Yaliyomo
Mei 15, 2009
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Julai (Mwezi wa 7) 6-12
Songa Mbele Kuelekea Ukomavu—“Ile Siku Kuu ya Yehova Iko Karibu”
UKURASA WA 9
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 123, 174
Julai 13-19
Vijana—Fanyeni Maendeleo Yenu Yawe Wazi
UKURASA WA 13
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 42, 56
Julai 20-26
Malaika—“Roho kwa Ajili ya Utumishi wa Watu Wote”
UKURASA WA 21
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 6, 5
Julai 27–Agosti (Mwezi wa 8) 2
UKURASA WA 28
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 121, 134
Kusudi la Makala za Funzo
Makala ya Funzo ya 1 na 2 UKURASA WA 9-17
Makala ya kwanza ya funzo inaonyesha kwa nini ukomavu wa Kikristo ni wa maana na jinsi tunavyoweza kuufikia. Makala ya pili inaeleza jinsi vijana Wakristo wanavyoweza kufanya maamuzi mazuri wanapopambana na hali mbalimbali wanazokabili wanapojitahidi kufikia ukomavu wa Kikristo.
Makala ya Funzo ya 3 UKURASA WA 21-25
Kwa kuchunguza Maandiko, tunaweza kuona jinsi malaika wanavyotimiza daraka lao wakiwa “roho kwa ajili ya utumishi wa watu wote.” Makala hiyo inaonyesha mambo ambayo malaika wanafanya leo ili kuwasaidia Wakristo. Pia, inaonyesha mambo tunayoweza kujifunza kutokana na malaika waadilifu.
Makala ya Funzo ya 4 UKURASA WA 28-32
Yesu Kristo aliwaomba wasikilizaji wake wamfuate sikuzote. Makala hii inazungumzia sababu tano zinazoonyesha kwa nini tunapaswa kumfuata “Kristo” na kuendelea kufanya hivyo kwa ukamili zaidi.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
UKURASA WA 3
Unapaswa Kuwa Wapi Mwisho Unapokuja?
UKURASA WA 6
UKURASA WA 18
Waume, Igeni Upendo wa Kristo!
UKURASA WA 19
UKURASA WA 26