Yaliyomo
Machi 15, 2010
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Mei (Mwezi wa 5) 3-9
Kubatizwa Katika Jina la Nani na kwa Nini?
UKURASA WA 10
Mei 10-16
Tembea kwa Roho na Uishi Kulingana na Wakfu Wako
UKURASA WA 14
Mei 17-23
“Waadilifu Watang’aa kwa Uangavu Kama Jua”
UKURASA WA 19
Mei 24-30
UKURASA WA 24
KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 10-18
Makala hizi mbili zitatusaidia kuelewa maana ya kubatizwa “katika jina la Baba na la Mwana na la roho takatifu.” (Mt. 28:19) Utapata katika habari hizo mambo mbalimbali ambayo yatakusaidia kuishi kulingana na wakfu wako.
MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 19-28
Katika mfano wa Yesu wa ngano na magugu, alieleza jinsi ambavyo mambo yangekuwa kuhusu “wana wa ufalme.” Ni nini kinachofananishwa na ngano na magugu? Mfano huo unatimizwa jinsi gani leo? Je, mfano huo unawahusu watiwa-mafuta peke yao?
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Kuendelea Kuwa na Kibali cha Mungu Hali Zinapobadilika 3
Marko—‘Mwenye Faida kwa Ajili ya Huduma’ 6
Maswali Kutoka kwa Wasomaji 28
Dumisha “Usafi wa Moyo” Katika Nyakati Hizi za Hatari 30
[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 2]
By permission of the Israel Museum, Jerusalem