Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w09 9/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • Kusudi la Makala za Funzo
  • PIA KATIKA TOLEO HILI:
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
w09 9/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Septemba 15, 2009

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Oktoba (Mwezi wa 10) 26–Novemba (Mwezi wa 11) 1

Endelea Kuwa na Mtazamo wa Akili wa Kristo Ndani Yako

UKURASA WA 7

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 62, 66

Novemba 2-8

Uwe Mtiifu na Mwenye Ujasiri Kama Kristo Alivyokuwa

UKURASA WA 11

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 8, 107

Novemba 9-15

Upendo wa Kristo Unatuchochea Kupenda

UKURASA WA 16

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 89, 35

Novemba 16-22

Thamani Bora Zaidi ya Elimu ya Kimungu

UKURASA WA 21

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 91, 59

Novemba 23-29

Je, Unathamini Yale Ambayo Yehova Amefanya Ili Kukukomboa?

UKURASA WA 25

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 55, 153

Kusudi la Makala za Funzo

Makala ya 1-3 ya Funzo UKURASA WA 7-20

Tunafahamu ya kwamba Yesu aliwawekea Wakristo mfano kwa njia mbalimbali. Mfululizo huu wa makala unakazia mtazamo wa akili wa Yesu na matendo yake. Utapata mifano ambayo unaweza kufuata katika familia na katika kutaniko na vilevile unapokabiliana na hali ngumu.

Makala ya 4 ya Funzo UKURASA WA 21-25

Unathamini kadiri gani kweli ambazo umejifunza kutoka kwa Neno la Mungu? Makala hii itatusaidia kutafakari faida ambazo tumepata kutokana na elimu tunayopewa na Yehova. Pia inazungumzia baraka ambazo tunapokea wakati tunapojidhabihu kwa ajili ya habari njema.

Makala ya 5 ya Funzo UKURASA WA 25-29

Yehova amefanya nini ili kutukomboa kutoka kwa dhambi na kifo? Amejidhabihu kadiri gani? Kujua majibu ya maswali hayo kunaweza kuijaza mioyo yetu shukrani na kutuchochea kumwonyesha Yehova jinsi ambavyo tunathamini tumaini la ukombozi ambalo yeye na Mwana wake wamefanya liwezekane.

PIA KATIKA TOLEO HILI:

Je, Dini Yangu Ni Chaguo Langu au la Wazazi Wangu?

UKURASA WA 3

Nilipata Kusudi Maishani

UKURASA WA 30

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki