Yaliyomo
Juni 15, 2009
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Agosti (Mwezi wa 8) 3-9, 2009
Uwe na Bidii kwa Ajili ya Nyumba ya Yehova!
UKURASA WA 7
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 31, 118
Agosti 10-16, 2009
Uwe na “Bidii kwa Ajili ya Kazi Njema”!
UKURASA WA 11
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 30, 181
Agosti 17-23, 2009
UKURASA WA 16
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 192, 170
Agosti 24-30, 2009
Msimamizi-Nyumba Mwaminifu na Baraza Lake Linaloongoza
UKURASA WA 20
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 51, 114
Kusudi la Makala za Funzo
Makala ya Funzo ya 1 na 2 UKURASA WA 7-15
Wafalme wanne wa Yuda walikuwa na bidii ya pekee katika kutegemeza ibada ya kweli. Tunajifunza mambo gani kutokana na wafalme hao kuhusu kumtumikia Yehova kwa bidii? Makala hizo mbili zitakusisimua sana na kukuelimisha.
Makala ya Funzo ya 3 UKURASA WA 16-20
Katika maisha yetu ya kila siku, tunakabili hali nyingi ambazo kusema mambo yasiyo ya kweli au kusema mambo kwa njia inayopotosha kunaweza kuonekana kuwa jambo rahisi, linalofaa zaidi, au lenye fadhili zaidi. Kwa nini Wakristo wa kweli wanahitaji kupinga kishawishi chochote cha kufanya hivyo? Ni nini kitakachokusaidia katika jambo hilo?
Makala ya Funzo ya 4 UKURASA WA 20-24
Watu wa Mungu wanaiheshimu sana jamii ya mtumwa mwaminifu na mwenye busara. Lakini kuna uhusiano gani kati ya jamii ya mtumwa mwaminifu na Baraza Linaloongoza? Na Maandiko yanaonyesha nini kuhusu jinsi Yehova anavyotuandalia chakula cha kiroho leo? Pia, tunapaswa kuwa na maoni gani kuhusu wale wanaokula mkate na kunywa divai wakati wa Ukumbusho? Makala hiyo inaeleza mambo hayo.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
UKURASA WA 3
Jinsi ya Kupata Shangwe Kutokana na Zawadi ya Useja
UKURASA WA 25
Kwa Nini Uwakabidhi Wengine Kazi—Unaweza Kufanya Hivyo Jinsi Gani?
UKURASA WA 28
UKURASA WA 32