Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w09 12/15 uku. 32
  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2009

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2009
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA
  • YEHOVA
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
w09 12/15 uku. 32

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2009

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

Iko Hai Katika Lugha Iliyokufa, 4/1

Imedumu, 11/1

Inabadili Maisha, 2/1, 7/1, 8/1, 11/1

Inafaa, 6/1

Jinsi Unavyoweza Kuielewa, 7/1

Kodeksi ya Vatikani, 10/1

Kugundua Hazina (Kodeksi ya Efraemi Syri rescriptus), 9/1

Kwa Nini Sehemu Fulani Iliandikwa Katika Kigiriki? 4/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Ufunuo—I, 1/15

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Ufunuo—II, 2/15

Semi za Mfano, 5/1

Unahitaji Kujifunza Kiebrania na Kigiriki? 11/1

Waliipenda, 6/1

Yafika Kisiwa Kikubwa Chekundu (Madagaska), 12/15

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Dini Ni Chaguo Langu au la Wazazi Wangu? 9/15

Epuka Kukengeushwa, 8/15

Inafaa Dada Ajifunike Kichwa Anapotafsiri kwa Lugha ya Ishara? 11/15

Itai, 5/15

Kufunga, 4/1

Kumtumikia Mungu kwa Bidii na Shangwe, 12/15

Kupanga Matumizi ya Pesa, 8/1

Kushirikiana Kunachangia Maendeleo ya Kiroho, 7/15

Kutoa kwa Uchangamfu Kutoka Moyoni, 11/15

Kuvumilia Katika Huduma, 3/15

Kuwakabidhi Wengine Kazi, 6/15

Kuwatayarisha Vijana kwa Maisha ya Utu Uzima, 5/1

Kuwatia Watoto Nidhamu, 2/1

Maisha ya Familia, 11/1

Maria, 1/1

Mazishi, 2/15

Mruhusu Mungu Azungumze Nawe Kila Siku, 8/1

Mtu Anapokuudhi, 9/1

Mwenzi wa Ndoa Anapohitaji Kutunzwa kwa Njia ya Pekee, 11/1

“Njia Iliyo Bora Zaidi” ya Upendo, 7/15

Pokea kwa Shukrani, Toa kwa Moyo Wote, 7/15

Sala Ambazo Hazijibiwi, 1/1

Sala Ambazo Mungu Anasikiliza, 2/1

Shangwe Katika Useja, 6/15

Umewahi Kutumikia? 8/15

Unapaswa Kushikilia Mapendezi Yako? 2/15

Ninapaswa Kutoa Kiasi Gani cha Pesa? 8/1

Unapopaswa Kuwa Mwisho Unapokuja, 5/15

Usimsahau Yehova, 3/15

“Wakati wa Kukaa Kimya,” 5/15

Waume, Igeni Upendo wa Kristo, 5/15

MAKALA ZA FUNZO

Acha Maneno ya Yesu Yafinyange Mtazamo Wako, 2/15

Ayubu Alilitukuza Jina la Yehova, 4/15

Boresha Sala Zako Kupitia Funzo la Biblia, 11/15

Dumisha Shangwe Katika Nyakati za Taabu, 12/15

Endelea Kukua Katika Upendo wa Kindugu, 11/15

Endelea Kuwa na Mtazamo wa Akili wa Kristo Ndani Yako, 9/15

Familia za Kikristo—Fuateni Mfano wa Yesu! 7/15

Fanya Maendeleo Yako Yawe Wazi, 12/15

Hekima ya Yehova Inaonekana Katika Uumbaji, 4/15

“Iweni Wenye Kufanya Amani na Watu Wote,” 10/15

“Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu,” 8/15

Jinsi Maneno ya Yesu Yanavyoleta Furaha, 2/15

‘Kesheni,’ 3/15

Kaza Macho Yako Kwenye Zawadi, 3/15

Kudumisha Urafiki Katika Ulimwengu Usio na Upendo, 10/15

Kuonyesha Adabu Tukiwa Wahudumu wa Mungu, 11/15

Kupata Hazina Ambazo “Zimefichwa kwa Uangalifu Ndani Yake,” 7/15

Kutambua Daraka la Musa Mkuu Zaidi, 4/15

Kutambua Daraka la Yesu Akiwa Daudi Mkuu Zaidi na Sulemani Mkuu Zaidi, 4/15

Kwa Nini Tumfuate “Kristo”? 5/15

Malaika—“Roho kwa Ajili ya Utumishi wa Watu Wote,” 5/15

Masihi! Njia ya Mungu ya Wokovu, 12/15

Msimamizi-Nyumba Mwaminifu na Baraza Lake Linaloongoza, 6/15

Mtumishi wa Yehova—‘Alichomwa kwa Silaha kwa Ajili ya Ukosaji Wetu,’ 1/15

Mwige Yesu—Fundisha kwa Upendo, 7/15

Mwige Yesu—Hubiri kwa Ujasiri, 7/15

‘Njoo Uwe Mfuasi Wangu,’ 1/15

“Ninyi Ni Rafiki Zangu,” 10/15

Pata Shangwe Katika Kazi ya Kufanya Wanafunzi, 1/15

Sala Zako Zinafunua Nini Kukuhusu? 11/15

Sema Kweli na Jirani Yako, 6/15

Sitawisha Upendo Ambao Haushindwi Kamwe, 12/15

Songa Mbele Kuelekea Ukomavu—“Ile Siku Kuu ya Yehova Iko Karibu,” 5/15

Tazama! Mtumishi wa Yehova Aliyekubaliwa, 1/15

Thamani Bora Zaidi ya Elimu ya Kimungu, 9/15

Thamini Sana Mahali Pako Katika Kutaniko, 11/15

Unasali Kupatana na Maneno ya Yesu? 2/15

Unathamini Yale Ambayo Yehova Amefanya Ili Kukukomboa? 9/15

Upendo wa Kristo Unatuchochea Kupenda, 9/15

Utimilifu Wako Unafanya Moyo wa Yehova Ushangilie, 4/15

Uwe Mtiifu na Mwenye Ujasiri Kama Kristo Alivyokuwa, 9/15

Uwe na “Bidii kwa Ajili ya Kazi Njema”! 6/15

Uwe na Bidii kwa Ajili ya Nyumba ya Yehova! 6/15

Uzima wa Milele Duniani—Je, Ni Tumaini la Kikristo? 8/15

Uzima wa Milele Duniani—Tumaini Ambalo Tumepewa na Mungu, 8/15

Uzima wa Milele Duniani—Tumaini Lililofunuliwa Tena, 8/15

Vijana—Fanyeni Maendeleo Yenu Yawe Wazi, 5/15

Waadilifu Watamsifu Mungu Milele, 3/15

‘Wanaendelea Kumfuata Mwana-Kondoo,’ 2/15

“Wakeni Roho,” 10/15

Wewe Ni ‘Msimamizi-Nyumba wa Fadhili Zisizostahiliwa za Mungu’? 1/15

Yehova Anastahili Kusifiwa kwa Umoja, 3/15

MAMBO MENGINE

Adamu na Hawa Walikuwa Watu Halisi? 9/1

Alijifunza Kutokana na Makosa Yake (Yona), 1/1

Alijifunza Kuwa Mwenye Rehema (Yona), 4/1

Alishinda Woga na Shaka (Petro), 10/1

Alitenda kwa Busara (Abigaili), 7/1

Amani Katika Ulimwengu Wenye Misukosuko, 7/1

“Amina,” 6/1

Dini Zote Zinaelekeza Watu kwa Mungu? 6/1

Hadithi Sita za Uwongo Kuhusu Ukristo, 11/1

Ibada ya Baali na Karamu za Ngono, 11/1

Ibada ya Familia, 10/15

Ibilisi Ni Halisi? 10/1

Imani Imara, 5/1

Imani Katika Ahadi za Mungu (Abrahamu), 7/1

Inawezekana Kuamini Kuna Muumba? 10/1

Jinsi Paradiso Ilivyopotea, 11/1

“Kapteni wa Hekalu,” 10/1

Kitabu “cha Yashari,” na “cha Vita vya Yehova,” 3/15

Korintho, 3/1

Kuchagua Dini Nzuri, 8/1

Kujilinda Kutokana na Pepo, 5/1

Kuzaliwa Mara ya Pili, 4/1

Kwa Nini Kuna Ubishi Mwingi Kuhusu Roho Takatifu? 10/1

Kwa Nini Mahubiri ya Paulo Huko Efeso Yalitokeza Mvurugo? 2/1

Maana ya Kutia Mafuta, 8/1

Mababa wa Kimitume, 7/1

Maisha Yetu Yameamuliwa Kimbele? 4/1

Majaliwa, 3/1

Majina Yana Maana, 2/1

Maponyo ya Kimuujiza, 5/1

Mauaji Darasani, 12/1

“Mfalme Herode,” 12/1

Mfalme Daudi na Muziki, 12/1

Mfereji wa Hezekia, 5/1

Miti Iliyochongoka Iliwekwa Kuzunguka Yerusalemu? 5/1

Mti “Ambao Majani Yake Hayanyauki,” 3/1

Mtoto Anayefia Katika Tumbo la Uzazi Atafufuliwa? 4/15

Muujiza Siku ya Pentekoste, 9/1

Mvua, 1/1

Mwana wa Dada ya Paulo, 6/1

Nzige Walikuwa Chakula cha Kawaida? (Mt 3:4), 10/1

Pilato Alikuwa na Sababu ya Kumwogopa Kaisari? 1/1

Rahabu, 8/1

Sanduku la Agano, 9/1

Shemu, 10/1

Sherehe ya Mwaka Mpya (Asia), 12/1

Shetani Alitupwa Kutoka Mbinguni Wakati Gani? 5/15

“Tutakula Nini?” 8/1

Tunalojifunza Kwenye Methali 24:27, 10/15

“Umetia Mizizi na Kuimarishwa Juu ya Ule Msingi,” 10/15

Ufufuo wa Lazaro, 3/1

Ujasiri wa Kijana Mmoja (Daudi), 1/1

Ukoma Unaotajwa Katika Biblia, 2/1

Ukristo Unaunga Mkono Vita? 10/1

Umetenga Wakati wa Kujifunza Biblia? 10/15

Unajimu Katika Israeli, 3/1

Unawaogopa Wafu? 1/1

Urimu na Thumimu, 6/1

Uvuvi Katika Bahari ya Galilaya, 10/1

Waandishi Waliompinga Yesu, 8/1

Wafugaji wa Nyuki Katika Israeli la Kale, 7/1

Wakati wa Kila Kitu, 3/1

Wameipata Safina ya Noa? 7/1

Wamishonari Wangesafiri Hadi Wapi Upande wa Mashariki? 1/1

“Wana wa Zeu” (Mdo 28:11), 3/1

Wanaume Wanaoitwa Yakobo, 9/1

Wayahudi ‘Walitenda kwa Kutojua’ (Mdo 3:17), 6/15

Yehoashi, 4/1

Yeremia, 12/1

Yosia, 2/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

Betheli ya Brooklyn—Miaka 100, 5/1

Habari Njema Katika Lugha 500, 11/1

Hotuba ya Pekee, 4/1

Kiwanda cha Pekee cha Uchapishaji (Watchtower Farms, Marekani), 7/1

Kuhitimu Gileadi, 2/15, 9/1

Kupata Hazina Zilizofichwa (Estonia), 8/15

Kutafuta kwa Bidii (Ireland), 3/1

Kutumika Mahali Penye Uhitaji Mkubwa Zaidi, 4/15, 12/15

Kuwa na Furaha na Tumaini Licha ya Umaskini, 9/1

Kwa Nini Hawatumii Sanamu, 2/1

Makusanyiko ya “Endeleeni Kukesha!” 3/1

Mbegu Zafika Maeneo ya Mbali Zaidi (Jamhuri ya Tuva, Urusi), 7/15

Msichana Mdogo Mwenye Ukarimu, 11/15

Ni Dini ya Kiprotestanti? 11/1

Safari ya Kuchunguza Mambo ya Kale (Waamishi huko Marekani), 12/1

Safari ya Mbali Sana (Jamhuri ya Sakha), 6/1

Tufani ya Myanmar, 3/1

Unaalikwa kwa Uchangamfu (mikutanoni), 2/1

Unaweza Kuvuka na Kuingia Makedonia? 12/15

Wathamini Ndugu na Dada Viziwi, 11/15

‘Yehova Ameufanya Uso Wake Ung’ae Kuwaelekea’ (viziwi), 8/15

Ziwa Kubwa Zaidi Amerika ya Kati, 9/1

MASIMULIZI YA MAISHA

“Hii Ndiyo Njia. Tembeeni Ndani Yake” (E. Pederson limesimuliwa na R. Pappas), 1/15

Makusanyiko Matatu Yalibadili Maisha Yangu (G. Warienchuck), 10/15

‘Malaika wa Yehova Anapiga Kambi Pande Zote’ (C. Connell), 3/15

Miaka 90 Iliyopita Nilianza (E. Ridgwell), 7/15

Mwanadamu Hataishi kwa Mkate Tu (J. Hisiger), 3/1

Mwenye Furaha Nijapokuwa Mlemavu (P. Gaspar), 5/1

Nashukuru Licha ya Misiba (E. Acosta), 6/1

Nilipata Kusudi Maishani (G. Martínez), 9/15

Ninaweza Kumlipa Yehova Nini? (R. Danner), 6/15

YEHOVA

Anabadili Maoni Yake? 6/1

Anafikiria Kupungukiwa Kwetu, 6/1

Anafunua Sifa Zake, 5/1

Anajali, 6/1

Anakubali Ndoa ya Wake Wengi? 7/1

Anataka Tufanikiwe, 12/1

Anatuahidi Utajiri? 9/1

Anatupatia Uhuru wa Kuchagua, 11/1

Anawachukua Watoto Wawe Malaika? 3/1

Anawapenda Wapole, 8/1

Atakomesha Kuteseka! 12/1

Baba ya Wavulana Wasio na Baba, 4/1

Kufunga Ni Njia ya Kumkaribia? 4/1

Matatizo Ni Adhabu Kutoka Kwake? 6/1

Mtakatifu, 7/1

Mwamuzi Anayefanya Lililo Sawa Sikuzote, 1/1

Mwamuzi Anayehukumu kwa Haki, 9/1

Mwogope Mungu Si Mwanadamu, 3/1

‘Nayajua Vizuri Maumivu Yao’ (Kut 3:1-10), 3/1

Ni Mungu Tu Anayeweza Kuiokoa Dunia, 1/1

Ni Yesu? 2/1, 4/1

Unamjua Mungu? 2/1

Usimsahau Yehova, 3/15

Uthibitisho Mkubwa Zaidi wa Upendo, 2/1

Vatikani Yaondoa Jina la Mungu, 4/1

Yehova Anataka Nini Kutoka Kwetu? 10/1

Yesu Ni Kitu Kimoja Naye, 9/1

YESU KRISTO

Agizo la Kuhesabu Watu Ambalo Lilifanya Azaliwe Bethlehemu, 12/1

Ashinda Vishawishi, 5/1

Je, Kweli Wanaume Watatu Wenye Hekima Walimtembelea Yesu? 12/1

Kwa Nini Alimwita Yehova “Abba, Baba”? 4/1

Kwa Nini Aliosha Miguu ya Mitume? 1/1

Kwa Nini Vazi Lake la Ndani Lilivutia Sana? 7/1

Kwa Nini Yosefu Alifikiria Kumtaliki Maria? 12/1

Mafarisayo Walifanana na “Makaburi Yaliyopakwa Chokaa,” 11/1

Mafundisho Kuhusu “Mwisho,” 5/1

Mafundisho Kuhusu Maisha ya Familia, 11/1

Mafundisho Kuhusu Sala Ambazo Mungu Anasikiliza, 2/1

Mafundisho Kuhusu Wakati Ujao wa Wanadamu, 8/1

Ni Kitu Kimoja na Baba, 9/1

Ni Mungu? 2/1, 4/1

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki