Yaliyomo
Desemba 15, 2009
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Februari (Mwezi wa 2) 1-7
Fanya Maendeleo Yako Yawe Wazi
UKURASA WA 11
Februari 8-14
Dumisha Shangwe Nyakati za Taabu
UKURASA WA 15
Februari 15-21
Masihi! Njia ya Mungu ya Wokovu
UKURASA WA 20
Februari 22-28
Sitawisha Upendo Ambao Haushindwi Kamwe
UKURASA WA 24
Kusudi la Makala za Funzo
Makala ya 1 na ya 2 ya Funzo UKURASA WA 11-19
Wakristo wote—wanaume, wanawake, na vijana—wanaweza kufanya maendeleo yao ya kiroho yawe wazi. Makala hizi zinazungumzia jinsi tunavyoweza kufanya hivyo. Pia, tutazungumzia jinsi tunavyoweza kuwa na shangwe hata nyakati za taabu.
Makala ya 3 ya Funzo UKURASA WA 20-24
Biblia inathibitisha kwamba Yesu ndiye Masihi aliyeahidiwa. Yehova alimtuma Mwana wake duniani ili aliondolee suto jina la Mungu na kuitetea enzi Yake kuu, na ili pia awakomboe wanadamu watiifu kutoka katika dhambi na kifo. Mambo hayo ambayo ni ya hakika yanapaswa kutuchochea katika huduma yetu.
Makala ya 4 ya Funzo UKURASA WA 24-28
Tunaweza kusitawisha jinsi gani upendo kumwelekea Yehova na Yesu? Upendo unaweza kustahimili mambo yote namna gani? Ni katika maana gani tunaweza kusema kwamba upendo haushindwi kamwe? Makala hii ambayo inazungumzia andiko la mwaka wa 2010 itajibu maswali hayo.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
UKURASA WA 3
Je, Unaweza Kuvuka na Kuingia Makedonia?
UKURASA WA 4
Kumtumikia Mungu kwa Bidii na Shangwe
UKURASA WA 8
Biblia Yafika Kwenye Kisiwa Kikubwa Chekundu
UKURASA WA 29
Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2009
UKURASA WA 32