Yaliyomo
Mei 15, 2010
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Juni (Mwezi wa 6) 28–Julai (Mwezi wa 7) 4
Wanaume—Je, Mnajitiisha Chini ya Ukichwa wa Kristo?
UKURASA WA 8
Julai 5-11
Wanawake—Kwa Nini Mjitiishe Chini ya Ukichwa?
UKURASA WA 12
Julai 12-18
Akina Ndugu—Pandeni kwa Roho na Mjitahidi Kufikia Mapendeleo!
UKURASA WA 24
Julai 19-25
Usiihuzunishe Roho Takatifu ya Yehova
UKURASA WA 28
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 8-17
Makala ya kwanza ya funzo inaonyesha kwa nini ni jambo la maana kwa wanaume kujitiisha chini ya Kichwa chao, Kristo, na kumwiga wanaposhughulika na wengine. Makala ya pili inaeleza jinsi wanawake Wakristo wanavyopaswa kuona maneno: “Kichwa cha mwanamke ni mwanamume.”
MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 24-32
Watu wengi leo hawapendezwi na wazo la kujidhabihu kwa ajili ya mtu mwingine. Makala ya kwanza inakusudiwa hasa kuwasaidia wanaume waliobatizwa wachunguze maoni yao kuhusu kujidhabihu na kukubali daraka la kuwa watumishi wa huduma au wazee. Makala ya pili inaeleza jinsi tunavyoweza kuepuka kuihuzunisha roho takatifu ya Mungu.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Ukristo wa Mapema na Miungu ya Roma 3
Kwa Nini Uwaheshimu Waliozeeka? 6
Endelea Kuwa na Nguvu Kiroho Unapomtunza Mshiriki wa Familia Aliye Mgonjwa 17
Harani—Kituo cha Kale Chenye Utendaji Mwingi 20
Maswali Kutoka kwa Wasomaji 21
Endelea Kuzoeza Nguvu Zako za Ufahamu 22