Yaliyomo
Oktoba 15, 2008
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Desemba (Mwezi wa 12) 1-7
‘Macho ya Yehova Yanayong’aa’ Yanawachunguza Wote
UKURASA WA 3
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 160, 34
Desemba 8-14
Yehova Anatutazama kwa Faida Yetu
UKURASA WA 7
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 81, 80
Desemba 15-21
Jibu la Yehova kwa Sala ya Kutoka Moyoni
UKURASA WA 12
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 74, 90
Desemba 22-28
Je, Wewe Ni wa Kwanza Katika Kuonyesha Heshima?
UKURASA WA 21
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 216, 155
Desemba 29–Januari (Mwezi wa 1) 4
Utatoa Nini ili Uendelee Kuishi?
UKURASA WA 25
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 177, 212
Kusudi la Makala za Funzo
Makala ya Funzo ya 1 na 2 UKURASA WA 3-11
Makala hizi mbili zinatuhakikishia kwamba Yehova anajua kabisa mambo yote yanayotupata. Anathamini uvumilivu wetu na anajua mahangaiko yetu. Anatambua jitihada zetu zote, na hakuna jambo linalowapata watumishi wake bila yeye kujua. Tunafarijika sana kujua jambo hilo.
Makala ya Funzo ya 3 UKURASA WA 12-16
Wengi wetu tunajua andiko la Zaburi 83:18. Lakini namna gani ile sehemu nyingine ya zaburi hiyo? Makala hii inaonyesha jinsi Zaburi ya 83 inavyowatia moyo sana Wakristo leo.
Makala ya Funzo ya 4 UKURASA WA 21-25
Paulo alisema hivi: “Katika kuonyeshana heshima iweni wa kwanza.” Inamaanisha nini kuwaonyesha wengine heshima? Ni nani anayepaswa kuonyesha heshima, na ni nani anayepaswa kuheshimiwa? Kuna mifano gani katika Biblia? Makala hii inazungumzia njia mbalimbali za kuonyesha heshima.
Makala ya Funzo ya 5 UKURASA WA 25-29
Siku moja, Yesu aliuliza hivi: “Mtu atatoa nini ili aipate nafsi yake?” Unaweza kujibu swali hilo jinsi gani? Yesu alikuwa akizungumzia “nafsi” gani? Maisha yako yanaonyesha unathamini nafsi yako kadiri gani? Makala hii itakusaidia kutafakari kwa uzito kuhusu swali la Yesu lenye kuchochea fikira.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
“Kwa Kweli Hilo Ni Jina la Mungu Ambalo Ni Takatifu na Kuu Zaidi”
UKURASA WA 16
UKURASA WA 17
Neno la Yehova Liko Hai—Mambo Makuu Katika Barua kwa Tito, kwa Filemoni, na kwa Waebrania
UKURASA WA 30