Yaliyomo
Aprili 15, 2009
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Juni (Mwezi wa 6) 1-7
Ayubu Alilitukuza Jina la Yehova
UKURASA WA 3
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 197, 41
Juni 8-14
Utimilifu Wako Unafanya Moyo wa Yehova Ushangilie
UKURASA WA 7
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 160, 138
Juni 15-21
Hekima ya Yehova Inaonekana Katika Uumbaji
UKURASA WA 15
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 79, 84
Juni 22-28
Kutambua Daraka la Musa Mkuu Zaidi
UKURASA WA 24
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 205, 150
Juni 29–Julai (Mwezi wa 7) 5
Kutambua Daraka la Yesu Akiwa Daudi Mkuu Zaidi na Sulemani Mkuu Zaidi
UKURASA WA 28
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 168, 209
Kusudi la Makala za Funzo
Makala ya Funzo ya 1 na 2 UKURASA WA 3-11
Makala hizi zinaeleza kwa nini Yehova alimruhusu Shetani amletee Ayubu majaribu mengi na kile kilichomsaidia Ayubu kudumisha utimilifu wake. Pia, zinaeleza jinsi tunavyoweza kubaki waaminifu kama Ayubu, na hivyo kuufanya moyo wa Yehova ushangilie.
Makala ya Funzo ya 3 UKURASA WA 15-19
Kazi za uumbaji za Yehova zinafunua sifa zake mbalimbali. Kwa kuchunguza vitu vilivyoumbwa, tunaweza kujifunza masomo yenye thamani. Katika habari hii, tutachunguza mifano minne ya uumbaji wa Yehova na kuzungumzia masomo yaliyo katika mifano hiyo.
Makala ya Funzo ya 4 na 5 UKURASA WA 24-32
Masimulizi ya Biblia ya maisha ya wanaume fulani waaminifu walioishi kabla ya Yesu yanaonyesha kwamba kuna ulinganifu mkubwa kati yao na Yesu. Katika makala hizi mbili, tutachunguza maisha ya Musa, Daudi, na Sulemani na kuona jinsi masimulizi ya maisha yao yanavyotusaidia kuelewa zaidi daraka la Yesu katika kusudi la Mungu.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
UKURASA WA 12
UKURASA WA 14
Je, Unaweza Kutumika Mahali Penye Uhitaji Mkubwa Zaidi wa Wahubiri?
UKURASA WA 20