Yaliyomo
Novemba 15, 2009
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Desemba (Mwezi wa 12) 28–Januari (Mwezi wa 1) 3
Sala Zako Zinafunua Nini Kukuhusu?
UKURASA WA 3
Januari 4-10
Boresha Sala Zako Kupitia Funzo la Biblia
UKURASA WA 7
Januari 11-17
Thamini Sana Mahali Pako Katika Kutaniko
UKURASA WA 13
Januari 18-24
Endelea Kukua Katika Upendo wa Kindugu
UKURASA WA 20
Januari 25-31
Kuonyesha Adabu Tukiwa Wahudumu wa Mungu
UKURASA WA 24
Kusudi la Makala za Funzo
Makala ya 1 na ya 2 ya Funzo UKURASA WA 3-11
Makala ya kwanza itakusaidia kuchunguza sala ambazo unamtolea Yehova. Inaelekea makala ya pili itakusaidia kuona njia ambazo unaweza kuboresha sala zako kwa sababu inatutia moyo tuchunguze kwa uangalifu maombi, maneno ya sifa na ya kutoa shukrani ambayo yameandikwa katika Biblia.
Makala ya 3 ya Funzo UKURASA WA 13-17
Tukiwa Wakristo, kila mmoja wetu ana mahali pake katika mpango wa Yehova wa ibada ya kweli. Habari hii inazungumzia njia mbalimbali ambazo tunaweza kuonyesha kwamba tunathamini sana mahali petu katika kutaniko la Kikristo.
Makala ya 4 na ya 5 ya Funzo UKURASA WA 20-29
Kuonyesha upendo wa kindugu ni jambo la maana ambalo linaleta umoja katika kutaniko. Na kuwa na adabu ni jambo la maana sana katika huduma ya Kikristo. Makala hizi zinaonyesha jinsi tunavyoweza kuimarisha sifa hizo mbili katika maisha yetu.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
UKURASA WA 12
Kutoa kwa Uchangamfu Kutoka Moyoni
UKURASA WA 18
UKURASA WA 29
Wathamini Ndugu na Dada Zako Viziwi!
UKURASA WA 30