Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w11 4/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:
  • Kusudi la Makala za Funzo
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
w11 4/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Aprili 15, 2011

Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki Zote Zimehifadhiwa

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO ZA MAJUMA YA:

Mei (Mwezi wa 5) 30, 2011–Juni (Mwezi wa 6) 5, 2011

Kuchukua kwa Uzito Wote Utumishi Wetu kwa Yehova

UKURASA WA 9

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 125, 66

Juni 6-12, 2011

Fanya Maamuzi Ambayo Yanamletea Mungu Heshima

UKURASA WA 13

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 112, 104

Juni 13-19, 2011

‘Tunda la Roho’ Linamtukuza Mungu

UKURASA WA 18

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 25, 11

Juni 20-26, 2011

Je, Unaruhusu Roho ya Mungu Ikuongoze?

UKURASA WA 23

NYIMBO ZA KUTUMIWA: 120, 48

Kusudi la Makala za Funzo

MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 9-13

Katika ulimwengu ambao unawachochea watu wasichukue mambo kwa uzito, Wakristo wanahitaji kuchukua mambo kwa uzito katika maisha yao. Hilo ni jambo la maana sana hasa katika ibada yetu kwa Yehova. Makala hii itatoa maoni yenye usawaziko, ambayo yanategemea Maandiko kuhusu jinsi tunavyopaswa kuchukua madaraka yetu ya Kikristo kwa uzito.

MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 13-17

Watu wengi wanaona kwamba ni vigumu kufanya maamuzi. Makala hii itatusaidia kuona kwa nini tunapaswa kujifunza kufanya maamuzi mazuri. Pia, itazungumzia hatua mbalimbali ambazo tunaweza kuchukua ili kuhakikisha kwamba maamuzi tunayofanya yanamletea Mungu heshima.

MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 18-27

‘Tunda la roho’ ni nini? Tunaweza kulisitawisha jinsi gani? Na kwa nini tunapaswa kufanya hivyo? Utapata majibu ya maswali hayo tunapozungumzia sifa tisa za tunda la roho. Vilevile, makala hizi zina mapendekezo ambayo yatawasaidia wengi.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Je, Unatambua Uthibitisho wa Mwongozo wa Mungu?

6 Jinsi ya Kuendelea Kuwa Wanyoofu Katika Ulimwengu Usio na Unyoofu

28 Je, Unakumbuka?

29 Nimepata Mambo Mengi Mazuri

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki