Yaliyomo
Desemba 15, 2010
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Januari (Mwezi wa 1) 31–Februari (Mwezi wa 2) 6
Uwe Mwenye Bidii kwa Ajili ya Ibada ya Kweli
UKURASA WA 7
Februari 7-13
“Sasa Ndio Wakati Unaokubalika Hasa”
UKURASA WA 11
Februari 14-20
Pata Baraka Kupitia Mfalme Anayeongozwa na Roho ya Mungu!
UKURASA WA 16
Februari 21-27
UKURASA WA 20
KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
MAKALA YA 1 NA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 7-15
Katika makala hizi tutajifunza jinsi Yesu alivyoonyesha bidii ya kweli, na hivyo akatuwekea kielelezo cha kuiga. Lakini kwa nini inafaa hasa kwetu kuwa wenye bidii katika huduma sasa? Kwa nini huu ndio wakati unaokubalika hasa?
MAKALA YA 3 YA FUNZO UKURASA WA 16-20
Tunaishi katika kipindi ambacho utawala wa wanadamu unashindwa. Habari hii itatusaidia kuona kwa nini Yehova alimchagua Yesu Kristo awatawale wanadamu na jinsi tutakavyopata baraka nyingi tukijitiisha chini ya Kristo.
MAKALA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 20-24
Kwa nini ni jambo linalopatana na Maandiko na linalofaa kusema kwamba muziki unapaswa kutimiza sehemu ya maana katika ibada yetu? Habari hii itatusaidia kupata jibu na pia itatusaidia kuona jinsi ambavyo sisi binafsi tunaweza kuboresha sehemu inayotimizwa na muziki.
PIA KATIKA TOLEO HILI:
Haijawa Kuchelewa Sana Kumtumikia Mungu 25
Nimeona Nguvu za Kweli ya Biblia 26
Maswali Kutoka kwa Wasomaji 30
Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2010 32