Yaliyomo
Septemba 15, 2008
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Novemba (Mwezi wa 11) 3-9
Yehova Alikuwa “Mwokoaji” Katika Nyakati za Biblia
UKURASA WA 3
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 74, 44
Novemba 10-16
UKURASA WA 7
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 153, 3
Novemba 17-23
Dumisha “Kamba Yenye Nyuzi Tatu” Katika Ndoa
UKURASA WA 16
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 117, 173
Novemba 24-30
UKURASA WA 20
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 10, 191
Kusudi la Makala za Funzo
Makala ya Funzo ya 1 na ya 2 UKURASA 3-11
Mfululizo huu wenye sehemu mbili unazungumzia Zaburi ya 70. Zaburi hiyo inasema kwamba Yehova ni “Mwokoaji.” Makala hizo zinaonyesha jinsi Yehova alivyowaokoa watumishi wake katika nyakati za Biblia na jinsi anavyotuokoa leo.
Makala ya Funzo ya 3 UKURASA 16-20
Inaweza kuwa vigumu kwa wenzi wa ndoa kuendelea kuishi kwa umoja leo, hata ikiwa wote wawili ni watumishi wa Yehova. Makala hii ina mapendekezo yenye faida yanayoonyesha jinsi Wakristo wanavyoweza kuhakikisha kwamba Yehova yuko katika ndoa yao, na yale wanayoweza kufanya matatizo yanapotokea.
Makala ya Funzo ya 4 UKURASA 20-24
Tunapaswa kufanya uamuzi: Je, tutajitahidi kupata roho takatifu ya Mungu na kufuata mwongozo wake, au tutaruhusu roho ya ulimwengu ituongoze? Makala hii inachanganua mambo hayo mawili, na inatusaidia kufanya uamuzi ambao unaleta furaha.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Ongeza Ujuzi Sahihi Ukiwa na ‘Hamu ya Akili’
UKURASA WA 12
UKURASA WA 25
Mwige Yesu—Mwabudu Mungu kwa Njia Inayokubalika
UKURASA WA 26
Neno la Yehova Liko Hai—Mambo Makuu Katika Barua kwa Wathesalonike na kwa Timotheo
UKURASA WA 29
UKURASA WA 32