Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w08 11/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • Kusudi la Makala za Funzo
  • PIA KATIKA TOLEO HILI:
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
w08 11/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Novemba 15, 2008

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Januari (Mwezi wa 1) 5-11

Wasaidieni Kondoo Waliopotea

UKURASA WA 8

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 47, 101

Januari 12-18

Wasaidieni Warudi Haraka!

UKURASA WA 12

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 116, 184

Januari 19-25

Uwe na Maoni Yanayopatana na Maandiko Kuhusu Matibabu

UKURASA WA 23

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 44, 182

Januari 26–Februari (Mwezi wa 2) 1

‘Mpinge Ibilisi’ Kama Yesu Alivyofanya

UKURASA WA 27

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 174, 191

Kusudi la Makala za Funzo

Makala ya Funzo ya 1 na 2 UKURASA WA 8-16

Jifunze jinsi wazee na wengine wanavyoweza kuwasaidia waamini wenzao ambao wameacha kushirikiana na kundi la Mungu. Makala hizi zinaeleza mambo unayoweza kufanya ili kuwasaidia Wakristo wasiotenda. Ona pia jinsi wale wanaorudi wanavyoweza kutazamia kupokewa.

Makala ya Funzo ya 3 UKURASA WA 23-27

Ni jambo la kawaida kuhangaikia afya yetu kwa usawaziko. Kwa hiyo, Mashahidi wa Yehova wanakubali msaada wa madaktari na aina nyingine za matibabu. Hata hivyo, “utimamu wa akili” ni muhimu. (Tito 2:12) Zaidi ya yote, tunahitaji kutunza afya yetu ya kiroho na kuimarisha uhusiano wetu pamoja na Mungu.

Makala ya Funzo ya 4 UKURASA WA 27-31

Jifunze jinsi Yesu Kristo alivyoweka kielelezo kizuri katika kumpinga Ibilisi. Makala hii inaonyesha kwa nini Mungu alikuwa na uhakika kuhusu Mwana wake. Inaonyesha jinsi Yesu alivyofaulu kumpinga Shetani na jinsi sisi pia tunavyoweza kufanya hivyo.

PIA KATIKA TOLEO HILI:

Unataka Kuwa Mtu wa Aina Gani?

UKURASA WA 3

Kumtumikia Mungu kwa “Moyo na Nafsi Moja”

UKURASA WA 6

“Tufuatilie Mambo Yanayofanya Kuwe na Amani”

UKURASA WA 17

Neno la Yehova Liko Hai—Mambo Makuu Katika Barua ya Yakobo na ya Petro

UKURASA WA 20

“Wimbo wa Baharini”—Hati Inayoziba Pengo

UKURASA WA 32

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki