, 12/1

Ishara ya Kuwapo kwa Yesu, 10/1

Je, Dini Inaweza Kuwaunganisha Wanadamu? 1/1

Je, Kazi Ni Baraka au Ni Laana? 6/15

Je, Kuna Mtu Anayeweza Kuubadili Ulimwengu? 11/1

Je, Kweli Kuna Ibilisi? 11/15

Je, Unaweza Kuamua Wakati Wako Ujao Utakuwaje? 1/15

Jitihada za Kutafuta Amani ya Akili, 7/1

‘Jiwe Jekundu la Thamani’ (Ufu 4:3), 3/15

Kifo, 8/15

Kupata Ujuzi Sasa na Milele, 4/15

Maajabu ya Uumbaji Humtukuza Yehova, 11/15

Mafundisho ya Kweli, 7/15

Mahubiri ya Sauli Yachochea Uadui, 1/15

Majira ya Sikukuu, 12/15

Mari—Jiji Maarufu la Kale la Jangwani, 5/15

Miujiza, 2/15

Philo wa Aleksandria, 6/15

Pontio Pilato, 9/15

Samsoni Ashinda, 3/15

Ufufuo, 5/1

Uhai Wako Ni Wenye Thamani Kadiri Gani? 2/1

‘Ukilazimishwa Uingie Katika Utumishi’ (Mt 5:41), 2/15

Ukristo Waenea Miongoni mwa Wayahudi wa Karne ya Kwanza, 10/15

Ulimwengu Wenye Umoja, 6/1

Umaskini, 5/15

“Upanga wa Yehova na wa Gideoni!” 7/15

Wakati wa Krismasi, 12/15

“Wale Wanaoshuka Baharini kwa Meli,” 10/15

MASHAHIDI WA YEHOVA

“Aliteswa kwa Sababu ya Imani Yake” (N. Riet), 6/15

“Good News for People of All Nations” (kijitabu), 12/1

“Hawakubadili Msimamo Wao,” 7/15

‘Hubiri Kuachiliwa Huru kwa Mateka’ (kuhubiri gerezani), 12/15

Kuhitimu Gileadi, 7/1

Kuhubiri Mahali Ambapo Ukristo Ulisitawi Zamani (Italia), 6/15

Kumsifu Yehova Shuleni, 6/15

Kupanda Kwenye Kijiji cha Bottom Huko Saba, 2/15

Kusanyiko Katika Kambi ya Wakimbizi (Kenya), 4/15

Kuwasaidia Wachina Huko Mexico, 12/15

Makedonia, 4/15

Makusanyiko ya “Utii wa Kimungu,” 3/1

Michango, 11/1

“Mojawapo ya Siku Bora Maishani Mwangu” (Australia), 11/1

Mwenendo Mwema Huleta Matokeo Mazuri (Japani), 11/1

“Nchi ya Tai” (Albania), 10/15

Nguvu za Neno la Mungu, 2/15

Sehemu ya Mashambani ya Australia, 4/1

“Uaminifu Chini ya Majaribu” (video), 3/1

‘Upendo wa Kila Mmoja Wenu Unaongezeka’ (Japani), 11/15

Uthibitisho wa Imani, Upendo, na Utii (kiwanda cha uchapishaji cha Watchtower Farms), 12/1

Wafuasi wa Menno (Bolivia), 9/1

Wanawahubiria Viziwi Habari Njema (Hispania), 11/1

“Wangeweza Kuachiliwa,” 8/15

Watu Wanyoofu, 6/1

MASIMULIZI YA MAISHA

Alipata Ushindi wa Pekee (E. Ludolph), 5/1

Ingawa Mimi Ni Dhaifu, Nina Nguvu (L. Engleitner), 5/1

Kufurahia “Uzima wa Sasa” Kikamili (T. Buckingham), 6/1

Kuvumilia Nikiwa Askari-Jeshi wa Kristo (Y. Kaptola), 9/1

Mfano wa Wazazi Wangu Uliniimarisha (J. Rekelj), 10/1

Nafurahia Sehemu Yangu ya Kufundisha Biblia Duniani Kote (A. Matheakis), 7/1

Nilipata ‘Maombi ya Moyo Wangu’ (D. Morgou), 11/1

Nimeazimia Kuendelea Kumtumikia Muumba Wangu (C. Benanti), 12/1

Tulijifunza Kumtegemea Yehova Kikamili (N. Holtorf), 1/1

Tulitumia Hali Zetu Zenye Kubadilika Kuhubiri Maeneo ya Mbali (R. Malicsi), 3/1

Yatima Aliyeachwa Ampata Baba Mwenye Upendo (D. Sidiropoulos), 4/1

Yehova Huwapa Thawabu Kubwa Wale Wanaoishika Njia Yake (R. Stawski), 8/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Daudi na wanaume wake walikula mikate ya toleo, 3/15

Je, Daudi aliwatendea kikatili mateka wake? 2/15

Je, maandiko kuhusu kula mzoga yanapingana? (Law 11:40; Kum 14:21), 7/1

Je, maneno “yeye peke yake asiyeweza kufa” na yule “ambaye hakuna hata mmoja kati ya wanadamu amemwona au anaweza kumwona” yanamhusu Yesu? (1Ti 6:15, 16), 9/1

Je, ni sawa kumpa mfanyakazi wa serikali bakshishi? 4/1

Je, Paulo alikana imani yake aliposema: “Mimi ni Farisayo”? (Mdo 23:6), 4/15

Je, Stefano alisali kwa Yesu? 1/1

Je, Sulemani atafufuliwa? 7/15

Kazi Inayohusisha Kuwa na Silaha, 11/1

Kwa nini Daudi na Bath-sheba hawakuuawa? 5/15

Maana ya Shekina, 8/15

“Malaika” wa Petro? (Mdo 12:15), 6/1

Michezo ya kompyuta yenye jeuri, 9/15

Neno “huenda” (Sef 2:3), 8/1

Samsoni alimpasuaje simba kama mwana-mbuzi? 1/15

Samsoni angewezaje kugusa maiti na bado abaki Mnadhiri? 1/15

Wanawake wanaweza kubakije salama “kupitia kuzaa watoto”? (1Ti 2:15), 5/1

YEHOVA

“Neno” la Yehova Likulinde, 9/1

Sikuzote Yehova Hufanya Yaliyo Sawa, 2/1

Yehova Hatakuacha, 10/15

YESU KRISTO

Yesu Kristo Ana Uvutano Gani Juu Yako? 3/15

Yesu Kristo Ni Nani? 9/15

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki