Yaliyomo
Aprili 15, 2011
Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki Zote Zimehifadhiwa
Toleo la Funzo
MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
Mei (Mwezi wa 5) 30, 2011–Juni (Mwezi wa 6) 5, 2011
Kuchukua kwa Uzito Wote Utumishi Wetu kwa Yehova
UKURASA WA 9
Juni 6-12, 2011
Fanya Maamuzi Ambayo Yanamletea Mungu Heshima
UKURASA WA 13
Juni 13-19, 2011
‘Tunda la Roho’ Linamtukuza Mungu
UKURASA WA 18
Juni 20-26, 2011
Je, Unaruhusu Roho ya Mungu Ikuongoze?
UKURASA WA 23
Kusudi la Makala za Funzo
MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 9-13
Katika ulimwengu ambao unawachochea watu wasichukue mambo kwa uzito, Wakristo wanahitaji kuchukua mambo kwa uzito katika maisha yao. Hilo ni jambo la maana sana hasa katika ibada yetu kwa Yehova. Makala hii itatoa maoni yenye usawaziko, ambayo yanategemea Maandiko kuhusu jinsi tunavyopaswa kuchukua madaraka yetu ya Kikristo kwa uzito.
MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 13-17
Watu wengi wanaona kwamba ni vigumu kufanya maamuzi. Makala hii itatusaidia kuona kwa nini tunapaswa kujifunza kufanya maamuzi mazuri. Pia, itazungumzia hatua mbalimbali ambazo tunaweza kuchukua ili kuhakikisha kwamba maamuzi tunayofanya yanamletea Mungu heshima.
MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 18-27
‘Tunda la roho’ ni nini? Tunaweza kulisitawisha jinsi gani? Na kwa nini tunapaswa kufanya hivyo? Utapata majibu ya maswali hayo tunapozungumzia sifa tisa za tunda la roho. Vilevile, makala hizi zina mapendekezo ambayo yatawasaidia wengi.
PIA KATIKA TOLEO HILI
3 Je, Unatambua Uthibitisho wa Mwongozo wa Mungu?
6 Jinsi ya Kuendelea Kuwa Wanyoofu Katika Ulimwengu Usio na Unyoofu
29 Nimepata Mambo Mengi Mazuri