Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w09 7/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI:
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
w09 7/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Julai 15, 2009

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Agosti (Mwezi wa 8) 31–Septemba (Mwezi wa 9) 6

Kupata Hazina Ambazo “Zimefichwa kwa Uangalifu Ndani Yake”

UKURASA WA 3

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 121, 105

Septemba 7-13

Familia za Kikristo—Fuateni Mfano wa Yesu!

UKURASA WA 7

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 205, 158

Septemba 14-20

Mwige Yesu—Fundisha kwa Upendo

UKURASA WA 15

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 156, 215

Septemba 21-27

Mwige Yesu—Hubiri kwa Ujasiri

UKURASA WA 19

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 92, 148

KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO

Makala ya 1 ya Funzo UKURASA WA 3-7

Yehova anawaalika watumishi wake wote watafute hazina zenye thamani kubwa zaidi ambazo “zimefichwa kwa uangalifu ndani” ya Kristo. Hazina hizo ni nini? Tunaweza kuzipata jinsi gani? Zinatufaidi namna gani? Makala hii inaweza kutusaidia kupata majibu ya maswali hayo.

Makala ya 2 ya Funzo UKURASA WA 7-11

Tangu wakati wa uumbaji, Yesu amependezwa sana na hali nzuri ya wanadamu. Makala hii inazungumzia jinsi mafundisho ya Yesu na mfano alioweka alipokuwa duniani unavyoweza kutusaidia sote kuwa na uhusiano mzuri pamoja na washiriki wa familia yetu.

Makala ya 3 na ya 4 ya Funzo UKURASA WA 15-23

Ni nini kilichomfanya Yesu kuwa mwalimu mwenye matokeo mazuri? Zaidi ya yote, alimpenda Yehova, aliwapenda watu, na aliupenda ujumbe ambao alihubiri. Upendo ulimchochea kuhubiri kwa ujasiri hata alipokabili upinzani. Makala hizi zitazungumzia jinsi tunavyoweza kumwiga Yesu ili tuwe walimu wenye upendo na wahubiri wenye ujasiri.

PIA KATIKA TOLEO HILI:

Je, Unafuata “Njia Iliyo Bora Zaidi” ya Upendo?

UKURASA WA 12

Miaka 90 Iliyopita Nilianza ‘Kumkumbuka Muumba Wangu Mkuu’

UKURASA WA 24

Kushirikiana Kunachangia Maendeleo ya Kiroho

UKURASA WA 28

Pokea kwa Shukrani—Toa kwa Moyo Wote

UKURASA WA 29

Mbegu za Ufalme Zafika Katika Maeneo ya Mbali Zaidi

UKURASA WA 32

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki