Yaliyomo
Septemba 15, 2009
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Oktoba (Mwezi wa 10) 26–Novemba (Mwezi wa 11) 1
Endelea Kuwa na Mtazamo wa Akili wa Kristo Ndani Yako
UKURASA WA 7
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 62, 66
Novemba 2-8
Uwe Mtiifu na Mwenye Ujasiri Kama Kristo Alivyokuwa
UKURASA WA 11
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 8, 107
Novemba 9-15
Upendo wa Kristo Unatuchochea Kupenda
UKURASA WA 16
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 89, 35
Novemba 16-22
Thamani Bora Zaidi ya Elimu ya Kimungu
UKURASA WA 21
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 91, 59
Novemba 23-29
Je, Unathamini Yale Ambayo Yehova Amefanya Ili Kukukomboa?
UKURASA WA 25
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 55, 153
Kusudi la Makala za Funzo
Makala ya 1-3 ya Funzo UKURASA WA 7-20
Tunafahamu ya kwamba Yesu aliwawekea Wakristo mfano kwa njia mbalimbali. Mfululizo huu wa makala unakazia mtazamo wa akili wa Yesu na matendo yake. Utapata mifano ambayo unaweza kufuata katika familia na katika kutaniko na vilevile unapokabiliana na hali ngumu.
Makala ya 4 ya Funzo UKURASA WA 21-25
Unathamini kadiri gani kweli ambazo umejifunza kutoka kwa Neno la Mungu? Makala hii itatusaidia kutafakari faida ambazo tumepata kutokana na elimu tunayopewa na Yehova. Pia inazungumzia baraka ambazo tunapokea wakati tunapojidhabihu kwa ajili ya habari njema.
Makala ya 5 ya Funzo UKURASA WA 25-29
Yehova amefanya nini ili kutukomboa kutoka kwa dhambi na kifo? Amejidhabihu kadiri gani? Kujua majibu ya maswali hayo kunaweza kuijaza mioyo yetu shukrani na kutuchochea kumwonyesha Yehova jinsi ambavyo tunathamini tumaini la ukombozi ambalo yeye na Mwana wake wamefanya liwezekane.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Je, Dini Yangu Ni Chaguo Langu au la Wazazi Wangu?
UKURASA WA 3
UKURASA WA 30