Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w09 6/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • Kusudi la Makala za Funzo
  • PIA KATIKA TOLEO HILI:
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
w09 6/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Juni 15, 2009

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Agosti (Mwezi wa 8) 3-9, 2009

Uwe na Bidii kwa Ajili ya Nyumba ya Yehova!

UKURASA WA 7

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 31, 118

Agosti 10-16, 2009

Uwe na “Bidii kwa Ajili ya Kazi Njema”!

UKURASA WA 11

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 30, 181

Agosti 17-23, 2009

Sema Kweli na Jirani Yako

UKURASA WA 16

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 192, 170

Agosti 24-30, 2009

Msimamizi-Nyumba Mwaminifu na Baraza Lake Linaloongoza

UKURASA WA 20

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 51, 114

Kusudi la Makala za Funzo

Makala ya Funzo ya 1 na 2 UKURASA WA 7-15

Wafalme wanne wa Yuda walikuwa na bidii ya pekee katika kutegemeza ibada ya kweli. Tunajifunza mambo gani kutokana na wafalme hao kuhusu kumtumikia Yehova kwa bidii? Makala hizo mbili zitakusisimua sana na kukuelimisha.

Makala ya Funzo ya 3 UKURASA WA 16-20

Katika maisha yetu ya kila siku, tunakabili hali nyingi ambazo kusema mambo yasiyo ya kweli au kusema mambo kwa njia inayopotosha kunaweza kuonekana kuwa jambo rahisi, linalofaa zaidi, au lenye fadhili zaidi. Kwa nini Wakristo wa kweli wanahitaji kupinga kishawishi chochote cha kufanya hivyo? Ni nini kitakachokusaidia katika jambo hilo?

Makala ya Funzo ya 4 UKURASA WA 20-24

Watu wa Mungu wanaiheshimu sana jamii ya mtumwa mwaminifu na mwenye busara. Lakini kuna uhusiano gani kati ya jamii ya mtumwa mwaminifu na Baraza Linaloongoza? Na Maandiko yanaonyesha nini kuhusu jinsi Yehova anavyotuandalia chakula cha kiroho leo? Pia, tunapaswa kuwa na maoni gani kuhusu wale wanaokula mkate na kunywa divai wakati wa Ukumbusho? Makala hiyo inaeleza mambo hayo.

PIA KATIKA TOLEO HILI:

Ninaweza Kumlipa Yehova Nini?

UKURASA WA 3

Jinsi ya Kupata Shangwe Kutokana na Zawadi ya Useja

UKURASA WA 25

Kwa Nini Uwakabidhi Wengine Kazi—Unaweza Kufanya Hivyo Jinsi Gani?

UKURASA WA 28

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

UKURASA WA 32

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki