Yaliyomo
Novemba 15, 2008
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Januari (Mwezi wa 1) 5-11
UKURASA WA 8
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 47, 101
Januari 12-18
UKURASA WA 12
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 116, 184
Januari 19-25
Uwe na Maoni Yanayopatana na Maandiko Kuhusu Matibabu
UKURASA WA 23
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 44, 182
Januari 26–Februari (Mwezi wa 2) 1
‘Mpinge Ibilisi’ Kama Yesu Alivyofanya
UKURASA WA 27
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 174, 191
Kusudi la Makala za Funzo
Makala ya Funzo ya 1 na 2 UKURASA WA 8-16
Jifunze jinsi wazee na wengine wanavyoweza kuwasaidia waamini wenzao ambao wameacha kushirikiana na kundi la Mungu. Makala hizi zinaeleza mambo unayoweza kufanya ili kuwasaidia Wakristo wasiotenda. Ona pia jinsi wale wanaorudi wanavyoweza kutazamia kupokewa.
Makala ya Funzo ya 3 UKURASA WA 23-27
Ni jambo la kawaida kuhangaikia afya yetu kwa usawaziko. Kwa hiyo, Mashahidi wa Yehova wanakubali msaada wa madaktari na aina nyingine za matibabu. Hata hivyo, “utimamu wa akili” ni muhimu. (Tito 2:12) Zaidi ya yote, tunahitaji kutunza afya yetu ya kiroho na kuimarisha uhusiano wetu pamoja na Mungu.
Makala ya Funzo ya 4 UKURASA WA 27-31
Jifunze jinsi Yesu Kristo alivyoweka kielelezo kizuri katika kumpinga Ibilisi. Makala hii inaonyesha kwa nini Mungu alikuwa na uhakika kuhusu Mwana wake. Inaonyesha jinsi Yesu alivyofaulu kumpinga Shetani na jinsi sisi pia tunavyoweza kufanya hivyo.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Unataka Kuwa Mtu wa Aina Gani?
UKURASA WA 3
Kumtumikia Mungu kwa “Moyo na Nafsi Moja”
UKURASA WA 6
“Tufuatilie Mambo Yanayofanya Kuwe na Amani”
UKURASA WA 17
Neno la Yehova Liko Hai—Mambo Makuu Katika Barua ya Yakobo na ya Petro
UKURASA WA 20
“Wimbo wa Baharini”—Hati Inayoziba Pengo
UKURASA WA 32