Yaliyomo
Juni 15, 2010
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Julai (Mwezi wa 7) 26–Agosti (Mwezi wa 8) 1
Pata Usalama Kati ya Watu wa Mungu
UKURASA WA 6
Agosti 2-8
UKURASA WA 10
Agosti 9-15
‘Endeleeni Kuushinda Uovu’ kwa Kuizuia Hasira
UKURASA WA 15
Agosti 16-22
Maneno Yenye Neema Yanadumisha Mahusiano Mazuri
UKURASA WA 20
Agosti 23-29
Pata Burudisho Katika Mambo ya Kiroho
UKURASA WA 25
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 6-14
Makala hizi zitatusaidia kuthamini zaidi baraka tunazopata kwa kushirikiana na kutaniko la Kikristo. Tutaona pia mambo ambayo sisi binafsi tunaweza kufanya ili kuwajenga na kuwasaidia ndugu na dada katika kutaniko letu.
MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 15-24
Makala hizi mbili zitazungumzia jinsi kufuata kanuni za Biblia kunavyoweza kutusaidia kuendelea kuwa na amani ingawa sisi sote hatujakamilika. Zinaonyesha pia jinsi kutumia maneno yenye neema kunavyoweza kutusaidia sana kusitawisha mahusiano mazuri.
MAKALA YA 5 YA FUNZO UKURASA WA 25-29
Ulimwengu una maoni yaliyopotoka kuhusu mambo yanayoburudisha, na unakazia matendo yanayofurahisha mwili. Watu wa Mungu wanapata burudisho katika mambo ya kiroho. Habari hii inaonyesha jinsi tunavyoweza kupata uradhi na shangwe nyingi inayodumu.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Kuunganishwa Katika Upendo—Ripoti ya Mkutano wa Kila Mwaka 3
Kushughulika na Hali Mwenzi wa Ndoa Anapokusaliti 29