Yaliyomo
Oktoba 15, 2010
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Novemba (Mwezi wa 11) 29–Desemba (Mwezi wa 12) 5
“Ni Nani Ameijua Akili ya Yehova?”
UKURASA WA 3
Desemba 6-12
Endeleeni Kuutafuta Kwanza “Uadilifu Wake”
UKURASA WA 7
Desemba 13-19
Je, Wewe Ni wa Kwanza Katika Kuwaheshimu Waamini Wenzako?
UKURASA WA 16
Desemba 20-26
Je, Unashiriki Katika Kufanya Mikutano ya Kikristo Iwe Yenye Kujenga?
UKURASA WA 20
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 3-11
Makala hizi zinazungumzia jinsi tunavyoweza kujitahidi kuwa na uhusiano wa karibu pamoja na Yehova kwa kujifunza kutokana na utendaji mbalimbali wa Yesu. Pia, zinaeleza uadilifu wa Mungu unahusisha mambo gani, kwa nini tunapaswa kuutafuta kwanza, na kwa nini hatupaswi kamwe kumhukumu Yehova tukitumia viwango vyetu wenyewe.
MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 16-20
Ni nini kinachohusika katika kuwaonyesha heshima waabudu wenzetu? Tuna sababu gani za kufanya hivyo? Sisi binafsi tunaweza jinsi gani kuwa wa kwanza katika kuonyesha heshima? Hayo ni kati ya maswali ambayo yanazungumziwa katika habari hii.
MAKALA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 20-25
Makala hii inazungumzia jinsi ambavyo wale wanaoongoza mikutano ya Kikristo na wale wanaohudhuria wanaweza kufanya mikutano iwe pindi zinazowajenga wote ambao wanahudhuria. Vilevile inazungumzia marekebisho fulani ambayo yamefanywa katika gazeti Mnara wa Mlinzi.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Yehova Ana Maoni Gani Kuhusu Visingizio? 12
Wasaidie Watoto Waelewe Tengenezo la Yehova 25
Nimekuwa na Mengi ya Kufanya Katika Tengenezo la Yehova 29
“Kinanisaidia Kugusa Mioyo ya Watu” 32