Yaliyomo
Februari 15, 2010
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Aprili (Mwezi wa 4) 5-11
‘Sema Neno la Mungu kwa Ujasiri’
UKURASA WA 5
Aprili 12-18
Tumia kwa Ustadi “Upanga wa Roho”
UKURASA WA 10
Aprili 19-25
“Roho na Bibi-Arusi Huendelea Kusema: ‘Njoo!’”
UKURASA WA 14
Aprili 26–Mei (Mwezi wa 5) 2
Karibu Kwenye Njia Bora Zaidi ya Maisha!
UKURASA WA 24
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1-3 YA FUNZO UKURASA WA 5-18
Makala hizi zinazungumzia jinsi roho takatifu inavyotusaidia katika huduma yetu. Zinaonyesha jinsi kuongozwa na roho ya Mungu kunavyotusaidia kusema kwa ujasiri, kufundisha kwa ustadi, na kuendelea kuhubiri.
MAKALA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 24-28
Kufanya mapenzi ya Yehova na kumsikiliza Yesu ndiyo njia bora zaidi ya maisha. Makala hii inakazia baraka hususa ambazo wale wanaojiweka wakfu kwa Mungu na kubatizwa wanafurahia. Pia, inaonyesha jambo ambalo tunapaswa kufanya ili tushikamane na kweli.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Je, Unamwona Yehova Kuwa Baba Yako? 3
Kataa Kabisa Uwongo wa Shetani 19
Maswali Kutoka kwa Wasomaji 22
“Haki ya Mtoto ya Kukua Kiroho” 29
Kifaa cha Kuwasaidia Vijana WamkumbukeMuumba Wao 30