Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w10 10/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • Kusudi la Makala za Funzo
  • PIA KATIKA TOLEO HILI:
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
w10 10/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Oktoba 15, 2010

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Novemba (Mwezi wa 11) 29–Desemba (Mwezi wa 12) 5

“Ni Nani Ameijua Akili ya Yehova?”

UKURASA WA 3

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 69, 51

Desemba 6-12

Endeleeni Kuutafuta Kwanza “Uadilifu Wake”

UKURASA WA 7

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 40, 22

Desemba 13-19

Je, Wewe Ni wa Kwanza Katika Kuwaheshimu Waamini Wenzako?

UKURASA WA 16

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 122, 104

Desemba 20-26

Je, Unashiriki Katika Kufanya Mikutano ya Kikristo Iwe Yenye Kujenga?

UKURASA WA 20

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 20, 64

Kusudi la Makala za Funzo

MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 3-11

Makala hizi zinazungumzia jinsi tunavyoweza kujitahidi kuwa na uhusiano wa karibu pamoja na Yehova kwa kujifunza kutokana na utendaji mbalimbali wa Yesu. Pia, zinaeleza uadilifu wa Mungu unahusisha mambo gani, kwa nini tunapaswa kuutafuta kwanza, na kwa nini hatupaswi kamwe kumhukumu Yehova tukitumia viwango vyetu wenyewe.

MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 16-20

Ni nini kinachohusika katika kuwaonyesha heshima waabudu wenzetu? Tuna sababu gani za kufanya hivyo? Sisi binafsi tunaweza jinsi gani kuwa wa kwanza katika kuonyesha heshima? Hayo ni kati ya maswali ambayo yanazungumziwa katika habari hii.

MAKALA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 20-25

Makala hii inazungumzia jinsi ambavyo wale wanaoongoza mikutano ya Kikristo na wale wanaohudhuria wanaweza kufanya mikutano iwe pindi zinazowajenga wote ambao wanahudhuria. Vilevile inazungumzia marekebisho fulani ambayo yamefanywa katika gazeti Mnara wa Mlinzi.

PIA KATIKA TOLEO HILI:

Yehova Ana Maoni Gani Kuhusu Visingizio? 12

Wasaidie Watoto Waelewe Tengenezo la Yehova 25

Nimekuwa na Mengi ya Kufanya Katika Tengenezo la Yehova 29

“Kinanisaidia Kugusa Mioyo ya Watu” 32

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki