Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2006
Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana
BIBLIA
Christophe Plantin—Mtangulizi wa Uchapishaji wa Biblia, 11/15
Ina Sheria Nyingi Mno? 10/1
“Jinsi Ninavyoipenda Sheria Yako!” 9/15
Jitihada Kabambe za Kuwahimiza (Seraphim), 5/15
Kuielewa, 4/1
Mambo Makuu Katika Kitabu cha Ayubu, 3/15
Mambo Makuu Katika Kitabu cha Esta, 3/1
Mambo Makuu Katika Kitabu cha Ezra, 1/15
Mambo Makuu Katika Kitabu cha Isaya—I, 12/1
Mambo Makuu Katika Kitabu cha Methali, 9/15
Mambo Makuu Katika Kitabu cha Mhubiri, 11/1
Mambo Makuu Katika Kitabu cha Nehemia, 2/1
Mambo Makuu Katika Kitabu cha Wimbo wa Sulemani, 11/15
Mambo Makuu Katika Zaburi, Kitabu cha Kwanza, 5/15
Mambo Makuu Katika Zaburi, Kitabu cha Pili, 6/1
Mambo Makuu Katika Zaburi, Kitabu cha Tano, 9/1
Mambo Makuu Katika Zaburi, Kitabu cha Tatu, cha Nne, 7/15
“Manukuu ya Awali Zaidi,” 1/15
“Tulinganishe Andiko na Andiko,” 8/15
Vitabu vya Biblia Vinavyokubalika (Hati ya Muratori), 2/15
KALENDA
‘Hatuwezi Kuacha Kusema,’ 9/15
Kukombolewa na “Damu Yenye Thamani” 3/15
Kutoa Ushahidi Kamili kwa ‘Kujipa Moyo,’11/15
‘Mungu Wetu Anaweza Kutuokoa’ (Waebrania watatu), 7/15
“Vita Ni vya Yehova,” 5/15
‘Yah Ndiye Wokovu Wangu,’ 1/15
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Faraja kwa Waliozeeka, 6/1
Kufanya Maamuzi Kupatana na Mapenzi ya Mungu, 4/15
Kulea Watoto, 11/1
Kumwogopa Mungu Ni “Nidhamu” (Met 15), 8/1
Kuna Faida ya Kuwa Mnyoofu, 12/1
Kutafakari Kupendeze, 1/1
Kutumikia Katika Kutaniko la Lugha ya Kigeni, 3/15
Kuufikia Moyo wa Mtoto, 5/1
Kuwahangaikia Maskini, 5/1
Kuwasiliana na Mwenzi Wako, 4/15
Kwa Nini Ufanye Lililo Sawa? 11/15
Maisha Yenye Kuridhisha, 2/1
Mpendwa Anapomwacha Yehova, 9/1
Msiogope, 5/1
Mwige Kristo Unapokuwa na Mamlaka, 4/1
“Neno Linalosemwa Wakati Unaofaa,” 1/1
Siku ya Arusi, 10/15
Somo Kuhusu Kiburi na Unyenyekevu, 6/15
Suala Linalokuhusu, 11/15
Thamani ya “Chombo Dhaifu,” 5/15
Tumia Wakati Vizuri, Huwezi Kuuhifadhi, 8/1
“Uhuru wa Kusema,” 5/15
Uradhi kwa Kutumia Kanuni za Maandiko, 6/1
Wazazi—Iweni Vielelezo Bora, 4/1
“Yeyote Anayejali Karipio Ni Mwerevu” (Met 15), 7/1
MAKALA ZA FUNZO
Arusi Zenye Kuheshimika Machoni Pa Mungu na Wanadamu, 10/15
Ayubu—Mtu Mvumilivu na Mtimilifu, 8/15
‘Chagua Uzima Ili Uendelee Kuwa Hai,’ 6/1
Epuka Ibada ya Uwongo! 3/15
Epukeni Manung’uniko, 7/15
Iga Subira ya Yehova, 2/1
Je, Uko Tayari kwa Wokovu? 5/15
Je, Unayaona Mambo Matakatifu Kama Yehova Anavyoyaona? 11/1
“Jinsi Ninavyoipenda Sheria Yako!” 6/15
Jinsi ya Kumkaribia “Msikiaji Wa Sala,” 9/1
Jitunzeni Katika Upendo Wa Mungu, 11/15
Kazia Fikira Mema ya Tengenezo la Yehova, 7/15
“Kila Mmoja Ataubeba Mzigo Wake Mwenyewe,” 3/15
Kubali Wakati Wote Nidhamu ya Yehova, 11/15
Kuheshimu Makusanyiko Yetu Matakatifu, 11/1
Kukusanya Vitu Vilivyo Mbinguni na Vitu Vilivyo Duniani, 2/15
Kumpenda Jirani Kunamaanisha Nini? 12/1
Kumtumikia Kristo Mfalme kwa Ushikamanifu, 5/1
Kutafuta Uadilifu Kutatulinda, 1/1
Kutembea Katika Njia ya Nuru Inayoongezeka, 2/15
Kutimiza Matakwa ya Ubatizo wa Kikristo, 4/1
Kuwa Hodari Kupitia Imani na Kumwogopa Mungu, 10/1
“Maombi Yenu na Yajulishwe Mungu,” 9/1
Mikono Yenu na Iwe na Nguvu, 4/15
“Mimi Nipo Pamoja Nanyi,” 4/15
“Mmesikia Juu ya Uvumilivu wa Ayubu,” 8/15
Mpende Mungu Anayekupenda, 12/1
Mpinge Shetani, Naye Atakukimbia! 1/15
Mtumaini Yehova, na Uwe Mwenye Ujasiri, 10/1
Mwogope Yehova, Uwe Mwenye Furaha! 8/1
‘Nendeni Mkafanye Wanafunzi, Mkiwabatiza,’ 4/1
“Ninavipenda Vikumbusho Vyako,” 6/15
Onyesha Upendo na Hekima kwa Kudhibiti Ulimi Wako, 9/15
“Shangilia Pamoja na Mke wa Ujana Wako,” 9/15
Shangwe za Kutembea kwa Utimilifu, 5/15
“Siku Kuu ya Yehova Iko Karibu,” 12/15
Tafrija Zinazofaa na Zinazoburudisha, 3/1
Thibitisha Imani Yako Kupitia Maisha Yako, 10/15
“Tunzeni Akili Zenu kwa Ukamili,” 3/1
Uhodari Waimarishwa kwa Upendo, 10/1
Unamtegemea Mungu Kadiri Gani? 1/1
“Ushahidi kwa Mataifa Yote,” 2/1
Usimamizi wa Kutimiza Kusudi la Mungu, 2/15
Usimpe Ibilisi Nafasi, 1/15
Uwe Mwenye Hekima—Mwogope Mungu! 8/1
Vijana, Chagueni Kumtumikia Yehova, 7/1
Wachungaji Ambao Ni “Vielelezo kwa Kundi,” 5/1
Walizaliwa Katika Taifa Teule la Mungu, 7/1
Yehova ‘Atasababisha Haki Ifanywe,’ 12/15
Yehova Anawapa “Roho Takatifu Wale Wanaomwomba,” 12/15
Yehova Humkomboa Anayeteseka, 7/15
Yehova Hutangaza “Tangu Mwanzo Ule Mwisho,” 6/1
Yehova Huwazoeza Wachungaji kwa Ajili ya Kundi Lake, 5/1
MAMBO MENGINE
Amani Duniani—Ni Ndoto? 12/15
Barabara za Roma, 10/15
Baruku—Mwandishi wa Yeremia, 8/15
Dini Ina Faida Gani? 9/1
Ebla Lililosahauliwa Lainuka, 12/15
Furaha, 6/15
Haki ya Binadamu, 8/1
Ibada Inayokufaa, 9/1
Je, Wema Utashinda Uovu? 1/1
Krismasi, 12/15
Kuishi “Siku za Mwisho”? 9/15
Kuishi Milele, 10/1
Kuoga Kidesturi, Wayahudi, 10/15
Kusafiri Baharini, 10/1
“Kwa Nini Tupo Hapa?” 10/15
Malaika, 1/15
Melito wa Sardi, 4/15
Mpinga-Kristo, 12/1
Mti wa Lagani Auna, 2/1
Muhuri ‘wa Yukali,’ 9/15
Ni Nani Watakaorithi Dunia? 8/15
“Pambo la Galilaya” (Sefori), 6/1
Pesa na Maadili, 2/1
Sanhedrini, 9/15
Shati la Manyoya, 8/1
Suluhisho la Kifo, 3/15
“Tukio la Mfano,” 3/15
TV Ni Mlezi Bora wa Mtoto? 6/15
Ufalme wa Mungu, 7/15
Ujuzi, 7/1
Umaskini, 5/1
Unataka Marafiki Wazuri? 3/1
Uthibitisho Usio wa Kimaandiko Kuhusu Israeli, 7/15
“Utunze Mzabibu Huu”! 6/15
Wanyama Humtukuza Yehova, 1/15
Yuda Iliachwa Ukiwa? 11/15
MASHAHIDI WA YEHOVA
Daniel na Beji Yake ya Kusanyiko, 11/1
Guinea, 10/15
Haiti, 12/15
Imani Huwatia Wengine Moyo (Visiwa vya Canary), 7/1
Je, Hakimu Anaweza Kurekebishwa? 12/1
Kuhitimu kwa Wanafunzi wa Gileadi, 1/1, 7/1
‘Kuanzia Leo, Naamini Kuna Mungu’ (Jamhuri ya Cheki), 7/15
Kujenga kwa Umoja, 11/1
“Kwa Sababu ya Mvulana Mwenye Miaka Tisa,” 9/1
Makusanyiko ya “Ukombozi Unakaribia!” 3/1
Miji ya Mbali ya Bolivia, 2/15
Mzee Lakini Hakuwa Mpweke (F. Rivarol), 8/15
“Nimemaliza Vizuri Sana” (Hispania), 7/1
Ongezeko Lenye Kutia Moyo (Taiwan), 8/15
Panama, 4/15
Pembe Tatu ya Zambarau, 2/15
Shule ya Mazoezi ya Kihuduma, 11/15
“Tueleze Zaidi!” (wanafunzi Urusi), 3/1
Uganda, 6/15
Wafundishe Watoto Wako Kutoa Maelezo, 11/15
Walifukuzwa, Kisha Wakakaribishwa (Peru), 1/1
Washiriki Wapya wa Baraza Linaloongoza, 3/15
Ziara Iliyobadili Mtazamo, 7/1
MASIMULIZI YA MAISHA
Alipendezwa na Sheria ya Yehova (A. Schroeder), 9/15
Hatimaye Familia yetu Yaungana! (S. Hirano), 8/1
Kufaidika na Ushikamanifu wa Wapendwa Wangu (K. Cooke), 9/1
Kujua kwa Nini Mungu Huruhusu Kuteseka (H. Peloyan), 5/1
Kujua Yaliyo Sawa na Kuyatenda (H. Sanderson), 3/1
Kutumikia kwa Shangwe Licha ya Magonjwa (V. Spetsiotis), 6/1
Kuwalea Watoto Wanane (J. Valentine), 1/1
Pigano la Kubaki Wenye Nguvu Kiroho (R. Brüggemeier), 12/1
Tuliazimia Kumtumikia Yehova (R. Kuokkanen), 4/1
Uvumilivu Huleta Shangwe (M. Rocha de Souza), 7/1
Yehova Alinisaidia Kukabiliana na Matatizo ya Maisha (D. Irwin), 10/1
Yehova Alinisaidia Nimpate (F. Clark), 2/1
Yehova Alithawabisha Tamaa Yangu ya Kuwa Mmishonari (S. Winfield da Conceição), 11/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Dhambi na Kifo Baada ya Jaribu la Mwisho, 8/15
“Hakuna mtu ambaye amepanda kuingia mbinguni ila yule aliyeshuka” (Yoh 3:13), 6/15
Je, Dunia Itaharibiwa? (Zb 102:26), 1/1
Je, “Hekima” ni Yesu kabla hajawa mwanadamu? (Met 8), 8/1
Je, Wanawake “wakae kimya” kutanikoni? (1Ko 14:34), 3/1
Je, Yesu Alimdharau Mama Yake? (Yoh 2:4), 12/1
Je, Yusufu Alisoma Ishara za Bahati? (Mwa 44:5), 2/1
Kusumbuliwa na Roho Waovu, 4/15
Kutengwa na Ushirika kwa Sababu ya Uchafu, 7/15
Mabamba Katika Sanduku la Agano, 1/15
Msiba wa Barabarani Unaosababisha Kifo, 9/15
Musa “hangeruhusiwa tena kutoka nje”? (Kum 31:2), 10/1
Ngono ilimfanya mtu asiwe safi, Sheria, 6/1
Ni nini kinachosababisha “vitu vyenye kutamanika” viingie? (Hag 2:7), 5/15
“Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama” (Kut 23:19), 4/1
Yesu alitoa onyo kuhusu mambo gani matatu? (Mt 5:22), 2/15
YEHOVA
Haki ya Kuwa na Jina, 4/15
Je, Tunaweza Kumjua Mungu? 10/15
Kusudi Kuelekea Dunia, 5/15
YESU KRISTO
Kuhani Mkuu Aliyemhukumu, 1/15
Kuja kwa Masihi, 2/15
Wanaofuata Mafundisho ya Kristo, 3/1