Yaliyomo
Januari 15, 2009
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Machi (Mwezi wa 3) 2-8
UKURASA WA 3
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 200, 172
Machi 9-15
Pata Shangwe Katika Kazi ya Kufanya Wanafunzi
UKURASA WA 7
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 130, 211
Machi 16-22
Je, Wewe Ni ‘Msimamizi-Nyumba wa Fadhili Zisizostahiliwa za Mungu’?
UKURASA WA 12
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 50, 58
Machi 23-29
Tazama! Mtumishi wa Yehova Aliyekubaliwa
UKURASA WA 21
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 168, 4
Machi 30–Aprili (Mwezi wa 4) 5
Mtumishi wa Yehova—‘Alichomwa kwa Silaha kwa Ajili ya Ukosaji Wetu’
UKURASA WA 25
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 224, 214
Kusudi la Makala za Funzo
Makala ya Funzo ya 1-3 UKURASA WA 3-16
Ni nini kinachomaanishwa na kuwa mfuasi wa Kristo? Kunamaanisha kuiga sifa zake za pekee, kama vile hekima na unyenyekevu wake. Pia, kunamaanisha kuwa wenye bidii katika kazi ya kufanya wanafunzi. Na kunatia ndani kuwaonyesha waamini wenzetu upendo unaotoka moyoni. Makala hizi zinazungumzia jinsi unavyoweza kumwiga Kristo katika njia hizo tatu.
Makala ya Funzo ya 4 na 5 UKURASA WA 21-29
Makala hizi mbili zinachunguza unabii mbalimbali ulio katika kitabu cha Isaya ambao ulitimizwa na Yesu Kristo. Kuchunguza unabii huo mbalimbali kutaongeza uthamini wetu kuhusu mambo yote ambayo Yehova na Yesu wametimiza kwa faida yetu kupitia kifo na ufufuo wa Yesu. Kwa hiyo, makala hizi zitatusaidia kutayarisha akili na mioyo yetu ili kuadhimisha Ukumbusho jioni ya Aprili 9, 2009.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
“Hii Ndiyo Njia. Tembeeni Ndani Yake”
UKURASA WA 17
Neno la Yehova Liko Hai—Mambo Makuu Katika Kitabu cha Ufunuo—I
UKURASA WA 30