Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w08 5/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • Kusudi la Makala za Funzo
  • PIA KATIKA TOLEO HILI:
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
w08 5/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Mei 15, 2008

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Juni (Mwezi wa 6) 30–Julai (Mwezi wa 7) 6

Tunapaswa Kuwatendea Wengine Jinsi Gani?

UKURASA WA 3

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 35, 62

Julai 7-13

Endeleeni Kutenda Mema

UKURASA WA 7

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 95, 145

Julai 14-20

Ukombozi Kupitia Ufalme wa Mungu Uko Karibu!

UKURASA WA 12

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 181, 130

Julai 21-27

Chagua Kumtumikia Yehova Ukiwa Kijana

UKURASA WA 17

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 157, 221

Julai 28–Agosti (Mwezi wa 8) 3

Fanya Maendeleo ya Kiroho kwa Kufuata Mfano wa Paulo

UKURASA WA 21

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 123, 129

Kusudi la Makala za Funzo

Makala ya Funzo ya 1 na ya 2 UKURASA 3-11

Katika Mahubiri yake ya Mlimani yanayojulikana sana, Yesu alikazia umuhimu wa kuwa mwenye tabia-pole, mwenye rehema, na mwenye kufanya amani. Aliwahimiza wafuasi wake ‘waache nuru yao iangaze’ na akaonyesha jinsi tunavyopaswa kuwatendea adui zetu na wengine.

Makala ya Funzo ya 3 UKURASA 12-16

Fikiria jinsi unavyoweza kueleza kwa nini kuna uhitaji mkubwa zaidi leo wa ukombozi kuliko wakati mwingine wowote. Ona jinsi unavyoweza kumtambua Yehova kuwa Mkombozi Mkuu na kuwaonyesha wengine jinsi Ufalme wa Mungu utakavyowakomboa wanadamu hivi karibuni.

Makala ya Funzo ya 4 na ya 5 UKURASA 17-25

Kwa nini vijana wanapaswa kumtumikia Mungu? Je, wanaweza kufanikiwa kuishi kulingana na wakfu wao kwa Yehova bila kujali jinsi wengine wanavyowaona? Ni nafasi gani za utumishi zilizo mbele yao? Mfano wa mtume Paulo unaweza kuwasaidia jinsi gani wote katika kutaniko wafanye maendeleo ya kiroho? Maswali ya maana kama hayo yanazungumziwa katika makala hizi mbili.

PIA KATIKA TOLEO HILI:

Fuatia “Utakatifu Katika Kumwogopa Mungu”

UKURASA WA 26

Jinsi Ambavyo Baraza Linaloongoza Limepangwa

UKURASA WA 29

Neno la Yehova Liko Hai—Mambo Makuu Katika Kitabu cha Matendo

UKURASA WA 30

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki