Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w10 12/15 uku. 32
  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2010

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2010
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
  • Vichwa vidogo
  • BIBLIA
  • MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • MAMBO MENGINE
  • MASHAHIDI WA YEHOVA
  • MASIMULIZI YA MAISHA
  • YEHOVA
  • YESU KRISTO
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
w10 12/15 uku. 32

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2010

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

Andiko la Ezekieli 18:20 Linapatanishwa na Kutoka 20:5, 3/15

Hatua Saba za Kufaidika na Usomaji, 7/1

Inabadili Maisha, 2/1, 5/1, 8/1, 11/1

Inatueleza Mambo Yote Kumhusu Yesu? 4/1

Kwa Nini Mathayo Alitaja Kwamba Maneno ya Zekaria Ni ya Yeremia? 12/1

Kwa Nini Uamini Vitabu vya Injili? 3/1

Mchapishaji wa Kale Aeneza, 7/1

Neno la Mungu Liliongozwa na Roho Yake? 3/1

Unabii Unasema Kuhusu Taifa la Israeli la Kisasa? 11/1

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Alijifunza Kusamehe Kutoka kwa Bwana Wake (Petro), 4/1

Alikuwa Mshikamanifu Alipokabili Majaribu (Petro), 1/1

Dumisha “Usafi wa Moyo,” 3/15

‘Endelea Kufanya Bidii Katika Kufundisha,’ 7/15

“Haki ya Mtoto ya Kukua Kiroho,” 2/15

Je, Kweli Ni Udanganyifu? 6/1

Je, Unapaswa Kushika Sabato ya Kila Juma? 2/1

Kataa Kabisa Uwongo wa Shetani, 2/15

Kubatizwa Tena, 2/15

Kuendelea Kuwa na Kibali cha Mungu Hali Zinapobadilika, 3/15

Kuishi Katika Nyumba Moja na Wengine, 2/15

Kumsaidia Rafiki Mgonjwa, 7/1

Kumtunza Mshiriki wa Familia Aliye Mgonjwa, 5/15

Kupambana na Hisia Zisizofaa, 10/1

Kushughulika na Hali Mwenzi wa Ndoa Anapokusaliti, 6/15

Kutafuta Marafiki Washikamanifu, 7/1

Kuwa Mnyoofu Nyakati Zote, 3/1

Kuwafundisha Watoto Kutimiza Madaraka Yao, 5/1

Kuwajali Wazazi Wasio na Wenzi wa Ndoa, 12/1

Kwa Nini Unapaswa Kufika kwa Wakati? 8/15

“Mpaka Kifo Kitutenganishe,” 3/1

Mtoto Wako Atasema Nini? 12/15

Mtu Mwenye Unyenyekevu na Ujasiri (Yona), 1/1

‘Muwe Wakamilifu Kama Baba wa Mbinguni Alivyo,’ 11/15

Mwaka wa Kwanza wa Ndoa, 8/1

Njia za Kupata Uradhi, 11/1

Onyesho Usadikisho! (Yeremia), 5/1

Sala, 10/1

Sitawisha Ndani ya Watoto Tamaa ya Kupenda Kusoma na Kujifunza, 7/15

Somo Kuhusu Rehema ya Mungu (Yona), 3/1

Tumia Kila Siku kwa Utukufu wa Mungu, 1/15

Usikubali Kushinikizwa Kufuata Maoni ya Watu Wengi, 8/15

“Usiogope. Mimi Mwenyewe Nitakusaidia,” 7/15

Uwaheshimu Waliozeeka, 5/15

Uwe “Salama Salimini,” 4/15

Visingizio, 10/15

Wafariji Waliofiwa, 11/1

Wajane, 5/1

Wakwe, 2/1

Wasaidie Watoto Waelewe Tengenezo la Yehova, 10/15

Wasaidie Watoto Wako Wakabiliane na Matatizo, 1/15

Zoeza Nguvu za Ufahamu, 5/15

Zungumza na Watoto Wako Kuhusu Ngono, 11/1

MAKALA ZA FUNZO

Acha “Sheria ya Fadhili Zenye Upendo” Ilinde Ulimi Wako, 8/15

Akina Ndugu—Pandeni kwa Roho na Mjitahidi Kufikia Mapendeleo! 5/15

Endeleeni Kulijenga Kutaniko, 6/15

‘Endeleeni Kuushinda Uovu’ kwa Kuizuia Hasira, 6/15

Endeleeni Kuutafuta Kwanza “Uadilifu Wake,” 10/15

Je, Unamfuata Kristo kwa Ukamili? 4/15

Je, Unashiriki Katika Kufanya Mikutano ya Kikristo Iwe Yenye Kujenga? 10/15

Jinsi Fidia Inavyotuokoa, 8/15

Jinsi Yehova Anavyotumia Roho Takatifu Kutimiza Kusudi Lake, 4/15

Jinsi Yesu Anavyoutukuza Uadilifu wa Mungu, 8/15

Karibu Kwenye Njia Bora Zaidi ya Maisha! 2/15

“Kiongozi Wenu Ni Mmoja, Kristo,” 9/15

Kiongozi Wetu Anayetenda kwa Bidii Leo, 9/15

Kubatizwa Katika Jina la Nani na kwa Nini? 3/15

Kundi Moja, Mchungaji Mmoja, 3/15

Kuwa Mali ya Yehova Ni Fadhili Zisizostahiliwa, 1/15

Kwa Nini Ujiweke Wakfu kwa Yehova? 1/15

Maneno Yenye Neema Yanadumisha Mahusiano Mazuri, 6/15

Mwimbieni Yehova! 12/15

“Ni Nani Ameijua Akili ya Yehova?” 10/15

Ni Nani Anayeweza Kuwakomboa Wale Wanaolilia Msaada? 8/15

“Ninyi Mnapaswa Kuwa Watu wa Namna Gani!” 7/15

Onyesha Kwamba Wewe Ni Mfuasi wa Kweli wa Kristo, 1/15

Pata Baraka Kupitia Mfalme Anayeongozwa na Roho ya Mungu! 12/15

Pata Burudisho Katika Mambo ya Kiroho, 6/15

Pata Usalama Kati ya Watu wa Mungu, 6/15

‘Roho Huchunguza Ndani ya Mambo Mazito ya Mungu,’ 7/15

“Roho na Bibi-Arusi Huendelea Kusema: ‘Njoo!’” 2/15

“Sasa Ndio Wakati Unaokubalika Hasa,” 12/15

‘Sema Neno la Mungu kwa Ujasiri,’ 2/15

Shiriki Kikamili Katika Mavuno Makubwa ya Kiroho, 7/15

Tafuta Baraka za Yehova kwa Bidii, 9/15

Tembea kwa Roho na Uishi Kulingana na Wakfu Wako, 3/15

Tumia kwa Ustadi “Upanga wa Roho,” 2/15

Tutatembea Katika Utimilifu Wetu! 11/15

Umoja Unatambulisha Ibada ya Kweli, 9/15

Umoja wa Kikristo Unamletea Mungu Utukufu, 9/15

Usiihuzunishe Roho Takatifu ya Yehova, 5/15

Usiruhusu Macho Yako Yaone Mambo Yasiyofaa! 4/15

Utawala wa Shetani Utashindwa Kabisa, 1/15

Utawala wa Yehova Umethibitika Kuwa Bora! 1/15

Uwe Mwenye Bidii kwa Ajili ya Ibada ya Kweli, 12/15

Vijana—Imarisheni Tamaa Yenu ya Kumtumikia Yehova, 4/15

Vijana—Msikubali Kusongwa na Marafiki, 11/15

Vijana—Mtatumia Maisha Yenu Jinsi Gani? 11/15

Vijana—Mwongozwe na Neno la Mungu, 11/15

“Waadilifu Watang’aa kwa Uangavu Kama Jua,” 3/15

Wanaume—Je, Mnajitiisha Chini ya Ukichwa wa Kristo? 5/15

Wanawake—Kwa Nini Mjitiishe Chini ya Ukichwa? 5/15

Wewe Ni wa Kwanza Katika Kuwaheshimu Waamini Wenzako? 10/15

Yale Ambayo Siku ya Yehova Itafunua, 7/15

Yehova Ni Bwana Wetu Mwenye Enzi Kuu! 11/15

MAMBO MENGINE

“Alama za Mtumwa wa Yesu” (Ga 6:17), 11/1

Alimwagia Mungu Mahangaiko Yake Kupitia Sala (Hana), 7/1

Bamba la Kuandikia (Lu 1:63), 1/1

Barabara Aliyotumia Paulo (Via Appia), 1/1

Dhahabu ya Ofiri, 6/1

Dhambi, 6/1

Dini ya Calvin, 9/1

‘Divai Mpya, Viriba vya Divai Vilivyozeeka’ (Lu 5:37, 38), 3/1

Harani—Kituo cha Kale Chenye Utendaji Mwingi, 5/15

Haruni Hakuadhibiwa Alipotengeneza Ndama wa Dhahabu, 5/15

Ilikuwa Hatari Kusafiri Baharini Katika Siku za Paulo, 2/1

Je, Chungu Hutayarisha Chakula Wakati wa Kiangazi? 7/1

Je, Dunia Itakwisha? 1/1

Je, Kweli Watu Katika Nyakati za Biblia Waliishi Miaka Mingi? 12/1

Je, Majiji ya Makimbilio Yalikuwa Maficho ya Wahalifu? 11/1

Je, Nijiunge na Kikundi Fulani cha Dini? 11/1

Je, Sikuzote Dunia Itazaa Chakula cha Kutosha? 3/1

Je, Watu Wote Wazuri Wanaenda Mbinguni? 2/1

Jihadhari Usidanganywe, 9/1

Kaini Alipata Wapi Mke? 9/1

‘Kukua Akiwa na Yehova’ (Samweli), 10/1

Kusafiri Mbali Zaidi ya Mediterania, 3/1

Kusafiri Mpaka Sehemu ya Mbali Zaidi ya Dunia, 11/1

Kusema kwa Lugha, 10/1

Kuungama Dhambi, 9/1

Kwa Nini Watu Wanafanya Mambo Mabaya, 9/1

“Maandamano Yenye Shangwe” (2Ko 2:14-16), 8/1

“Mahali pa Juu,” 8/1

Maisha Yako Yanaongozwa na Nyota? 6/1

Malango ya Jiji, 6/1

Maoni ya Mungu Kuhusu Pombe, 1/1

Marko—‘Mwenye Faida kwa Ajili ya Huduma,’ 3/15

Masinagogi, 4/1

Mnyweshaji wa Mfalme, 7/1

Mwana Mzaliwa wa Kwanza, 5/1

Mwenye Ukoma Aponywa (Naamani), 11/1

Mwisho Umekaribia? 8/1

Ni Nani Wanaokaa Katika Makao ya Roho? 12/1

Nyama Iliyotolewa Dhabihu kwa Sanamu, 10/1

Nyumba Zao (Wakristo wa Karne ya Kwanza), 1/1

Paradiso Inayotajwa Katika Biblia Iko Wapi? 12/1

Rebeka, 2/1

Roho Takatifu, 10/1

‘Siku za Mwanadamu ni Miaka 120’ (Mwa 6:3), 12/15

Siri Unayoweza Kuwaambia Wengine, 12/1

Ufalme Ambao Utabadili Dunia, 10/1

Ukristo wa Mapema na Miungu ya Roma, 5/15

Utatu, 2/1

Utengano Kati ya Wayahudi na Wasamaria, 10/1

Vibweta Vyenye Maandiko, 5/1

Vileo Katika Nyakati za Biblia, 2/1

“Wafanyakazi Nyumbani” (Tit 2:5), 2/1

Wafu Wanaweza Kuwasaidia Walio Hai? 1/1

‘Wanaume Wenye Kutumia Visu’ (Mdo 21:38), 3/1

Watetezi wa Imani, 6/1

Zeri ya Gileadi, 6/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

Afrika Kusini, 6/1

Bulgaria, 9/15

Grenada, 9/1

Haijawa Kuchelewa Sana Kumtumikia Mungu (Hispania), 12/15

Haiti, 12/1

Je, Wanaponya Kimuujiza? 10/1

Kifaa cha Kuwasaidia Vijana (Vijana Huuliza, Buku la 2), 2/15

“Kinanisaidia Kugusa Mioyo ya Watu” (kijitabu Nations), 10/15

Kuhitimu kwa Gileadi, 2/1, 8/1

Kushiriki Katika Ibada za Dini Nyingine, 6/1

Kuwa Macho (Finland), 7/15

Majumba ya Ufalme, 5/1

Makusanyiko ya Wilaya ya “Kaa Karibu na Yehova!” 3/1

Mkutano wa Kila Mwaka, 6/15

Papua New Guinea, 3/1

‘Toleo la Yehova’ (michango), 11/15

Ukumbusho, 3/1

Visiwa vya Mbali Kaskazini mwa Australia, 5/1

Watu Wote Wanaalikwa (Betheli), 8/15

MASIMULIZI YA MAISHA

Kutumika Wakati wa Ongezeko (H. Harris), 9/15

Majaribu Yalitusaidia Kumtegemea Yehova Zaidi (A. Dello Stritto), 4/15

‘Mambo Aliyotenda Yanaambatana Naye Moja kwa Moja’ (T. Jaracz), 11/15

Mtegemee Yehova (E. Schmidt), 9/1

Mungu Ni “Mtendaji wa Mambo Makuu” (M. Raj), 12/1

Nguvu za Kweli ya Biblia (V. Fraese), 12/15

Nimekuwa na Mengi ya Kufanya Katika Tengenezo la Yehova (V. Zubko), 10/15

YEHOVA

Alikuwa na Mwanzo? 7/1

Ametupa Uhuru wa Kuchagua, 9/1

Anajua Moyo, 12/1

Anasikiliza Kilio cha Mtu wa Hali ya Chini, 11/15

Anataka Uwe “Salama Salimini,” 4/15

Anaweza Kujuta? 2/1

“Ataacha Umpate” (1Nya 28:9), 11/1

Hana Ubaguzi, 9/1

‘Huona Moyo,’ 3/1

Hutafuta Mema, 7/1

Je, Mungu Ametuacha? 5/1

Je, Unamwona Kuwa Baba Yako? 2/15

Jina Katika Hekalu la Misri, 5/1

Kujua Maana ya Jina la Mungu? 7/1

Kwa Nini Anaahidi Uzima wa Milele? 1/1

“Mchukue Mwana Wako” (mwana afufuliwa), 8/1

“Moyo Uliovunjika na Kupondwa” Unapotafuta Msamaha, 5/1

“Msikiaji wa Sala,” 10/1

Mtimizaji wa Ahadi, 1/1

‘Ufalme Wako Utakuwa Imara’ (Daudi), 4/1

Unaacha Yehova Akuulize Maswali? 4/15

Ushikamanifu, 6/1

Wapigana Vita na Wakanaani, 1/1

Watu Wana Nafasi Sawa za Kumjua? 8/1

YESU KRISTO

Alijifunza Kutii, 4/1

Alikuwa Mtu Halisi, 4/1

Dhambi za Mwanamke Zasamehewa, 8/15

Hakujihusisha Katika Siasa, 7/1

Je, Alikuwa na Uhusiano wa Kiukoo na Mitume? 9/1

Je, Alikuwa na Uhusiano wa Kiukoo na Yohana Mbatizaji? 9/1

Jinsi ya Kumfuata, 5/1

Kwa Nini Aliitwa Kristo? 4/1

Kwa Nini Alikawia? 8/1

Kwa Nini Walimkataa? 12/1

Mafundisho Kuhusu Furaha, 8/1

Mafundisho Kuhusu Ibada ya Kweli, 2/1

Mafundisho Kuhusu Viumbe wa Roho, 11/1

Mamajusi Waliomtembelea, 12/1

Mtu Aliyeubadili Ulimwengu, 4/1

Ndiye Malaika Mkuu Mikaeli? 4/1

Ni Kweli au Si Kweli, 4/1

Seremala, 8/1

Watu Walioandika Kumhusu, 6/1

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki