Yaliyomo
Septemba 15, 2010
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Oktoba (Mwezi wa 10) 25-31
Tafuta Baraka za Yehova kwa Bidii
UKURASA WA 7
Novemba (Mwezi wa 11) 1-7
Umoja Unatambulisha Ibada ya Kweli
UKURASA WA 12
Novemba 8-14
Umoja wa Kikristo Unamletea Mungu Utukufu
UKURASA WA 16
Novemba 15-21
“Kiongozi Wenu Ni Mmoja, Kristo”
UKURASA WA 21
Novemba 22-28
Kiongozi Wetu Anayetenda kwa Bidii Leo
UKURASA WA 25
KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 7-11
Watumishi wa Mungu wanahitaji baraka zake ili watimize matakwa yake ya uadilifu. Ni jitihada za aina gani ambazo zinahitajiwa? Roho takatifu ya Yehova inaweza kutusaidia jinsi gani kushinda matatizo yoyote ambayo yanaweza kutupata?
MAKALA YA 2 NA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 12-20
Makala hizi zitatusaidia kuthamini jinsi ilivyo vyema na jinsi inavyopendeza kukaa pamoja kwa umoja na ndugu zetu. Tutaona ni kwa nini Yehova tu ndiye anayeweza kuwaunganisha watu kutoka katika mataifa yote. Kisha tutachunguza jinsi kila mmoja wetu anavyoweza kuendeleza umoja katika kutaniko, na hivyo kumletea Mungu utukufu.
MAKALA YA 4 NA YA 5 YA FUNZO UKURASA WA 21-29
Makala hizi mbili zitatusaidia kuelewa zaidi jinsi Kristo, Mfalme wetu wa kimbingu, anavyotenda kwa bidii akiwa Kiongozi wetu. Anatazama kwa makini yale yanayotendeka katika kila kutaniko la wanafunzi wake walio duniani leo.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Kutumika Wakati wa Ongezeko Kubwa Ajabu 3
Kampeni ya Pekee Nchini Bulgaria Yafanikiwa 30