Yaliyomo
Juni 15, 2008
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Agosti (Mwezi wa 8) 4-10
Vitu Ambavyo Ni Lazima Tuvikimbie
UKURASA WA 7
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 139, 146
Agosti 11-17
Sifa Ambazo Ni Lazima Tufuatilie
UKURASA WA 11
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 42, 54
Agosti 18-24
UKURASA WA 18
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 47, 2
Agosti 25-31
Dumisha “Upendo Uliokuwa Nao Mwanzoni”
UKURASA WA 22
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 201, 132
Kusudi la Makala za Funzo
Makala ya Funzo ya 1 na ya 2 UKURASA 7-15
Tunaweza kuwa na hakika kwamba Mungu anatupenda. Jambo moja linaloonyesha hivyo ni kwamba anataja waziwazi mambo manne ambayo Wakristo wanapaswa kuyakimbia. Ni mambo gani hayo, na tunaweza kuyakimbia jinsi gani? Vivyo hivyo, Biblia inataja mambo saba ambayo tunapaswa kufuatilia. Ni mambo gani hayo, na tunaweza kuyafuatilia jinsi gani?
Makala ya Funzo ya 3 UKURASA 18-22
Roho ya kujitegemea imeenea sana ulimwenguni leo. Hivyo, tunaweza kusitawisha namna gani maoni mazuri kuhusu mamlaka, hasa mamlaka ya Yehova? Habari hii itatusaidia kuona jinsi tunavyoweza kufanya hivyo na jinsi ya kujilinda na roho ya kujitegemea ambayo Shetani anachochea.
Makala ya Funzo ya 4 UKURASA 22-26
Makala hii ya funzo itatusaidia kuchunguza kwa nini tulikubali kweli na kumpenda Yehova. Inatoa mapendekezo kuhusu jinsi mtu anavyoweza kuamsha upendo wake wa kwanza kuelekea Yehova na ile kweli ikiwa upendo huo umepoa.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
UKURASA WA 3
Je, Uko Tayari Kuitetea Imani Yako?
UKURASA WA 16
Je, Yesu Alikuwa Akizungumza Kuhusu Moto wa Mateso?
UKURASA WA 27
UKURASA WA 28
Neno la Yehova Liko Hai—Mambo Makuu Katika Barua kwa Waroma
UKURASA WA 29
UKURASA WA 32