Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w11 2/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • Kusudi la Makala za Funzo
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
w11 2/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Februari 15, 2011

Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki Zote Zimehifadhiwa

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Aprili (Mwezi wa 4) 4-10, 2011

Jinsi Roho Takatifu Ilivyotumiwa Katika Kazi ya Uumbaji!

UKURASA wa 6

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 110, 112

Aprili 11-17, 2011

Kukubaliwa na Mungu Kunaongoza Kwenye Uzima wa Milele

UKURASA wa 13

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 106, 51

Aprili 18-24, 2011

Penda Uadilifu kwa Moyo Wako Wote

UKURASA wa 24

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 22, 40

Aprili 25, 2011–Mei (Mwezi wa 5) 1, 2011

Je, Unachukia Uasi-Sheria?

UKURASA wa 28

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 61, 120

Kusudi la Makala za Funzo

MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 6-10

Mambo yanayozungumziwa katika habari hii yatatusaidia kuelewa zaidi jinsi Mungu alivyotumia roho yake takatifu kuumba mbingu na dunia. Pia, habari hii itatia nguvu usadikisho wetu wa kwamba Yehova ndiye Muumba wetu mwenye hekima na nguvu.

MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 13-17

Kwa ujumla, watu wanahangaika sana kutafuta hasa usalama wa kimwili. Lakini Biblia inaonyesha kwamba tunapaswa kuhangaikia zaidi kupata kibali cha Mungu. Habari hii inakazia kwa nini tunahitaji kumtegemea Yehova na inaonyesha hatua ambazo tunaweza kuchukua ili tuwe na hakika kwamba tutapata kibali chake.

MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 24-32

‘Yesu alipenda uadilifu, naye akachukia uasi-sheria.’ (Ebr. 1:9) Makala hizi zinaonyesha jinsi tunavyoweza kumwiga. Zinaonyesha kwa nini ni jambo la maana tujifunze kupenda uadilifu na kusitawisha chuki kuelekea uasi-sheria.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Wafundishe Watoto Wako Kuonyesha Heshima

11 Kujitahidi Kunaleta Faida!

12 Maswali Kutoka kwa Wasomaji

18 Je, Kweli Unathamini Baraka Zako?

21 “Kutii Ni Bora Kuliko Dhabihu”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki