Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w09 1/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • Kusudi la Makala za Funzo
  • PIA KATIKA TOLEO HILI:
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
w09 1/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Januari 15, 2009

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Machi (Mwezi wa 3) 2-8

‘Njoo Uwe Mfuasi Wangu’

UKURASA WA 3

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 200, 172

Machi 9-15

Pata Shangwe Katika Kazi ya Kufanya Wanafunzi

UKURASA WA 7

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 130, 211

Machi 16-22

Je, Wewe Ni ‘Msimamizi-Nyumba wa Fadhili Zisizostahiliwa za Mungu’?

UKURASA WA 12

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 50, 58

Machi 23-29

Tazama! Mtumishi wa Yehova Aliyekubaliwa

UKURASA WA 21

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 168, 4

Machi 30–Aprili (Mwezi wa 4) 5

Mtumishi wa Yehova—‘Alichomwa kwa Silaha kwa Ajili ya Ukosaji Wetu’

UKURASA WA 25

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 224, 214

Kusudi la Makala za Funzo

Makala ya Funzo ya 1-3 UKURASA WA 3-16

Ni nini kinachomaanishwa na kuwa mfuasi wa Kristo? Kunamaanisha kuiga sifa zake za pekee, kama vile hekima na unyenyekevu wake. Pia, kunamaanisha kuwa wenye bidii katika kazi ya kufanya wanafunzi. Na kunatia ndani kuwaonyesha waamini wenzetu upendo unaotoka moyoni. Makala hizi zinazungumzia jinsi unavyoweza kumwiga Kristo katika njia hizo tatu.

Makala ya Funzo ya 4 na 5 UKURASA WA 21-29

Makala hizi mbili zinachunguza unabii mbalimbali ulio katika kitabu cha Isaya ambao ulitimizwa na Yesu Kristo. Kuchunguza unabii huo mbalimbali kutaongeza uthamini wetu kuhusu mambo yote ambayo Yehova na Yesu wametimiza kwa faida yetu kupitia kifo na ufufuo wa Yesu. Kwa hiyo, makala hizi zitatusaidia kutayarisha akili na mioyo yetu ili kuadhimisha Ukumbusho jioni ya Aprili 9, 2009.

PIA KATIKA TOLEO HILI:

“Hii Ndiyo Njia. Tembeeni Ndani Yake”

UKURASA WA 17

Neno la Yehova Liko Hai—Mambo Makuu Katika Kitabu cha Ufunuo—I

UKURASA WA 30

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki