Yaliyomo
Februari 15, 2011
Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki Zote Zimehifadhiwa
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Aprili (Mwezi wa 4) 4-10, 2011
Jinsi Roho Takatifu Ilivyotumiwa Katika Kazi ya Uumbaji!
UKURASA wa 6
Aprili 11-17, 2011
Kukubaliwa na Mungu Kunaongoza Kwenye Uzima wa Milele
UKURASA wa 13
Aprili 18-24, 2011
Penda Uadilifu kwa Moyo Wako Wote
UKURASA wa 24
Aprili 25, 2011–Mei (Mwezi wa 5) 1, 2011
UKURASA wa 28
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 6-10
Mambo yanayozungumziwa katika habari hii yatatusaidia kuelewa zaidi jinsi Mungu alivyotumia roho yake takatifu kuumba mbingu na dunia. Pia, habari hii itatia nguvu usadikisho wetu wa kwamba Yehova ndiye Muumba wetu mwenye hekima na nguvu.
MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 13-17
Kwa ujumla, watu wanahangaika sana kutafuta hasa usalama wa kimwili. Lakini Biblia inaonyesha kwamba tunapaswa kuhangaikia zaidi kupata kibali cha Mungu. Habari hii inakazia kwa nini tunahitaji kumtegemea Yehova na inaonyesha hatua ambazo tunaweza kuchukua ili tuwe na hakika kwamba tutapata kibali chake.
MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 24-32
‘Yesu alipenda uadilifu, naye akachukia uasi-sheria.’ (Ebr. 1:9) Makala hizi zinaonyesha jinsi tunavyoweza kumwiga. Zinaonyesha kwa nini ni jambo la maana tujifunze kupenda uadilifu na kusitawisha chuki kuelekea uasi-sheria.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Wafundishe Watoto Wako Kuonyesha Heshima
12 Maswali Kutoka kwa Wasomaji
18 Je, Kweli Unathamini Baraka Zako?
21 “Kutii Ni Bora Kuliko Dhabihu”