Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w09 4/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • Kusudi la Makala za Funzo
  • PIA KATIKA TOLEO HILI:
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
w09 4/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Aprili 15, 2009

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Juni (Mwezi wa 6) 1-7

Ayubu Alilitukuza Jina la Yehova

UKURASA WA 3

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 197, 41

Juni 8-14

Utimilifu Wako Unafanya Moyo wa Yehova Ushangilie

UKURASA WA 7

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 160, 138

Juni 15-21

Hekima ya Yehova Inaonekana Katika Uumbaji

UKURASA WA 15

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 79, 84

Juni 22-28

Kutambua Daraka la Musa Mkuu Zaidi

UKURASA WA 24

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 205, 150

Juni 29–Julai (Mwezi wa 7) 5

Kutambua Daraka la Yesu Akiwa Daudi Mkuu Zaidi na Sulemani Mkuu Zaidi

UKURASA WA 28

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 168, 209

Kusudi la Makala za Funzo

Makala ya Funzo ya 1 na 2 UKURASA WA 3-11

Makala hizi zinaeleza kwa nini Yehova alimruhusu Shetani amletee Ayubu majaribu mengi na kile kilichomsaidia Ayubu kudumisha utimilifu wake. Pia, zinaeleza jinsi tunavyoweza kubaki waaminifu kama Ayubu, na hivyo kuufanya moyo wa Yehova ushangilie.

Makala ya Funzo ya 3 UKURASA WA 15-19

Kazi za uumbaji za Yehova zinafunua sifa zake mbalimbali. Kwa kuchunguza vitu vilivyoumbwa, tunaweza kujifunza masomo yenye thamani. Katika habari hii, tutachunguza mifano minne ya uumbaji wa Yehova na kuzungumzia masomo yaliyo katika mifano hiyo.

Makala ya Funzo ya 4 na 5 UKURASA WA 24-32

Masimulizi ya Biblia ya maisha ya wanaume fulani waaminifu walioishi kabla ya Yesu yanaonyesha kwamba kuna ulinganifu mkubwa kati yao na Yesu. Katika makala hizi mbili, tutachunguza maisha ya Musa, Daudi, na Sulemani na kuona jinsi masimulizi ya maisha yao yanavyotusaidia kuelewa zaidi daraka la Yesu katika kusudi la Mungu.

PIA KATIKA TOLEO HILI:

Maswali Kutoka kwa Wasomaji—Je, kuna tumaini lolote kwamba mtoto anayefia ndani ya tumbo la uzazi atafufuliwa?

UKURASA WA 12

Je, Unakumbuka?

UKURASA WA 14

Je, Unaweza Kutumika Mahali Penye Uhitaji Mkubwa Zaidi wa Wahubiri?

UKURASA WA 20

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki