Yaliyomo
Julai 15, 2009
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Agosti (Mwezi wa 8) 31–Septemba (Mwezi wa 9) 6
Kupata Hazina Ambazo “Zimefichwa kwa Uangalifu Ndani Yake”
UKURASA WA 3
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 121, 105
Septemba 7-13
Familia za Kikristo—Fuateni Mfano wa Yesu!
UKURASA WA 7
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 205, 158
Septemba 14-20
Mwige Yesu—Fundisha kwa Upendo
UKURASA WA 15
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 156, 215
Septemba 21-27
UKURASA WA 19
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 92, 148
KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
Makala ya 1 ya Funzo UKURASA WA 3-7
Yehova anawaalika watumishi wake wote watafute hazina zenye thamani kubwa zaidi ambazo “zimefichwa kwa uangalifu ndani” ya Kristo. Hazina hizo ni nini? Tunaweza kuzipata jinsi gani? Zinatufaidi namna gani? Makala hii inaweza kutusaidia kupata majibu ya maswali hayo.
Makala ya 2 ya Funzo UKURASA WA 7-11
Tangu wakati wa uumbaji, Yesu amependezwa sana na hali nzuri ya wanadamu. Makala hii inazungumzia jinsi mafundisho ya Yesu na mfano alioweka alipokuwa duniani unavyoweza kutusaidia sote kuwa na uhusiano mzuri pamoja na washiriki wa familia yetu.
Makala ya 3 na ya 4 ya Funzo UKURASA WA 15-23
Ni nini kilichomfanya Yesu kuwa mwalimu mwenye matokeo mazuri? Zaidi ya yote, alimpenda Yehova, aliwapenda watu, na aliupenda ujumbe ambao alihubiri. Upendo ulimchochea kuhubiri kwa ujasiri hata alipokabili upinzani. Makala hizi zitazungumzia jinsi tunavyoweza kumwiga Yesu ili tuwe walimu wenye upendo na wahubiri wenye ujasiri.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Je, Unafuata “Njia Iliyo Bora Zaidi” ya Upendo?
UKURASA WA 12
Miaka 90 Iliyopita Nilianza ‘Kumkumbuka Muumba Wangu Mkuu’
UKURASA WA 24
Kushirikiana Kunachangia Maendeleo ya Kiroho
UKURASA WA 28
Pokea kwa Shukrani—Toa kwa Moyo Wote
UKURASA WA 29
Mbegu za Ufalme Zafika Katika Maeneo ya Mbali Zaidi
UKURASA WA 32