Yaliyomo
Oktoba 15, 2009
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Novemba (Mwezi wa 11) 30–Desemba (Mwezi wa 12) 6
Ukurasa wa 3
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 191, 177
Desemba 7-13
“Iweni Wenye Kufanya Amani na Watu Wote”
Ukurasa wa 7
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 159, 206
Desemba 14-20
Ukurasa wa 13
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 224, 217
Desemba 21-27
Kudumisha Urafiki Katika Ulimwengu Usio na Upendo
Ukurasa wa 17
NYIMBO ZA KUTUMIWA: 173, 155
KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
Makala ya 1 na ya 2 ya Funzo UKURASA WA 3-11
Makala hizi zinachunguza hatua kwa hatua habari zilizo katika mistari yote ya Waroma sura ya 12. Tutachunguza maana ya ‘kuwaka roho’ na kutoa miili yetu kuwa dhabihu iliyo hai kwa Mungu. Pia, tutajifunza jinsi tunavyoweza kuwa watu wenye kufanya amani nyumbani na kutanikoni na jinsi tunavyoweza kuushinda uovu kwa wema.
Makala ya 3 na ya 4 ya Funzo UKURASA WA 13-21
Inamaanisha nini kuwa rafiki mzuri? Makala hizi zitatusaidia kuona jinsi Yesu alivyoweka kielelezo akiwa rafiki mzuri na jinsi Wakristo wa karne ya kwanza walivyoiga mfano wake. Pia, makala hizo zitazungumzia kwa nini ni jambo linalofaa kwetu leo kuwa na urafiki wa karibu sana na wenye kujenga na jinsi tunavyoweza kufanya hivyo.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
UKURASA WA 12
Jinsi Makusanyiko Matatu Yalivyobadili Maisha Yangu
UKURASA WA 22
Je, ‘Umetia Mizizi na Kuimarishwa Juu ya Ule Msingi’?
UKURASA WA 26
Ibada ya Familia—Ni ya Maana Ili Kuokoka!
UKURASA WA 29
Je, Umetenga Wakati wa Kujifunza Biblia?
UKURASA WA 32