Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w08 1/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • Kusudi la Makala za Funzo
  • PIA KATIKA TOLEO HILI:
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
w08 1/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Januari 15, 2008

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Februari (Mwezi wa 2) 11-17

“Endelea Kuangalia Huduma Ambayo Uliikubali Katika Bwana”

UKURASA WA 4

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 193, 151

Februari 18-24

Kazia Uangalifu ‘Ufundi Wako wa Kufundisha’

UKURASA WA 8

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 6, 123

Februari 25–Machi (Mwezi wa 3) 2

Watu Wenye “Mwelekeo Unaofaa” Wanaitikia

UKURASA WA 13

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 156, 133

Machi 3-9

Wamehesabiwa Kuwa Wanastahili Kuupokea Ufalme

UKURASA WA 20

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 195, 60

Machi 10-16

Wamehesabiwa Kuwa Wanastahili Kuongozwa Kwenye Chemchemi za Maji ya Uzima

UKURASA WA 24

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 99, 187

Kusudi la Makala za Funzo

Makala za Funzo 1-3 UKURASA WA 4-17

Makala hizi tatu zitatia nguvu azimio lako la kuendelea kushiriki kwa bidii katika huduma ya Kikristo. Zitakukumbusha kwa nini unahitaji kuwa mwenye bidii, zitakuonyesha jinsi ya kuboresha ‘ufundi wako wa kufundisha,’ na zitakutia moyo kwa kutoa uthibitisho wa kwamba bado watu wengi wanakubali ujumbe ambao tunahubiri.

Makala za Funzo 4, 5 UKURASA WA 20-28

Makala hizi mbili za funzo zinazungumzia kwa undani tumaini la Wakristo wa kweli. Iwe unatumaini kuishi pamoja na Kristo mbinguni au kuishi milele hapa duniani chini ya utawala wa Ufalme, makala hizo mbili zitakusaidia uthamini zaidi fadhili zenye upendo za Yehova na hekima yake isiyochunguzika.

PIA KATIKA TOLEO HILI:

Toleo Jipya la Funzo la Mnara wa Mlinzi

UKURASA WA 3

Waliboresha Maisha Yao—Je, Unaweza Kuwaiga?

UKURASA WA 17

Neno la Yehova Liko Hai—Mambo Makuu Katika Kitabu cha Mathayo

UKURASA WA 29

Wakristo Wanapopepetwa Kama Ngano

UKURASA WA 32

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki