Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w06 12/15 uku. 31
  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2006

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2006
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2006
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • KALENDA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA
  • MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
  • YEHOVA
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2006
w06 12/15 uku. 31

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2006

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

Christophe Plantin—Mtangulizi wa Uchapishaji wa Biblia, 11/15

Ina Sheria Nyingi Mno? 10/1

“Jinsi Ninavyoipenda Sheria Yako!” 9/15

Jitihada Kabambe za Kuwahimiza (Seraphim), 5/15

Kuielewa, 4/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Ayubu, 3/15

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Esta, 3/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Ezra, 1/15

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Isaya—I, 12/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Methali, 9/15

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Mhubiri, 11/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Nehemia, 2/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Wimbo wa Sulemani, 11/15

Mambo Makuu Katika Zaburi, Kitabu cha Kwanza, 5/15

Mambo Makuu Katika Zaburi, Kitabu cha Pili, 6/1

Mambo Makuu Katika Zaburi, Kitabu cha Tano, 9/1

Mambo Makuu Katika Zaburi, Kitabu cha Tatu, cha Nne, 7/15

“Manukuu ya Awali Zaidi,” 1/15

“Tulinganishe Andiko na Andiko,” 8/15

Vitabu vya Biblia Vinavyokubalika (Hati ya Muratori), 2/15

KALENDA

‘Hatuwezi Kuacha Kusema,’ 9/15

Kukombolewa na “Damu Yenye Thamani” 3/15

Kutoa Ushahidi Kamili kwa ‘Kujipa Moyo,’11/15

‘Mungu Wetu Anaweza Kutuokoa’ (Waebrania watatu), 7/15

“Vita Ni vya Yehova,” 5/15

‘Yah Ndiye Wokovu Wangu,’ 1/15

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Faraja kwa Waliozeeka, 6/1

Kufanya Maamuzi Kupatana na Mapenzi ya Mungu, 4/15

Kulea Watoto, 11/1

Kumwogopa Mungu Ni “Nidhamu” (Met 15), 8/1

Kuna Faida ya Kuwa Mnyoofu, 12/1

Kutafakari Kupendeze, 1/1

Kutumikia Katika Kutaniko la Lugha ya Kigeni, 3/15

Kuufikia Moyo wa Mtoto, 5/1

Kuwahangaikia Maskini, 5/1

Kuwasiliana na Mwenzi Wako, 4/15

Kwa Nini Ufanye Lililo Sawa? 11/15

Maisha Yenye Kuridhisha, 2/1

Mpendwa Anapomwacha Yehova, 9/1

Msiogope, 5/1

Mwige Kristo Unapokuwa na Mamlaka, 4/1

“Neno Linalosemwa Wakati Unaofaa,” 1/1

Siku ya Arusi, 10/15

Somo Kuhusu Kiburi na Unyenyekevu, 6/15

Suala Linalokuhusu, 11/15

Thamani ya “Chombo Dhaifu,” 5/15

Tumia Wakati Vizuri, Huwezi Kuuhifadhi, 8/1

“Uhuru wa Kusema,” 5/15

Uradhi kwa Kutumia Kanuni za Maandiko, 6/1

Wazazi—Iweni Vielelezo Bora, 4/1

“Yeyote Anayejali Karipio Ni Mwerevu” (Met 15), 7/1

MAKALA ZA FUNZO

Arusi Zenye Kuheshimika Machoni Pa Mungu na Wanadamu, 10/15

Ayubu—Mtu Mvumilivu na Mtimilifu, 8/15

‘Chagua Uzima Ili Uendelee Kuwa Hai,’ 6/1

Epuka Ibada ya Uwongo! 3/15

Epukeni Manung’uniko, 7/15

Iga Subira ya Yehova, 2/1

Je, Uko Tayari kwa Wokovu? 5/15

Je, Unayaona Mambo Matakatifu Kama Yehova Anavyoyaona? 11/1

“Jinsi Ninavyoipenda Sheria Yako!” 6/15

Jinsi ya Kumkaribia “Msikiaji Wa Sala,” 9/1

Jitunzeni Katika Upendo Wa Mungu, 11/15

Kazia Fikira Mema ya Tengenezo la Yehova, 7/15

“Kila Mmoja Ataubeba Mzigo Wake Mwenyewe,” 3/15

Kubali Wakati Wote Nidhamu ya Yehova, 11/15

Kuheshimu Makusanyiko Yetu Matakatifu, 11/1

Kukusanya Vitu Vilivyo Mbinguni na Vitu Vilivyo Duniani, 2/15

Kumpenda Jirani Kunamaanisha Nini? 12/1

Kumtumikia Kristo Mfalme kwa Ushikamanifu, 5/1

Kutafuta Uadilifu Kutatulinda, 1/1

Kutembea Katika Njia ya Nuru Inayoongezeka, 2/15

Kutimiza Matakwa ya Ubatizo wa Kikristo, 4/1

Kuwa Hodari Kupitia Imani na Kumwogopa Mungu, 10/1

“Maombi Yenu na Yajulishwe Mungu,” 9/1

Mikono Yenu na Iwe na Nguvu, 4/15

“Mimi Nipo Pamoja Nanyi,” 4/15

“Mmesikia Juu ya Uvumilivu wa Ayubu,” 8/15

Mpende Mungu Anayekupenda, 12/1

Mpinge Shetani, Naye Atakukimbia! 1/15

Mtumaini Yehova, na Uwe Mwenye Ujasiri, 10/1

Mwogope Yehova, Uwe Mwenye Furaha! 8/1

‘Nendeni Mkafanye Wanafunzi, Mkiwabatiza,’ 4/1

“Ninavipenda Vikumbusho Vyako,” 6/15

Onyesha Upendo na Hekima kwa Kudhibiti Ulimi Wako, 9/15

“Shangilia Pamoja na Mke wa Ujana Wako,” 9/15

Shangwe za Kutembea kwa Utimilifu, 5/15

“Siku Kuu ya Yehova Iko Karibu,” 12/15

Tafrija Zinazofaa na Zinazoburudisha, 3/1

Thibitisha Imani Yako Kupitia Maisha Yako, 10/15

“Tunzeni Akili Zenu kwa Ukamili,” 3/1

Uhodari Waimarishwa kwa Upendo, 10/1

Unamtegemea Mungu Kadiri Gani? 1/1

“Ushahidi kwa Mataifa Yote,” 2/1

Usimamizi wa Kutimiza Kusudi la Mungu, 2/15

Usimpe Ibilisi Nafasi, 1/15

Uwe Mwenye Hekima—Mwogope Mungu! 8/1

Vijana, Chagueni Kumtumikia Yehova, 7/1

Wachungaji Ambao Ni “Vielelezo kwa Kundi,” 5/1

Walizaliwa Katika Taifa Teule la Mungu, 7/1

Yehova ‘Atasababisha Haki Ifanywe,’ 12/15

Yehova Anawapa “Roho Takatifu Wale Wanaomwomba,” 12/15

Yehova Humkomboa Anayeteseka, 7/15

Yehova Hutangaza “Tangu Mwanzo Ule Mwisho,” 6/1

Yehova Huwazoeza Wachungaji kwa Ajili ya Kundi Lake, 5/1

MAMBO MENGINE

Amani Duniani—Ni Ndoto? 12/15

Barabara za Roma, 10/15

Baruku—Mwandishi wa Yeremia, 8/15

Dini Ina Faida Gani? 9/1

Ebla Lililosahauliwa Lainuka, 12/15

Furaha, 6/15

Haki ya Binadamu, 8/1

Ibada Inayokufaa, 9/1

Je, Wema Utashinda Uovu? 1/1

Krismasi, 12/15

Kuishi “Siku za Mwisho”? 9/15

Kuishi Milele, 10/1

Kuoga Kidesturi, Wayahudi, 10/15

Kusafiri Baharini, 10/1

“Kwa Nini Tupo Hapa?” 10/15

Malaika, 1/15

Melito wa Sardi, 4/15

Mpinga-Kristo, 12/1

Mti wa Lagani Auna, 2/1

Muhuri ‘wa Yukali,’ 9/15

Ni Nani Watakaorithi Dunia? 8/15

“Pambo la Galilaya” (Sefori), 6/1

Pesa na Maadili, 2/1

Sanhedrini, 9/15

Shati la Manyoya, 8/1

Suluhisho la Kifo, 3/15

“Tukio la Mfano,” 3/15

TV Ni Mlezi Bora wa Mtoto? 6/15

Ufalme wa Mungu, 7/15

Ujuzi, 7/1

Umaskini, 5/1

Unataka Marafiki Wazuri? 3/1

Uthibitisho Usio wa Kimaandiko Kuhusu Israeli, 7/15

“Utunze Mzabibu Huu”! 6/15

Wanyama Humtukuza Yehova, 1/15

Yuda Iliachwa Ukiwa? 11/15

MASHAHIDI WA YEHOVA

Daniel na Beji Yake ya Kusanyiko, 11/1

Guinea, 10/15

Haiti, 12/15

Imani Huwatia Wengine Moyo (Visiwa vya Canary), 7/1

Je, Hakimu Anaweza Kurekebishwa? 12/1

Kuhitimu kwa Wanafunzi wa Gileadi, 1/1, 7/1

‘Kuanzia Leo, Naamini Kuna Mungu’ (Jamhuri ya Cheki), 7/15

Kujenga kwa Umoja, 11/1

“Kwa Sababu ya Mvulana Mwenye Miaka Tisa,” 9/1

Makusanyiko ya “Ukombozi Unakaribia!” 3/1

Miji ya Mbali ya Bolivia, 2/15

Mzee Lakini Hakuwa Mpweke (F. Rivarol), 8/15

“Nimemaliza Vizuri Sana” (Hispania), 7/1

Ongezeko Lenye Kutia Moyo (Taiwan), 8/15

Panama, 4/15

Pembe Tatu ya Zambarau, 2/15

Shule ya Mazoezi ya Kihuduma, 11/15

“Tueleze Zaidi!” (wanafunzi Urusi), 3/1

Uganda, 6/15

Wafundishe Watoto Wako Kutoa Maelezo, 11/15

Walifukuzwa, Kisha Wakakaribishwa (Peru), 1/1

Washiriki Wapya wa Baraza Linaloongoza, 3/15

Ziara Iliyobadili Mtazamo, 7/1

MASIMULIZI YA MAISHA

Alipendezwa na Sheria ya Yehova (A. Schroeder), 9/15

Hatimaye Familia yetu Yaungana! (S. Hirano), 8/1

Kufaidika na Ushikamanifu wa Wapendwa Wangu (K. Cooke), 9/1

Kujua kwa Nini Mungu Huruhusu Kuteseka (H. Peloyan), 5/1

Kujua Yaliyo Sawa na Kuyatenda (H. Sanderson), 3/1

Kutumikia kwa Shangwe Licha ya Magonjwa (V. Spetsiotis), 6/1

Kuwalea Watoto Wanane (J. Valentine), 1/1

Pigano la Kubaki Wenye Nguvu Kiroho (R. Brüggemeier), 12/1

Tuliazimia Kumtumikia Yehova (R. Kuokkanen), 4/1

Uvumilivu Huleta Shangwe (M. Rocha de Souza), 7/1

Yehova Alinisaidia Kukabiliana na Matatizo ya Maisha (D. Irwin), 10/1

Yehova Alinisaidia Nimpate (F. Clark), 2/1

Yehova Alithawabisha Tamaa Yangu ya Kuwa Mmishonari (S. Winfield da Conceição), 11/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Dhambi na Kifo Baada ya Jaribu la Mwisho, 8/15

“Hakuna mtu ambaye amepanda kuingia mbinguni ila yule aliyeshuka” (Yoh 3:13), 6/15

Je, Dunia Itaharibiwa? (Zb 102:26), 1/1

Je, “Hekima” ni Yesu kabla hajawa mwanadamu? (Met 8), 8/1

Je, Wanawake “wakae kimya” kutanikoni? (1Ko 14:34), 3/1

Je, Yesu Alimdharau Mama Yake? (Yoh 2:4), 12/1

Je, Yusufu Alisoma Ishara za Bahati? (Mwa 44:5), 2/1

Kusumbuliwa na Roho Waovu, 4/15

Kutengwa na Ushirika kwa Sababu ya Uchafu, 7/15

Mabamba Katika Sanduku la Agano, 1/15

Msiba wa Barabarani Unaosababisha Kifo, 9/15

Musa “hangeruhusiwa tena kutoka nje”? (Kum 31:2), 10/1

Ngono ilimfanya mtu asiwe safi, Sheria, 6/1

Ni nini kinachosababisha “vitu vyenye kutamanika” viingie? (Hag 2:7), 5/15

“Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama” (Kut 23:19), 4/1

Yesu alitoa onyo kuhusu mambo gani matatu? (Mt 5:22), 2/15

YEHOVA

Haki ya Kuwa na Jina, 4/15

Je, Tunaweza Kumjua Mungu? 10/15

Kusudi Kuelekea Dunia, 5/15

YESU KRISTO

Kuhani Mkuu Aliyemhukumu, 1/15

Kuja kwa Masihi, 2/15

Wanaofuata Mafundisho ya Kristo, 3/1

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki