Yaliyomo
Julai 15, 2008
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Septemba (Mwezi wa 9) 1-7
Kwa Nini Huduma ya Nyumba kwa Nyumba Ni ya Maana Sasa?
UKURASA WA 3
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 32, 162
Septemba 8-14
Kushinda Magumu ya Huduma ya Nyumba kwa Nyumba
UKURASA WA 7
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 53, 92
Septemba 15-21
UKURASA WA 12
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 133, 211
Septemba 22-28
UKURASA WA 17
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 148, 192
Kusudi la Makala za Funzo
Makala ya Funzo ya 1 na ya 2 UKURASA 3-11
Mashahidi wa Yehova wanajulikana duniani kote kwa sababu ya huduma yao ya nyumba kwa nyumba. Mfululizo huu wenye sehemu mbili unazungumzia kwa nini tunatumia sana njia hiyo ya kuhubiri na jinsi tunavyoshinda magumu ya kuhubiri nyumba kwa nyumba.
Makala ya Funzo ya 3 na ya 4 UKURASA 12-21
Makala hizi zina habari yenye kujenga imani kuhusu mifano mitano ya Yesu. Maelezo fulani yanarekebisha uelewaji wetu. Makala hizi zinatufanya tuthamini zaidi nguvu za roho ya Mungu. Tutajifunza jinsi mifano hiyo mitano inavyoonyesha namna ambavyo njia tofauti za kuhubiri kuhusu Ufalme zinaleta ongezeko.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Hatukuogopa—Yehova Alikuwa Pamoja Nasi
UKURASA WA 22
Neno la Yehova Liko Hai—Mambo Makuu Katika Barua kwa Wakorintho
UKURASA WA 26
Uwe na Matarajio Yenye Usawaziko, na Uwe Mwenye Shangwe
UKURASA WA 29