Yaliyomo
Agosti 15, 2010
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Septemba (Mwezi wa 9) 27–Oktoba (Mwezi wa 10) 3
Jinsi Yesu Anavyoutukuza Uadilifu wa Mungu
UKURASA WA 8
Oktoba 4-10
UKURASA WA 12
Oktoba 11-17
Acha “Sheria ya Fadhili Zenye Upendo” Ilinde Ulimi Wako
UKURASA WA 21
Oktoba 18-24
Ni Nani Anayeweza Kuwakomboa Wale Wanaolilia Msaada?
UKURASA WA 28
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 8-16
Jifunze jinsi Shetani alivyompinga Mungu. Chunguza jinsi Yesu alivyotetea na kutukuza uadilifu wa enzi kuu ya Yehova. Tafakari kuhusu gharama ya dhabihu ya fidia au dhabihu ya ukombozi ya Yesu, na uone jinsi inavyoweza kukuokoa. Mambo hayo yanazungumziwa katika makala hizo.
MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 21-25
Jifunze maana ya sifa ya fadhili zenye upendo na jinsi inavyoweza kuwa na uvutano juu ya ulimi. Angalia pia njia mbalimbali ambazo sifa hiyo ya kimungu inavyoweza kuonyeshwa katika mazungumzo yetu ya kila siku.
MAKALA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 28-32
Zaburi ya 72 inaonyesha kimbele kuhusu Utawala wa Miaka Elfu Moja wa Mwana wa Mungu, Yesu Kristo. Moyo wako utachochewa unapojifunza habari hii na kutafakari kuhusu jinsi Yehova Mungu atakavyomtumia yule Sulemani Mkuu Zaidi kuwakomboa wale wanaolilia msaada.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Usikubali Kushinikizwa Kufuata Maoni ya Watu Wengi 3
Kwa Nini Unapaswa Kufika kwa Wakati? 25