Yaliyomo
Novemba 15, 2010
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Desemba (Mwezi wa 12) 27–Januari (Mwezi wa 1) 2
Vijana—Mwongozwe na Neno la Mungu
UKURASA WA 3
Januari 3-9
Vijana—Msikubali Kusongwa na Marafiki
UKURASA WA 7
Januari 10-16
Vijana—Mtatumia Maisha Yenu Jinsi Gani?
UKURASA WA 12
Januari 17-23
Yehova Ni Bwana Wetu Mwenye Enzi Kuu!
UKURASA WA 24
Januari 24-30
Tutatembea Katika Utimilifu Wetu!
UKURASA WA 28
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1-3 YA FUNZO UKURASA WA 3-16
Makala hizi zimetayarishwa hasa kwa ajili ya vijana. Makala ya kwanza inaonyesha jinsi vijana wanavyoweza kuongozwa na mashauri yanayopatikana katika Neno la Mungu, Biblia. Makala ya pili inazungumzia jinsi wanavyoweza kukataa kusongwa na marafiki. Nayo makala ya mwisho inazungumzia miradi inayofaa ambayo vijana wanaweza kujiwekea.
MAKALA YA 4 NA YA 5 YA FUNZO UKURASA WA 24-32
Jifunze jinsi unavyoweza kuunga mkono enzi kuu ya Yehova Mungu. Chunguza ni nini kinachomaanishwa na kuendelea kushika utimilifu. Chunguza mambo mbalimbali katika maisha ya Ayubu aliyekuwa mnyoofu. Makala hizi zinaonyesha jinsi ambavyo, kama Ayubu na watu wengine walioishi zamani, unaweza kutembea kwa utimilifu wako na kushikamana na Yehova akiwa Bwana wako Mwenye Enzi Kuu.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Yehova Anasikiliza Kilio cha Mtu wa Hali ya Chini 17
Maswali Kutoka kwa Wasomaji 22
‘Mambo Aliyotenda Yanaambatana Naye Moja kwa Moja’ 23