Yaliyomo
Januari 15, 2008
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Februari (Mwezi wa 2) 11-17
“Endelea Kuangalia Huduma Ambayo Uliikubali Katika Bwana”
UKURASA WA 4
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 193, 151
Februari 18-24
Kazia Uangalifu ‘Ufundi Wako wa Kufundisha’
UKURASA WA 8
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 6, 123
Februari 25–Machi (Mwezi wa 3) 2
Watu Wenye “Mwelekeo Unaofaa” Wanaitikia
UKURASA WA 13
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 156, 133
Machi 3-9
Wamehesabiwa Kuwa Wanastahili Kuupokea Ufalme
UKURASA WA 20
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 195, 60
Machi 10-16
Wamehesabiwa Kuwa Wanastahili Kuongozwa Kwenye Chemchemi za Maji ya Uzima
UKURASA WA 24
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 99, 187
Kusudi la Makala za Funzo
Makala za Funzo 1-3 UKURASA WA 4-17
Makala hizi tatu zitatia nguvu azimio lako la kuendelea kushiriki kwa bidii katika huduma ya Kikristo. Zitakukumbusha kwa nini unahitaji kuwa mwenye bidii, zitakuonyesha jinsi ya kuboresha ‘ufundi wako wa kufundisha,’ na zitakutia moyo kwa kutoa uthibitisho wa kwamba bado watu wengi wanakubali ujumbe ambao tunahubiri.
Makala za Funzo 4, 5 UKURASA WA 20-28
Makala hizi mbili za funzo zinazungumzia kwa undani tumaini la Wakristo wa kweli. Iwe unatumaini kuishi pamoja na Kristo mbinguni au kuishi milele hapa duniani chini ya utawala wa Ufalme, makala hizo mbili zitakusaidia uthamini zaidi fadhili zenye upendo za Yehova na hekima yake isiyochunguzika.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Toleo Jipya la Funzo la Mnara wa Mlinzi
UKURASA WA 3
Waliboresha Maisha Yao—Je, Unaweza Kuwaiga?
UKURASA WA 17
Neno la Yehova Liko Hai—Mambo Makuu Katika Kitabu cha Mathayo
UKURASA WA 29
Wakristo Wanapopepetwa Kama Ngano
UKURASA WA 32