Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w08 9/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • Kusudi la Makala za Funzo
  • PIA KATIKA TOLEO HILI:
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
w08 9/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Septemba 15, 2008

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Novemba (Mwezi wa 11) 3-9

Yehova Alikuwa “Mwokoaji” Katika Nyakati za Biblia

UKURASA WA 3

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 74, 44

Novemba 10-16

Yehova Ni “Mwokoaji” Wetu

UKURASA WA 7

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 153, 3

Novemba 17-23

Dumisha “Kamba Yenye Nyuzi Tatu” Katika Ndoa

UKURASA WA 16

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 117, 173

Novemba 24-30

Ipinge “Roho ya Ulimwengu”

UKURASA WA 20

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 10, 191

Kusudi la Makala za Funzo

Makala ya Funzo ya 1 na ya 2 UKURASA 3-11

Mfululizo huu wenye sehemu mbili unazungumzia Zaburi ya 70. Zaburi hiyo inasema kwamba Yehova ni “Mwokoaji.” Makala hizo zinaonyesha jinsi Yehova alivyowaokoa watumishi wake katika nyakati za Biblia na jinsi anavyotuokoa leo.

Makala ya Funzo ya 3 UKURASA 16-20

Inaweza kuwa vigumu kwa wenzi wa ndoa kuendelea kuishi kwa umoja leo, hata ikiwa wote wawili ni watumishi wa Yehova. Makala hii ina mapendekezo yenye faida yanayoonyesha jinsi Wakristo wanavyoweza kuhakikisha kwamba Yehova yuko katika ndoa yao, na yale wanayoweza kufanya matatizo yanapotokea.

Makala ya Funzo ya 4 UKURASA 20-24

Tunapaswa kufanya uamuzi: Je, tutajitahidi kupata roho takatifu ya Mungu na kufuata mwongozo wake, au tutaruhusu roho ya ulimwengu ituongoze? Makala hii inachanganua mambo hayo mawili, na inatusaidia kufanya uamuzi ambao unaleta furaha.

PIA KATIKA TOLEO HILI:

Ongeza Ujuzi Sahihi Ukiwa na ‘Hamu ya Akili’

UKURASA WA 12

Kuhubiri Sokoni

UKURASA WA 25

Mwige Yesu—Mwabudu Mungu kwa Njia Inayokubalika

UKURASA WA 26

Neno la Yehova Liko Hai—Mambo Makuu Katika Barua kwa Wathesalonike na kwa Timotheo

UKURASA WA 29

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

UKURASA WA 32

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki